Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Siku kadha sasa zimepita katika maeneo mengi gazeti hili halipatikani, nashangaa sana gazeti hili kutokuwepo kwenye meza nyingi za kuwekea magazeti ambayo watu hupita pale na kuperuz then kuangalia ni kipi unachukua.

      Katika mazungumzo yangu na moja wa wauzaji amekiri kuwa hawauzi hilo gazeti hadharani kwa kuwa kuna wakubwa wanawaandama wakiona gazeti la TZ daima. Kwa hiyo wanachokifanya ni kuificha lakini mtu akihitaji linapatikana.

      eti lengo ni kwa kuwa linabadilisha mtazamo wa watu kwa kuwa linaandika kwa ukweli habari ambazo watu wanapenda. Nawashauri wahusika wa hii gazeti wafanye mpango wa kutafuta wauzaji waliopinda na wazalendo ni hawa wanaotishwa kidogo wanatetemeka.

      Kuna muuzaji moja aliniambia yeye hata wangefanyaje lazima aweke juu ya meza na lazima copy moja ibaki kwa ajili ya kudisplay kwenye meza yake hadi jioni.

      Naomba kuwasilisha.
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      RasJah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2009
      Posts : 599
      Rep Power : 604
      Likes Received
      25
      Likes Given
      43

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      kwahiyo linauzwa kama cd movies za x sio!!

    4. #3
      menyidyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Location : dsm
      Posts : 1,064
      Rep Power : 649
      Likes Received
      101
      Likes Given
      38

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      kumbe

    5. #4
      Mabulangati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 351
      Rep Power : 495
      Likes Received
      37
      Likes Given
      4

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Acha ushenzi wa kishetani wee mchochezi wa chuki isiyokuwa na maana au unatafuta huruma ya watu?. Unachotaka kuwamezesha wenzio ni kwamba gazeti linauzwa kimagendo au? Kwa taarifa yako kila siku nanunua gazeti ya Tanzania Daima hate leo nimefanya hivyo.

      Kama ni hujuma kama unavyodai wangelinunua magazeti kabla hajaenda kwa last vendor au wangeliteka kiwanda wakayatia moto kama ilivyofanyika kwa the daily nation huko kenya kipindi fulani au la kpundikiza wahariri. Kwanza wahujumu tanzania daima lina nini cha msingi cha kuogofya? mbona husemi Mwananchi, raia mwema au mwanahalisi ambao wameshapata misukosuko ya hapa na pale?

      Nakushauri utafute pengine pa kuanzia.

    6. #5
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,112
      Rep Power : 921
      Likes Received
      549
      Likes Given
      2008

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Quote By STEIN
      Siku kadha sasa zimepita katika maeneo mengi gazeti hili halipatikani, nashangaa sana gazeti hili kutokuwepo kwenye meza nyingi za kuwekea magazeti ambayo watu hupita pale na kuperuz then kuangalia ni kipi unachukua.

      Katika mazungumzo yangu na moja wa wauzaji amekiri kuwa hawauzi hilo gazeti hadharani kwa kuwa kuna wakubwa wanawaandama wakiona gazeti la TZ daima. Kwa hiyo wanachokifanya ni kuificha lakini mtu akihitaji linapatikana.

      eti lengo ni kwa kuwa linabadilisha mtazamo wa watu kwa kuwa linaandika kwa ukweli habari ambazo watu wanapenda. Nawashauri wahusika wa hii gazeti wafanye mpango wa kutafuta wauzaji waliopinda na wazalendo ni hawa wanaotishwa kidogo wanatetemeka.

      Kuna muuzaji moja aliniambia yeye hata wangefanyaje lazima aweke juu ya meza na lazima copy moja ibaki kwa ajili ya kudisplay kwenye meza yake hadi jioni.

      Naomba kuwasilisha.
      Wamechemka hao,na mwanahalisi watasemaje?maana mwanhalisi ndio linaandika habari za kutisha zaidi na ambalo watanzania wengi wenye akili timamu wanalisoma.

    7. Miaka 50

    8. #6
      PingPong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2008
      Posts : 734
      Rep Power : 677
      Likes Received
      39
      Likes Given
      44

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      noana hata online pia halipatikani

    9. #7
      talumba mkiwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Posts : 22
      Rep Power : 442
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      uzushi

    10. #8
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Quote By Mabulangati
      Acha ushenzi wa kishetani wee mchochezi wa chuki isiyokuwa na maana au unatafuta huruma ya watu?. Unachotaka kuwamezesha wenzio ni kwamba gazeti linauzwa kimagendo au? Kwa taarifa yako kila siku nanunua gazeti ya Tanzania Daima hate leo nimefanya hivyo.

      Kama ni hujuma kama unavyodai wangelinunua magazeti kabla hajaenda kwa last vendor au wangeliteka kiwanda wakayatia moto kama ilivyofanyika kwa the daily nation huko kenya kipindi fulani au la kpundikiza wahariri. Kwanza wahujumu tanzania daima lina nini cha msingi cha kuogofya? mbona husemi Mwananchi, raia mwema au mwanahalisi ambao wameshapata misukosuko ya hapa na pale?

      Nakushauri utafute pengine pa kuanzia.
      Punguza jaziba mkuu, naona jamaa Location yake yupo Arusha na hatujui Arusha sehemu gani... lakini sijaona umuhimu wa kuanzisha thread kama hii, ni kuongeza mzigo katika server za jamaa... halafu inaonekana kama analipigia debe kiaina hili gazeti maana lipo online kila siku kama halipati alitafute kwenye mtandao
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    11. #9
      Uliza_Bei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 794
      Rep Power : 576
      Likes Received
      112
      Likes Given
      45

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Hata mimi silipati online Tanzania Daima kulikoni? inawezekana yanayosemwa yakawa sahihi labda lahujumiwa jama!!!
      ukipenda asali usiogope ukali wa nyuki

    12. #10
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,398
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      1388
      Likes Given
      907

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Quote By Mabulangati
      Acha ushenzi wa kishetani wee mchochezi wa chuki isiyokuwa na maana au unatafuta huruma ya watu?. Unachotaka kuwamezesha wenzio ni kwamba gazeti linauzwa kimagendo au? Kwa taarifa yako kila siku nanunua gazeti ya Tanzania Daima hate leo nimefanya hivyo.

      Kama ni hujuma kama unavyodai wangelinunua magazeti kabla hajaenda kwa last vendor au wangeliteka kiwanda wakayatia moto kama ilivyofanyika kwa the daily nation huko kenya kipindi fulani au la kpundikiza wahariri. Kwanza wahujumu tanzania daima lina nini cha msingi cha kuogofya? mbona husemi Mwananchi, raia mwema au mwanahalisi ambao wameshapata misukosuko ya hapa na pale?

      Nakushauri utafute pengine pa kuanzia.
      Matusi ya nini tena humu jamvini?
      Mnang'oa meno ya Tembo ili mukayauze, mnang'oa meno na Kucha za Watanzania wasio na hatia ili iweje?

    13. #11
      MZAWATA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 467
      Likes Received
      31
      Likes Given
      1

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      mwenye macho haambiwi tazama jaman, hali c inaonekana wazi, Tanzania daima siku hizi ni vichwa vya watanzania wenyewe kwa hiyo hata wafanye hujma kias gan bado tu mawazo yetu yanatutosha katika kufanya tathmin ya mambo inavyokwenda

    14. #12
      Babu Lao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Korokocho
      Posts : 2,019
      Rep Power : 836
      Likes Received
      133
      Likes Given
      69

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Quote By PingPong
      noana hata online pia halipatikani
      Mkuu hebu jaribu hapa:

      Tanzania Daima - Sauti ya Watu
      Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno, tuwang'oe meno walaji ili wenye moyo wasijekata tamaa ya kuijenga!!!!

    15. #13
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,091
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1024
      Likes Given
      2876

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Quote By PingPong
      noana hata online pia halipatikani
      online lipo limejaa tele we click ikishafunga utaona small icons on your left hand then select hapo
      You may know me but you have no Idea who I am !

    16. #14
      HM Hafif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2009
      Posts : 1,372
      Rep Power : 771
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Tuache uzandiki. Gazeti hili haliujumu nani na kwa nini?

      Wanalihujumu wenyewe kwa taarifa zake zisizo makini na zenye kufurahisha wana Chadema.

    17. #15
      HM Hafif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2009
      Posts : 1,372
      Rep Power : 771
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa

      Quote By PingPong
      noana hata online pia halipatikani
      Wamefilisika wameshindwa hata kulipia ebsite yao au wameshindwa kumlipa web master wao.

    Similar Topics

    1. Gazeti la Tanzania daima
      By everybody in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 25th April 2011, 14:33
    2. Gazeti la tanzania daima linahujumiwa kibaha-pwani
      By nyabhingi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 23rd December 2010, 11:57
    3. Gazeti la Tanzania Daima: What's up?
      By Mugongo Mugongo in forum Jamii Intelligence
      Replies: 55
      Last Post: 1st August 2009, 11:40
    4. Tanzania daima ni gazeti la udaku au?
      By Freetown in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 16
      Last Post: 27th October 2008, 20:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...