Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 596
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      M-mbabe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2009
      Location : here n' there
      Posts : 1,297
      Rep Power : 746
      Likes Received
      326
      Likes Given
      352

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Quote By kingxvi
      baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji
      tuwaache wafu wazikane wenyewe..
      If you're not ready to die for it, put the word 'freedom' out of your vocabulary (Malcolm X)

    4. #3
      Dot Connector's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 71
      Rep Power : 429
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Kwa hiyo wakala kaamua kuvaa gamba?

    5. #4
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 596
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Dot Connector
      Kwa hiyo wakala kaamua kuvaa gamba?
      itakuwa maana wauzaji wadogo wadogo wote amewambia halijafika

    6. #5
      mang'ang'a's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 316
      Rep Power : 499
      Likes Received
      64
      Likes Given
      9

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Mi nasoma MWANAHALISI na RAIA MWEMA kwa habari za UHAKIKI

    7. Miaka 50

    8. #6
      Lilombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 237
      Rep Power : 458
      Likes Received
      35
      Likes Given
      1

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Vipi RAI limepatikana?

    9. #7
      ded2010's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 10
      Rep Power : 413
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      mambo ya jino kwa jino yameshaanza lakini mwisho wa ubaya ni aibu

    10. #8
      Kamakabuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2007
      Posts : 1,066
      Rep Power : 799
      Likes Received
      143
      Likes Given
      258

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Kuna njia nyingi za kufikisha habari; si warekebishe website yao? Wakikwamisha physical gazeti, tunapata habari kupitia elictronic version then ile nyeti tunaprint na kutoa photocopy.

    11. #9
      superfisadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 549
      Rep Power : 619
      Likes Received
      43
      Likes Given
      1

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      RA ni bingwa wa michezo hiyo hivyo gazeti lake likipotea sokoni si mbaya naye aonje utamu wa mchezo mchafu
      heri kufa mwili kuloko kufa roho

    12. #10
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,636
      Rep Power : 961
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Duh! sinema hii tutainjoy sana tu

    13. #11
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,346
      Rep Power : 899
      Likes Received
      429
      Likes Given
      2283

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Quote By kingxvi
      baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji
      Haaa nimechaka hadi basi....mwaka huu kazi ipo!
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    14. #12
      emalau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2009
      Posts : 574
      Rep Power : 627
      Likes Received
      98
      Likes Given
      97

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Acha walihujumu, lilituhujumu na Dr. wetu wakati wa uchaguzi, mwosha uoshwa

    15. #13
      Gsana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 2,229
      Rep Power : 888
      Likes Received
      216
      Likes Given
      30

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      mbona sisi tumepata,au wamehujumiwa wapi???
      ONE OF THE PENALTIES FOR NOT PARTICIPATING IN POLITICS IS THAT YOU ARE GOVERNED BY YOUR INFERIORS...[PLATO]

    16. #14
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,752
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      726
      Likes Given
      147

      Default Re: gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

      Jakaya mwenyewe aliingizwa na vyombo vya habari waache watafunane ,wenzao majira walivyoona Jakaya kawatosa baada ya kuwa raisi wakageuza kibao,Mtanzania itumike wananchi sio watawala ikiwa ni dhamira ya ukweli

    Similar Topics

    1. Gazeti la mtanzania
      By sulphadoxine in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 15
      Last Post: 8th July 2011, 11:38
    2. Gazeti la Mtanzania kigeugeu
      By Inkoskaz in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 27
      Last Post: 23rd April 2011, 12:48
    3. Gazeti la Mtanzania Laanza Kujishaua
      By Ng'wanangwa in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 12
      Last Post: 4th December 2010, 20:32
    4. Gazeti la Mtanzania vipi?
      By MzeePunch in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 27th August 2009, 13:36

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...