Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naombeni kuuliza.......................

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,801
      Rep Power : 1191
      Likes Received
      850
      Likes Given
      250

      Default Naombeni kuuliza.......................

      WanaJF habari za jioni,

      Ni mategemeo yangu nyote mpo salama, kuna swali napenda kuwaulizeni ili nipate kujua hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo imewahi kulipuka kwa maghala yake ya silaha kwenye kambi za kijeshi na kuleta madhara?
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    2. Study Abroad

    3. #2
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      yeah...kuna rumours kwamba hata Russia,mozambique and even Zambia ila sina hakika na kiwango cha madhara na pia CHANZO chake maana hilo ndio issue kubwa
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    4. #3
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,801
      Rep Power : 1191
      Likes Received
      850
      Likes Given
      250

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      Quote By Inkoskaz
      yeah...kuna rumours kwamba hata Russia,mozambique and even Zambia ila sina hakika na kiwango cha madhara na pia CHANZO chake maana hilo ndio issue kubwa
      Thanks lakini nahitaji habari zilizokuwa za kweli ili tujiridhishe kuwa ni jambo la kawaida na swali libaki kwanini kambi zetu zipo kwenye makazi ya watu? na je hakuna uwezekano kwa lugalo na jitegemee kulipuka in near future? wamejiandaaje na kuzuia matatizo yasitokee kwenye kambi nyinginezo?
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    5. #4
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,136
      Rep Power : 24894
      Likes Received
      4159
      Likes Given
      584

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      Mmmh! Hata sijui ila uzembe ni uzembe tu hata kama hayo mabomu yangelipuka nchi zilizoendelea.

    6. #5
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,801
      Rep Power : 1191
      Likes Received
      850
      Likes Given
      250

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      Quote By Husninyo
      Mmmh! Hata sijui ila uzembe ni uzembe tu hata kama hayo mabomu yangelipuka nchi zilizoendelea.
      u r right una maana inabidi watu wawajibike ikibidi!
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    7. Miaka 50

    8. #6
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      hizi kambi hapo zamani kabla ya jiji kupanuka zilionekana ni nje ya mji...hata hivyo what matters ni safety caution of keeping this killing bombs regardles zipo wapi..nadhani kutokujali,kutokutoa mafunzo na pia kubania bajeti ni chanzo..jeshi linapelekwa kisiasa zaidi...kwa vita za siku hizi sidhani hata kama yanafaa tena haya
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    9. #7
      drphone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2009
      Posts : 3,514
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      99
      Likes Given
      10

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      Quote By Mohammed Shossi
      WanaJF habari za jioni,

      Ni mategemeo yangu nyote mpo salama, kuna swali napenda kuwaulizeni ili nipate kujua hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo imewahi kulipuka kwa maghala yake ya silaha kwenye kambi za kijeshi na kuleta madhara?
      mkuu cjui umewaza nn ila najua umefikiria sana kiukweli akuna na kama imewaikutokea ilikuwa ni bahati mbaya kwelikweli ila sio kama hapa tz hapa yanatokea kwa uzembe uliokithiri wala kuelezeka simple tu kwa vile uhai wa watu auna thamani
      THE BEST IS YET TO COME.

      THE GREATEST EXPERIENCE IS TO MEET YOURSELF AND FALL IN LOVE WITH YOURSELF.

    10. #8
      Mwanaitelejensi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Location : Magogoni
      Posts : 104
      Rep Power : 441
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      Only Tanzania kitu hicho kinatokea Russia Ilitokea leakage ya Nuklia sio Kambia ya Jeshi na sehemu nyingie ilipo tokea ni Panagarh in India na watu walipoteza maisha 0 hakuna aliyepoteza Maisha na hakuna aliyejeruhiwa The Telegraph - Calcutta (Kolkata) | Bengal | Blaze in army depot

      Only Tanzania kuna Wazembe kama wakina Shimbo kazi kuzungumzia siasa na wamesahau kuangalia maghala ya silaha kama yanahitaji uangalifu

    11. #9
      Kivia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 274
      Rep Power : 487
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      Kweli askari wetu wanapenda kuongelea siasa na wanatamani wawe wanasiasa na wanasahau wajibu wajibu wao .

    12. #10
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      908

      Default Re: Naombeni kuuliza.......................

      Dah! mkuu nilikuwa najaribu ku google ili nione, sijafanikiwa kupata chochote.. vp salama lakini kaka? maana juzi jioni na jana ilikuwa kimya hatukukuona jamvini.....
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    13. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. kuuliza sio ujinga naombeni msaada
      By libent in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 24th November 2011, 07:13
    2. naombeni kuuliza juu ya wanawake wa kilimanjaro
      By libent in forum JF Chit-Chat
      Replies: 12
      Last Post: 23rd November 2011, 00:08
    3. naomba kuuliza
      By lukenza in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 7th August 2011, 22:42
    4. naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???
      By Misosi in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 66
      Last Post: 8th April 2011, 13:41

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...