Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      AridityIndex's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 121
      Rep Power : 438
      Likes Received
      21
      Likes Given
      16

      Default Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      HESHIMA KWENU WANAJAMVI

      Nimefikiri kwa kina kuhusu umasikini wa watu wangu katika mikoa niliitaja hapo juu nimejaribu kuoanisha na rasilimali tulizo nazo.

      1.Umeme wa gesi wa uhakika
      2.Marine park, Mnazi bay
      3.Sellou reserve,
      4.Ruvuma river,
      5.Hee natural habour Mtwara & Lindi
      6. Zao la biashara korosho,ufuta nazi na karanga
      7.Zao la chakula la uhakika mihogo
      8. Uranium kule Namtumbo
      9. Ardhi yenye rutuba ruvuma
      10. Bahari kwa ajiri ya uvuvi
      11. Closer to land locked countries malawi, zambia
      12. Closer to non farming country comoro

      Pamoja na rasilimali zote hizi, siasa za Tanzania zimeendelea kulifukarisha eneo letu mbaya zaidi tumeshuhudia wanasiasa wa Tanzania wakijadili kuingiza umeme wetu kwenye grade ya taifa wakati katika eneo letu wanaonufaika na umeme huu hawazidi asilimia 15.

      Lakini pia nimeshughudia mijadala ya upanuzi wa bandali ya Dar wakati yetu ikidoda tu tena ina ubora wa asili kuliko hiyo Dar kieneo na kina.

      Nimewahi tembelea nchi kama za Asia na nikaona manispaa zaidi ya tatu zenye uchumi imara kwa kutegemea rasilimali za bahari tu yaani Uvuvi na utalii.

      hebu check hiyo orodha nadhani mnajua ni jinsi gani vinavyoweza kutuendeleza pindi tukijitenga kisiasa kutoka mikononi mwa Tanzania.

      Naombeni michango yenu kimawazo wakati tukiandaa mikakati, ku-implement.

    2. Miaka 50

    3. #2
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,905
      Rep Power : 1478
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      128

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      huenda pia mkafufua reli iliyojengwa na mjerumani kwenda nachingwea!sijui kwa nini watu wa huko mnawakubali watawala wa ccm wakati wao wanahitaji korosho na gesi yenu tuu!

    4. Shy
      #3
      Shy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Posts : 4,922
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      Kujitenga sio suluhisho eneo hilo linatakiwa kuunganishwa kuwa kwenye kanda maalumu ya kiuchumi na pia nyie wenyewe watu wa huko amkeni pelekeni watoto wenu shule , jengeni shule na fanyeni mikakati wa kuleta huduma na biashara maeneo yenu huo ndio uzalendo tena mnaweza hata kuanzisha vyama vya maendeleo kwa ajili ya watu wa huko - mimi sio mkazi wa huko lakini naweza kukusaidia kufanya set up ya vyama na ushawishi wa kupeleka maendeleo maeneo hayo Wanabidii | Google Groups

    5. #4
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      mataifa yanahangaika kujiunga into blocks wewe watuma au wafikiria kujitenga.
      siamini kama wewe ni Mtanzania mwenye uchungu na hii nchi.

    6. #5
      Chitemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 644
      Rep Power : 546
      Likes Received
      96
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      Wanaharakat wazaliwa wa mikoa husika hawataki kuishi kwao ili kuleta mabadiliko na kuondoa u regionalism wanaogopa huko kisa uchawi etii. Mi mwenyewe ni mzaliwa wa Ruvuma(mkoa), mbinga(wilaya), ngumbo(kata), mkili(kjj) lakiní kwa śasa niko mwanza na nmepigania kwa kura yangu 1 hadi Wenje kaiingia madarakani. Ss hatuko kama wa#€aga. Kule ni ccm tu upinzani umebhungulia kabuli, wengi tumewapoteza coz ya siasa.


    7. #6
      Rangi 2's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Location : Bwiru-Mwanza
      Posts : 100
      Rep Power : 441
      Likes Received
      18
      Likes Given
      73

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      Tuongee kitaifa na sio ki-kanda au kimkoa. Tanganyika ni nchi moja. Kumbuka hata maneno ya hayati baba wa taifa kuhusu zanzibar kujitenga na Tanganyika au Tanganyika kujitenga na zanzibar.
      Nchi za ulaya na Marekani tunaona zinaunganisha nguvu ili kumuadhibu Ghaddafi, mtu ambaye hata kwa Marekani yenyewe hafui dafu.
      Umoja ni nguvu.

    8. #7
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,953
      Rep Power : 1435
      Likes Received
      1516
      Likes Given
      1621

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      well said and noted.....!!i like mtwara.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    9. #8
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,802
      Rep Power : 1636
      Likes Received
      1195
      Likes Given
      1702

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      Chagueni upinzani
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    10. #9
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1847
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      Only solution ni kung'oa wahuni CCM................
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    11. #10
      commonmwananchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 669
      Rep Power : 549
      Likes Received
      115
      Likes Given
      1

      Default Re: Mtwara, Lindi, Ruvuma _Tukijitenga kisiasa tutaendelea

      " Tatizo la VIRUSI vya ugonjwa wa ubinafsi ni mbaya hata kuliko ukimwi,na unaenea kwa kasi mno, na ni pale tu mtu anapopata mabadiliko ya ghafla ambayo hakuyatarajia hata siku moja. HOJA YAKO KUHUSU RASLIMALI ni nzuri,tatizo lako ni ubinafsi.
      Nina imani mkishajitenga,mtaendelea kujitenga hadi utakapobaki wewe peke yako na kaburi,hapo ndio utagundua ubaya wa Virus hii na tayari itakuwa too late kwako.

    Similar Topics

    1. Wabunge wa CCM kutoka kusini (Ruvuma, Mtwara, Lindi) mnalala....
      By bushman in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 2nd August 2011, 22:30
    2. Baada ya zanzibar,ni lini slaa ataenda Lindi,Mtwara na Ruvuma?
      By TUNTEMEKE in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 16
      Last Post: 26th October 2010, 14:18
    3. Tetesi: Kuhakikisha ushindi mnono Dr. Slaa apaswa kufika Lindi, Mtwara na Ruvuma.....
      By Rutashubanyuma in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 18
      Last Post: 24th October 2010, 22:31
    4. Chadema mtwara na lindi
      By Kisendi in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 21st October 2010, 12:54
    5. Barabara ya Dar-Lindi-Mtwara
      By Sumalii in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 27th December 2006, 14:25

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...