Mheshimiwa Zitto yuko katika kipindi cha asubuhi njema channel ten anaelezea Bajeti ya Upinzani 2011-2012 inavyomsaidia mwananchi
Mheshimiwa Zitto yuko katika kipindi cha asubuhi njema channel ten anaelezea Bajeti ya Upinzani 2011-2012 inavyomsaidia mwananchi
If I agree with you both we'll be wrong...(Kama nikikubaliana na wewe wote tutakuwa tumepotoka)
anasema wao ka wapinzani wanatoa bajeti ili kukosoa wale waliopewa ridhaa ya kukusanya na kutumia kodi, anatoa mfano kwamba wao ni kama mbwa wa tajiri na matajiri ni watanzania kwa hiyo jazi yao ni kuwalinda CCM na kubweka ili kumshtua tajiri pindi CCM inapofanya vibaya
If I agree with you both we'll be wrong...(Kama nikikubaliana na wewe wote tutakuwa tumepotoka)
kalitolea ufafanuzi suala la posho za vikao kuwa, vikao ni suala la majukumu ya kazi so huwezi kulipwa kwa kufanya kazi yako huku ukilipwa mshahara kwa kazi unayoifanya
If I agree with you both we'll be wrong...(Kama nikikubaliana na wewe wote tutakuwa tumepotoka)
Hii imekaa sawa, kumbe anafahamu wajibu wa chama cha upinzani. Ndivyo Wapinzani wa Serikali yoyote ile wanavyopaswa kufanya kwa sababu kazi yao ni kuikumbusha Serikali pale inapokosea. Na pale Serikali inapofanya vizuri ipewe sifa yake. Tatizo la baadhi ya wapinzani tulio nao ni kupingana wao kwa wao, hata kama jambo alilofanya mwenzake ni zuri.
INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO
pia kuwe na mfuko wa afya , pamoja na pensheni ya wazee.
Vipaumbele ni sula la nini ufanye kwanza na vingine vitafuata baada ya yale ya msingi kufanywa
Anasema bajeti yao ina vipaumbele vya Elimu ikiwa pamoja na elimu ya ufundi mfano kodi ya ujuzi ambayo ni 6% ya payroll anayotozwa mmiliki wa kampuni yeyote yenye wafanyakazi kuanzia sita theluthi mbili iende kwa bodi ya mikopo na inayobaki iende kwenye maendeleo ya elimu ya ufundi. Na serikali imelifanyia kazi so instead ya kwenda serikalini na kulipia gharama nyingine ka posho serikali imekubali kutumia hilo pato kwa elimu
If I agree with you both we'll be wrong...(Kama nikikubaliana na wewe wote tutakuwa tumepotoka)
Yes, tuko kwenye mwelekeo mzuri na sasa ni zamu ya Mkuro kuonesha kuwa anauwezo wa kulinda uchumi wa nchi hii. Anauwezo wa kupanga bajeti bora kuliko ya Chadema yenye wabunge 40 na kidogo!!! Ila nashituka sana kuona kuwa CCM yenye wabunge zaidi ya 200 haiwezi kutengeneza bajeti bora hata robo ya ubora wa hiyo ya CDM.
Jesus is my Lord, the provider of my needs; He provides sufficient for me.
Nimesikia kwenye Magazeti asubuhi hii wabunge wa CCM wakiongozwa na Chiligatio wakipinga VIKALI uondolewaji wa hizo posho za vikao wanasema hayo ni mawazo ya mtu binafsi na km vipi wapinzani waamue wao wasichukue hizo posho lkn wao CCM watazidaka kwa kwenda mbele tuuu
bunge la safari hii.... cjui
Follow Us Here