Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      carefree's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th December 2010
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Waziri membe tunaomba ufuatilie zoezi la utoaji viza za uk
      leo kati ya watz 50 walioomba viza ni wa3 tu ndio wamepata .
      Mimi ni mfanyabiashara kwa kawaida huwa wanapiga simu benki na kule ninapoelekea lakini safari hii hawafanya hivyo
      mara zote 5 nilikuwa nikiomba napata wakati ofisi zao zikijiendesha kwa dar
      pale ubalozini wamenidokeza kuwa toka waamie nairobi watz wanabaniwa sana na wakenye

    2. Miaka 50

    3. #2
      jamii01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : STREET
      Posts : 915
      Rep Power : 622
      Likes Received
      279
      Likes Given
      172

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      safiiii.....jiulize kwa nini waliamia Kenya?

    4. #3
      superfisadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 549
      Rep Power : 619
      Likes Received
      43
      Likes Given
      1

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      pole lakini watz walinyamaza waliposikia ubalozi unaamishiwa kenya , kwa hiyo utafanyaje mkuu

    5. #4
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8417
      Likes Received
      1134
      Likes Given
      390

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Wa Tanzania ni wakunyanyasika tu hata wahindi walisha wahi wanyanyasa hapa nchini kwao ubalozi wa marekani kulikuwa na kamama ka kihindi pale acha tu!

    6. #5
      makandokando's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 294
      Rep Power : 491
      Likes Received
      12
      Likes Given
      5

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      waache wakenya wabane, sisi si tuanijafanya hatujali.
      I tawt I taw a puddy tat....i did i did


    7. #6
      Babu Lao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Korokocho
      Posts : 2,021
      Rep Power : 838
      Likes Received
      134
      Likes Given
      71

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Quote By jamii01
      safiiii.....jiulize kwa nini waliamia Kenya?
      Ha ha haaaa mkuu, ila ukweli ni kwamba english speaking countries zote ni wahuni vumilieni tu.... lakini mlikuwa wapi wakati wanahamishia hudumu ya viza kenya, unaweza kuta tatizo sio wakenya bali ni janja ya waingereza wenyewe kupunguza namba ya wabongo wanaoenda uk,,,, fanyeni uchunguzi kwanza????????
      Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno, tuwang'oe meno walaji ili wenye moyo wasijekata tamaa ya kuijenga!!!!

    8. #7
      Maria Roza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2009
      Posts : 6,436
      Rep Power : 1845
      Likes Received
      790
      Likes Given
      333

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Poleni sana ila swala la kuhamishwa kuhusu kutoa visa si bongo pekee ni karibia dunia nzima wamebadili.
      If u can't stand for something , u will fall for anything !

    9. #8
      Bantugbro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2009
      Posts : 2,410
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      488
      Likes Given
      1501

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Mkuu wala usiangaike na Benard, maana ataishia kusema tu Wakenya ni Majoka ya Mdimu...
      Just because presidents screws around, it doesn't make a president for screwing around..

    10. #9
      carefree's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th December 2010
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By superfisadi
      pole lakini watz walinyamaza waliposikia ubalozi unaamishiwa kenya , kwa hiyo utafanyaje mkuu
      kwa kweli sijui labda mpk kichwa kitulie ndio nijue la kufanya ila ni uhuni wa hali ya juu

    11. #10
      carefree's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th December 2010
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Quote By NATA
      Wa Tanzania ni wakunyanyasika tu hata wahindi walisha wahi wanyanyasa hapa nchini kwao ubalozi wa marekani kulikuwa na kamama ka kihindi pale acha tu!
      Pale ubalozini nilipojaribu kuwauliza kulikoni waliniambia kuna mkenya mmoja akishughulikia viza za tz ndio mambo huwa hivyo , kama Membe atalishughulikia suala hili mapema kabla halijakomaa atakuwa amewasaidia sana wale wanaoomba na wanaosubiri majibu ili wasijekukwama kama akina sisi

    12. #11
      carefree's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th December 2010
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Quote By Babu Lao
      Ha ha haaaa mkuu, ila ukweli ni kwamba english speaking countries zote ni wahuni vumilieni tu.... lakini mlikuwa wapi wakati wanahamishia hudumu ya viza kenya, unaweza kuta tatizo sio wakenya bali ni janja ya waingereza wenyewe kupunguza namba ya wabongo wanaoenda uk,,,, fanyeni uchunguzi kwanza????????
      lakini kumbuka mimi huwa naenda kibiashara kwa zaidi ya miaka 8 sasa na huwa naenda nakaa 2 to 3 wks narudi sasa leo wakininyima visa kwa sababu sitaweza kulipia gharama za kukaa kule unaona ni uhuni benki balance yangu na mzunguko wangu kwa three maonths ni wa kutosha kabisa jambo linalonifanya nione hata huyo mkenya ana roho ngumu sana kunijibu kuwa sitaweza kugharamia malazi chkula na ticket

    13. #12
      carefree's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th December 2010
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Quote By Bantugbro
      Mkuu wala usiangaike na Benard, maana ataishia kusema tu Wakenya ni Majoka ya Mdimu...
      lakini ni waziri ambaye suala hili liko chini yake

    14. #13
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7770
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Kwani huo Ubalozi hauna ku-appeal kama unaona hujatendewa haki?
      Besides, inakuwaje mkenya anashughulikia suala la viza ya Uingereza?
      Kwa kawaida huwa naona vitengo vya visa vikishughulikiwa na maofisa ambao ni raia wa nchi husika..
      Hicho kitu ndo mara ya kwanza kukisikia ati!!!!
      Do Something......

    15. #14
      Tangawizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2009
      Posts : 943
      Rep Power : 693
      Likes Received
      188
      Likes Given
      184

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Issues kama hizi ni lazima ziangaliwe strategically. Ukiikosea kidogo everything would be blown out of proportion na ni kwa hasara yetu. It is time to start thinking na kuwa majanja kuona mbali guys na sio kulalamika lalamika tu bila sababu

    16. #15
      RealMan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : Daslam
      Posts : 1,686
      Rep Power : 2968
      Likes Received
      598
      Likes Given
      324

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Sina hakika na hii tuhuma ila wewe umejuaje wamepata 3 out of 50 maana kila mtu huenda kuchukua kivyake bahasha yenye p.port yake.

      Wakenya hawatoi visa ingawa kuna wakenya idara ya visa.
      Naamini alokwambia eti kuna mkenya anatubania kakupandisha pressure bure.

      Mimi hata bank statement huwa siweki na visa napata, jaribu kufuatilia kabla hujalaum.

      FYI, kuna mkakati wa kupunguza wahamiaji na watakao kusoma 1st degree kutoka nje ya uropa maana tukienda tunazamia sasa makonsevativu hawataki.

      Next time nenda nairobi fizikale huwa rahisi zaidi hasa kama una safari ya haraka.

      Ila pia idadi ya Uk nationals and investments in kenya iko juu so strategically wako sahihi

    17. #16
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,185
      Rep Power : 1536
      Likes Received
      765
      Likes Given
      597

      Default Re: Membe-Wakenya wahujumu watz ubalozi wa uk

      Quote By Tangawizi
      Issues kama hizi ni lazima ziangaliwe strategically. Ukiikosea kidogo everything would be blown out of proportion na ni kwa hasara yetu. It is time to start thinking na kuwa majanja kuona mbali guys na sio kulalamika lalamika tu bila sababu
      Strategy to preserve the status quo is unacceptable. Ni matokeo ya kuwa makondoo kwenye jumuiya ya Africa Mashariki NA BADO. Serikali ya JK haitafanya cho chote. Plan ahead get rid of ugonjwa kwenye shina ondoa uoza wa serikali ya JK by hooks and crooks
      Ukweli utakuweka huru daima

    Similar Topics

    1. WaTZ Mbona hampendi wakenya?
      By kenyata in forum International Forum
      Replies: 173
      Last Post: 31st December 2011, 10:56
    2. Replies: 4
      Last Post: 26th May 2011, 18:58
    3. Replies: 29
      Last Post: 22nd May 2010, 20:23
    4. Membe Ubalozi karibia utafungwa kule Brussels
      By Kimbembe in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 57
      Last Post: 29th December 2008, 21:22

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...