Re: Propaganda Za Mitandao

By
BabaH
Usitake kutisha watu wewe kibaraka mkubwa wa Mafisadi
Na wewe unaweza kuwa mmoja wapo wa propaganda za Mtandao, na eti unajiita Researcher??
Haya vielelzo vya hayo maneno yako kuwa watu wanaandika habari za uongo kuhusu serikali, viongozi, na chama tawala viko wapi?
Hivi wewe ndio unasema kweli eti unaliteta taifa na wananchi wake??
Acha unafiki na ufaidhina wewe, wewe unawezekana punguani kabisa, unaacha kufanya mambo ya muhimu ya kuwafikisha mafisadi kwenye sheria unakuja na porojo za kutisha watu!!
Sasa tutaendelea kuisema serikali pale inapokosea , viongozi wake, na chama chenu cha Mifisadi, ukiona kama ni uongo weka vigezo na kuwahakikishia wananchi kuwa hii sio kweli, sio kuja na kuleta porojo hapa!
Thank you BabaH. You made my day and there is nothing more to add.
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Follow Us Here