Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      njiwamanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 34
      Rep Power : 442
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Ili demokrasia ya kutoa maoni kwa njia ya maandamano isiingiliwe na jeshi la polisi imegunduliwa dawa.Dawa hiyo ni kuwa iwapo polisi wataingilia maandamano na kupiga,na kuua watu ktk maandamano basi jamii na hasa vijana walipze kisasi kwa familia au ndugu zao ambao wapo uraiani kwa kuwafanyia kitendo kile kile walichofanya polisi kwa waandamanaji.changia hoja hii


    2. #2
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,822
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      856
      Likes Given
      255

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Sidhani kama tunataka kufika huko kupoteza uhai wa mtu ambae hajausika. Fikiria wewe ni ndugu yake afande nanihii uuliwe kwa ajili ya ndugu yako? TAFAKARI.
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    3. #3
      Joseph's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Location : Zanzibar
      Posts : 2,812
      Rep Power : 1236
      Likes Received
      739
      Likes Given
      476

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Tatizo huwa ni vigumu sana kumjua ni askari gani kaua kwa kuwa huwa wanavaa helmet na kuziba nyuso zao hivyo kutokuwa rahisi kuwatambua,hata hivyo tukumbuke kuwa ile ni kazi kama zilivyo kazi nyingine na wao kwa kuwa wanafuata amri zaidi hivyo huwa ni vigumu sana kutotii amri za wakubwa zao,la maana ni kutafuta njia nyingine mbadala hii ya kulipiza kisasi kwa style hiyo hakuna atakayebaki salama.
      You can never have someone praise you,nor will anyone condemn you,never in the past,not at present and never will be in the future.

    4. #4
      Kagwina's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2009
      Posts : 29
      Rep Power : 521
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Nenda Muhimbili ukapimwe kichwa chako, inawezekana umewehuka!

    5. #5
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,684
      Rep Power : 2181
      Likes Received
      1931
      Likes Given
      752

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Quote By Kagwina View Post
      Nenda Muhimbili ukapimwe kichwa chako, inawezekana umewehuka!
      Mh!why are using abusive language!!


    6. #6
      nyosingo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 5
      Rep Power : 438
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Hapo mkuu haifai hata kwenye biblia imeandikwa usilipize jema kwa baya

    7. #7
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,475
      Rep Power : 19245
      Likes Received
      4193
      Likes Given
      3374

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Naunga mkono kama utakuwa umemtambua alie ua...
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    8. #8
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,475
      Rep Power : 19245
      Likes Received
      4193
      Likes Given
      3374

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Quote By nyosingo View Post
      Hapo mkuu haifai hata kwenye biblia imeandikwa usilipize jema kwa baya
      jino kwa jino....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    9. #9
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,822
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      856
      Likes Given
      255

      Default Re: Dawa ya kutibu polisi katika maandamano

      Quote By Crashwise View Post
      jino kwa jino....
      Hii ilikuwa sera ya chama fulani cha siasa lakini mwisho wake wametulia kimyaaa pengine mgetafuta njia ya kistaarabu zaidi nadhani hata biblia imesema "usiue" ikasema "samehe saba mara sabini"
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    Similar Topics

    1. Dawa ya kutibu uchovu wa mwili
      By MziziMkavu in forum JF Doctor
      Replies: 15
      Last Post: 12th October 2011, 12:59
    2. Nini dawa ya kutibu ANAL FISTULA?
      By Chatumkali in forum JF Doctor
      Replies: 11
      Last Post: 23rd September 2011, 10:11
    3. Dawa ya kutibu kiungulia
      By tete'a'tete in forum JF Doctor
      Replies: 4
      Last Post: 15th August 2011, 21:22
    4. Replies: 13
      Last Post: 14th January 2011, 14:28
    5. Dawa ya kutibu ugonjwa wa Ebola yagunduliwa
      By MziziMkavu in forum JF Doctor
      Replies: 0
      Last Post: 3rd June 2010, 03:14

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...