| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 217
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Bubu ataka Kusema;
Hakuna jipya! Hata sijui huyu mwandishi wa habari kwanini alidhani hiyo ni news!!! |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Where is the money?
![]() With proper planning with this kind of money we can reduce some of our major problems. Ooooops! I forgot that mafisadi are busy stealing our hard earned money.
__________________
~*~Life is Good~*~ |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Nina wasiwasi na hiyo figure. Ni kutoka $25 millioni mwaka 2005 hadi $300 millioni 2008 au ni kutoka $250 milioni 2005 hadi $300 millioni?
|
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kama sikosei makusanyo sahihi 2005 yalikuwa $250 millioni kwa mwezi.
__________________
~*~Life is Good~*~ |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
|
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hizo figure mie hata siziamini mpaka nione maendeleo kako ktk jamii. Mbona Mkkapa alituambia hivyo hivyo kuwa uchumi wetu ni mzuri na unakuwa na kumbe mifuko yao ndio inakua na huku tuko maskini wa kutupa
|
|
#8
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Si unakumbuka msanii JK alipokuwa anaongea na kingunge mmoja toka nchi za wafadhili hakuona haya wala kusikia vibaya kumwambia kwamba mabilioni yaliyochotwa BoT ni fedha za Watanzania wenyewe na wala si kutoka kwa wafadhili, basi ndiyo hayo makusanyo yote yanaishia mifukoni mwa mafisadi, matokeo yake hatuoni maendeleo yoyote!
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 05:49 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||