Nimesikia sasa hivi kwamba huko kitunda kuna utumbo wa binadamu unaning'inia kwenye waya wa umeme mpaka hivi sasa ninapoandika, ni habari inayonishangaza na nimeona niirushe kwa faida ya wanajamii wengine.
SOURCE: Bonge wa Power Breakfast ya Clouds FM 07:40 AM EAT

Reply With Quote
Follow Us Here