Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      mdau wetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Vatican
      Posts : 540
      Rep Power : 521
      Likes Received
      48
      Likes Given
      36

      Post Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      IRANI YATOA DOLA MILIONI 1.2 KUSAIDIA KILIMO KWANZA NCHINI TANZANIA


      Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu (Kulia),akizungumza na Naibu Balozi wa Irani hapa nchini Bw Bahman Ahmadi(Kushoto) alipomtembelea Ofisini kwake leo. Mwingine ni Mshauri wa kibiashara katika Ubalozi wa Iran hapa nchini Bw Mobasher.
      Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu (Kushoto),katika picha ya pamoja na wageni wake Naibu Balozi wa Irani hapa nchini Bw Bahman Ahmadi(Katikati) na Mshauri wa kibiashara katika Ubalozi wa Iran hapa nchini Bw Mobasher (Kulia).


      Katika kusaidia kutekeleza kwa vitendo kampeni ya Kilimo Kwanza, Serikali ya Irani itaisadia Tanzania Dola za kimarekani Milioni moja pointi mbili ($ 1.2Mil) kwa ajili ya kampeni hiyo.

      Taarifa hiyo njema imetolewa Jijini Dar es salaam leo, wakati Balozi Msaidizi wa Iran hapa nchini Bw Bahman Ahmadi alipotembelea Wizara ya Viwanda na Biashara na kukutana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mh Lazaro Nyalandu.

      Katika mazungumzo hayo yaliyojikita katika kuimarisha Uhusiano mwema bana ya nchi hizi mbili hasa kibiashara, Mh Nyalandu kwa niaba ya serikali ya Tanzania, ameishukuru serikali ya Iran kwa msaada huo na kuahidi kuwa utatumika kama ulivyokusudiwa.

      Aidha, Mheshimiwa Nyalandu amewakaribisha wawekezaji kutoka Iran kuja nchini na kushirikiana na wazalendo katika kutumia vyema fursa mbalimbali zilizopo hasa katika sekta ya Kilimo.


    2. #2
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,251
      Rep Power : 5510
      Likes Received
      3577
      Likes Given
      1988

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      Mambo ya aibu hayo! Serikali ingemuomba mzee wa Visenti tu
      Saint Ivuga likes this.

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    3. #3
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,583
      Rep Power : 786
      Likes Received
      416
      Likes Given
      487

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      Quote By Rev Fr Masanilo View Post
      Mambo ya aibu hayo! Serikali ingemuomba mzee wa Visenti tu
      aibu , aibu! Kwanza interest yake pamoja na conditions zikoje!?

    4. #4
      mdau wetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Vatican
      Posts : 540
      Rep Power : 521
      Likes Received
      48
      Likes Given
      36

      Post Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      Aibu ya nini na wewe wacha uchimvi

    5. #5
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,591
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      537
      Likes Given
      410

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      Quote By Rev Fr Masanilo View Post
      Mambo ya aibu hayo! Serikali ingemuomba mzee wa Visenti tu
      Hivyo mapato ya madini Tanzania ni kiasi gani kwa mwaka, utalii na uwindaji unaingiza kiasi gani kwa mwaka mpaka tuanze kutembeza bakuli hii ni aibu. Kuna mtu aliwahi sema uchumi tunao lakini tunaukalia, hakukosea kabisa.
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.


    6. #6
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,328
      Rep Power : 3455
      Likes Received
      1337
      Likes Given
      864

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      jiulize na wao watapewa nini???unajua hizo hela ni za walipa kodi wa iran tena ni laana kubwa ndio maana kagame amekataa huu upuuzi

    7. #7
      hmethod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 1,737
      Rep Power : 936
      Likes Received
      116
      Likes Given
      131

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      Hii serikali kweli iko ki-matonya matonya hata hela kidogo namna hiyo wanapokea? RA ana-make over 280 mil. $ per year kwa nini wasingemuomba hako kadola mil 1.2?
      Salus Populi Suprema Lex Esto

      Salva Veritate

    8. #8
      mdau wetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Vatican
      Posts : 540
      Rep Power : 521
      Likes Received
      48
      Likes Given
      36

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      mhhh kazi ipo

    9. #9
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,732
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      726
      Likes Given
      380

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      Quote By mdau wetu View Post
      IRANI YATOA DOLA MILIONI 1.2 KUSAIDIA KILIMO KWANZA NCHINI TANZANIA


      Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu (Kulia),akizungumza na Naibu Balozi wa Irani hapa nchini Bw Bahman Ahmadi(Kushoto) alipomtembelea Ofisini kwake leo. Mwingine ni Mshauri wa kibiashara katika Ubalozi wa Iran hapa nchini Bw Mobasher.
      Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh Lazaro Nyalandu (Kushoto),katika picha ya pamoja na wageni wake Naibu Balozi wa Irani hapa nchini Bw Bahman Ahmadi(Katikati) na Mshauri wa kibiashara katika Ubalozi wa Iran hapa nchini Bw Mobasher (Kulia).


      Iran wanatuchora nilifikiri umesema $1.2 Bil. kumbe ni hela ambayo hata akina EL na RA au Manji au Mengi wangeweza tu kutoa kama zawadi au wakachangishana.

      nyalandu angalia na wewe mh. huu msaada alitakiwa akapokee katibu muhtasi wako na siyo wewe mkuu.

      Is there any good thing from IRAN ANYWAY?

      Katika kusaidia kutekeleza kwa vitendo kampeni ya Kilimo Kwanza, Serikali ya Irani itaisadia Tanzania Dola za kimarekani Milioni moja pointi mbili ($ 1.2Mil) kwa ajili ya kampeni hiyo.

      Taarifa hiyo njema imetolewa Jijini Dar es salaam leo, wakati Balozi Msaidizi wa Iran hapa nchini Bw Bahman Ahmadi alipotembelea Wizara ya Viwanda na Biashara na kukutana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mh Lazaro Nyalandu.

      Katika mazungumzo hayo yaliyojikita katika kuimarisha Uhusiano mwema bana ya nchi hizi mbili hasa kibiashara, Mh Nyalandu kwa niaba ya serikali ya Tanzania, ameishukuru serikali ya Iran kwa msaada huo na kuahidi kuwa utatumika kama ulivyokusudiwa.

      Aidha, Mheshimiwa Nyalandu amewakaribisha wawekezaji kutoka Iran kuja nchini na kushirikiana na wazalendo katika kutumia vyema fursa mbalimbali zilizopo hasa katika sekta ya Kilimo.

      Iran wanatuchora nilifikiri umesema $1.2 Bil. kumbe ni hela ambayo hata akina EL na RA au Manji au Mengi wangeweza tu kutoa kama zawadi au wakachangishana.

      nyalandu angalia na wewe mh. huu msaada alitakiwa akapokee katibu muhtasi wako na siyo wewe mkuu.

      Is there any good thing from IRAN ANYWAY?

    10. #10
      mdau wetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Vatican
      Posts : 540
      Rep Power : 521
      Likes Received
      48
      Likes Given
      36

      Default Re: Iran yaipa tanzania dola milioni 1.2 kusaidia kilimo kwanza

      mbona hao uliowataja hawatoi basi, kazi yao kusaidia vikundi vya taarabu na timu za mpira tu, eboo

    Similar Topics

    1. Replies: 43
      Last Post: 6th November 2012, 21:15
    2. Iran yaipa Tanzania trekta 100
      By mdau wetu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 14th October 2011, 21:43
    3. Kilimo kwanza iko wapi tanzania?
      By gervase in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 18th May 2011, 18:22
    4. India yatupiga jeki kusaidia Kilimo Kwanza
      By babu M in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 15th January 2011, 17:03
    5. Replies: 6
      Last Post: 20th June 2008, 18:53

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...