| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 1390
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
kazi kweli kweli..nilikuwa zbar mweek 3 zilizopita nimeyaona yote yanayosemwa ila sijui ukweli wake ila lisemwalo......na mpangilio wa matukio yote ni sawa...
|
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
na mengine upime, umepewa akili bw mdogo
__________________
Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
then mkiitwa WAANDISHI MAKANJANJA,mnasema ohhh JK anawatusi. |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
kama yote nikweli, MPAKA LINI JAMANI????????? |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Sasa Engineer Mohd,
Jamaa kaambiwa naye ka share, wewe ulitaka nini? yeye ameripoti alichoambiwa. Inawezekana kuna ukweli au uongo ndani mwake. Ndio maana kaomba apewe details kwa wanaojua ukweli hasa.. Kati yako na sokomoko naona wewe ndie umetoka nje ya mistari na sio jamaa.
__________________
A positive thinker! |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Ah huyo jamaa hafai hata kupewa huo ukweli. Yeye alikuwa huko huko kwa nini kakubali kupita Michenzani tu. Asitake kupitishwa sehemu nyengine pia za Zanzibar Mjini na hata vijijini?. Kwa nini kataka kujua habari za Micheweni tu na shamba la Mama Karume, hakudadisi na mabonde ya mpunga huko Pemba ambako Mheshimiwa Shein hivi karibuni alianzisha kilimo cha umwagiliaji. Kwa nini kasikiliza story za Familia ya Karume tu kuwekeza katika Miradi ya Utalii, asitake kujua nini kinaendelea katika kuendeleza sekta hiyo ambayo imepata mafanikio makubwa kwa kiasi fulani? Kama huo si Ukanjanja ni nini? Anataka nini sasa kwa wana JF walioko Zanzibar wakati mwenyewe alikuwepo huko "physicaly". Unataka hao wana JF washirikiane naye kkatika ukanjanja? Acha usanii Bwana.
|
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hizi story za kila siku maana viongozi wetu wote ni wabadhilifu kila unayemuongelea lazima ana skendo yake.
|
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Wewe ukimuona mwizi ni kazi yako kupambana naye au unaita POLISI? Think twice kabla hujamuhukumu mwenzako. Kumbuka wakati wewe unamnyooshea kidole kimoja vinne unajinyooshea wewe.
__________________
A positive thinker! |
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Ahsante saana eng mohammed sijui wewe ni eng wa nini! maana sidhani kama unahitaji degree kujua pumba na mchele. mie hayo nimeelezewa na watu wenye akili zao na kuheshimika zanzibar naruadia watu wenye akili zao na wenye kuheshimika wamenipa story hizo za Family ya mhe karume kujilimbikizia mali! nicho omba kanjanja mie ni kuwa kama kuna mtu humu JF mwenye kujua mambo haya indetail atuletee ila haya ndio yanayosemwa au wewe eng wa uandishi mpigie simu JAbir Idrissa au Salim Said Salim au Abdallah Saleh maana wewe rank yako kubwa egn bwana! uwaulize kama yasemwayo ni kweli au sio kweli lakini ndio maneno yaliyopo kila baraza ukiuliza unaambiwa hivyo hivyo yaani ni kama nyimbo inayo hit redio station (anita - matonya na jay dee)
Wewe ni mkubwa na akili zako tunachotaka hapa ni kujua ukweli haina haja ya kutukanana na kushushiana hadhi "hoja hujibiwa na hoja" kwahiyo lete hoja yako mfano 1. mhe karume na mkewe wana banda moja la mama ntile na wala sio kila beach wamezuia wao na wao ndio key player kweye mambo ya utalii then unaenda kwa ufafanuzi zaidi. 2. mhe karume ana pick up moja 3. mama yake pale kwenye shamba la mtama ni la shoga yake ameazima alimie tu 3. yale matofari yaliyo kuwa yanadaiwa kuuzwa na mama karume sio kweli ila ameyatoa bure ku push maradi wa marehemu mumewake. 4. wale wanaosemekana walikuwa ni wafungwa sio wafungwa ila ni vibarua sare zao tu ndio zinafanana na wafungwa. Eng Mohamed unayaweza hayo ila nimekusaidia unavyotakiwa kufanya then ukilipwa nitumie credit na mie nimpigie Jabir Idrissa nimuulize heheheheh hamwachi? Mwenye details atupe jamani kama zssf zimechotwa ngapi kwenye yale majengo na uchina wametoa ngapi! Ahsante sana eng sana mohamed Sokomoko
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 05:53 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||