Wote ni Waluteli, wanatoka Arusha, weupe kwa rangi, wamesha wahi kuwa mawaziri wakuu.
Wote walikuwa na kashfa ya kujilimbikizia mali.
Nani zaidi?
Wote ni Waluteli, wanatoka Arusha, weupe kwa rangi, wamesha wahi kuwa mawaziri wakuu.
Wote walikuwa na kashfa ya kujilimbikizia mali.
Nani zaidi?
'hatukuja kuchagua sura hapa, kama unampenda nenda kanywe nae chai we kijana ni tajiri kuliko mumri wako?" nukuu- J K NYERERE.----- huyo kwa mtazamo wangu kamzidi mwenzake.
Mafisadi wanaona haya kutaja mali zao. Lowassa ni tajiri kawekeza sana Tanzania, Sumaye kawekeza sana nje ya nchi haswa South Africa na Dubai.
Wasemeni tu lakini wenzenu wameshaungana kuusaka urais 2015
I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.
awafai hao pale nyamongo sumaye alikuwa anachota tu dhahabu kila akienda eti anapewa zawadi ya jembe la dhahabu kwa nini asiwe tajiri na kujenga mahotel south africa kwa nini lowasa asiwe na majumba ulaya wakati ni mwizi wa mali za watanzania kama ni pesa wanazo nyingi kama ni kuzidiana ni kidogo sana
toeni ushahidi wa Mali zao ili tulinganishe kwa uzuri zaidi tukiwa na facts
Sasa huyo atakyeshinda kati ya hao mabwana wawili tunamfanyaje?
Mdau hii thread ungeitupia kule kwenye udaku!!
Music affect the lives!!
Hakuna mwenye pesa hapo wote ni wezi.
Hayo mashindano yafanyike wakiwa Keko au ukonga, hapo kweli nitapiga kura.
MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6
wote hao ni maskini, ila wana pesa za wizi walizowapora watanzania.
kinda hard to tell
''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda
sred zngne bana!
Unajua Poooti, shida zetu ni kwa tunachagua wamasikini kutulinda ---- na unajua MASIKINI akiingia madarakani ni kulooot tuu due to the circumstances he grew up and brought up with. POOR FAMILY BACKGROUND lazima. Mfano ni JK --- Masikini na lazima atafune nchi sawa sawa because ajaota kwa siku moja atakua RAIS. Wenzetu Western World there background ni RICH kwa hivyo atakama wata looot ni kidogo sana.
Wenzetu hawa wanafilisi nchi wakuuza nchi na wananchi wao. LAZIMA TUU WAWE NA MALI. LAITI wakifa wanaenda nayo kweli I would also fight hard to loot. Lakini all invain worse for them ni kwamba wa KKKT baridi.
Wote ni wezi wa mali ya umma.
Mshaanza majungu. Hapa Tanzania sijaona huyo tajiri mimi, maana wote hao mnaowataja tunapishana nao mitaa ya samora kutafuta mafuta ya taa. watoto wao tunakula nao chips za mama ntilie maofisini, hata hivyo kama wana ziada na hawajawahi kufikishWa mahakamani kwa tuhuma za wizi na kifisadi kama wakina Mramba hao bado ni watu safi, ndiyo maana gazeti moja limeshafilisika baada yakumzushia huyo SUMAYE kuwa ni fisadi, kitu ambacho lilipotakiwa gazeti hilo kuthibitisha mbele ya mahakama kuthibitisha tuhuma hizo lilishindwa kitu ambacho lilimlipa fidia Sumaye na kupelekea kufilisika.
mh!wenye taarifa zaidi watujuze.kila mmoja ana mali ya kiasi gani ili tufanye comparison
Kwani hao wote wawili 'wananguvu kubwa kiasi gani' hapa nchini, ikiwemo na ushawishi wa siasa za ndani?
I'LL BE WEARING A SMILE ON MY FACE.... but firm on issues,, JK's 1st address to the national assembly in Dodoma-2006.
Kume wote walutheri!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Follow Us Here