WanaJF habari za jioni,
Ni mategemeo yangu nyote mpo salama, kuna swali napenda kuwaulizeni ili nipate kujua hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo imewahi kulipuka kwa maghala yake ya silaha kwenye kambi za kijeshi na kuleta madhara?
WanaJF habari za jioni,
Ni mategemeo yangu nyote mpo salama, kuna swali napenda kuwaulizeni ili nipate kujua hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo imewahi kulipuka kwa maghala yake ya silaha kwenye kambi za kijeshi na kuleta madhara?
Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe
yeah...kuna rumours kwamba hata Russia,mozambique and even Zambia ila sina hakika na kiwango cha madhara na pia CHANZO chake maana hilo ndio issue kubwa
Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!
Thanks lakini nahitaji habari zilizokuwa za kweli ili tujiridhishe kuwa ni jambo la kawaida na swali libaki kwanini kambi zetu zipo kwenye makazi ya watu? na je hakuna uwezekano kwa lugalo na jitegemee kulipuka in near future? wamejiandaaje na kuzuia matatizo yasitokee kwenye kambi nyinginezo?
Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe
Mmmh! Hata sijui ila uzembe ni uzembe tu hata kama hayo mabomu yangelipuka nchi zilizoendelea.
hizi kambi hapo zamani kabla ya jiji kupanuka zilionekana ni nje ya mji...hata hivyo what matters ni safety caution of keeping this killing bombs regardles zipo wapi..nadhani kutokujali,kutokutoa mafunzo na pia kubania bajeti ni chanzo..jeshi linapelekwa kisiasa zaidi...kwa vita za siku hizi sidhani hata kama yanafaa tena haya
Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!
THE BEST IS YET TO COME.
THE GREATEST EXPERIENCE IS TO MEET YOURSELF AND FALL IN LOVE WITH YOURSELF.
Only Tanzania kitu hicho kinatokea Russia Ilitokea leakage ya Nuklia sio Kambia ya Jeshi na sehemu nyingie ilipo tokea ni Panagarh in India na watu walipoteza maisha 0 hakuna aliyepoteza Maisha na hakuna aliyejeruhiwa The Telegraph - Calcutta (Kolkata) | Bengal | Blaze in army depot
Only Tanzania kuna Wazembe kama wakina Shimbo kazi kuzungumzia siasa na wamesahau kuangalia maghala ya silaha kama yanahitaji uangalifu
Kweli askari wetu wanapenda kuongelea siasa na wanatamani wawe wanasiasa na wanasahau wajibu wajibu wao .
Dah! mkuu nilikuwa najaribu ku google ili nione, sijafanikiwa kupata chochote.. vp salama lakini kaka? maana juzi jioni na jana ilikuwa kimya hatukukuona jamvini.....
Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.
Follow Us Here