Waziri membe tunaomba ufuatilie zoezi la utoaji viza za uk
leo kati ya watz 50 walioomba viza ni wa3 tu ndio wamepata .
Mimi ni mfanyabiashara kwa kawaida huwa wanapiga simu benki na kule ninapoelekea lakini safari hii hawafanya hivyo
mara zote 5 nilikuwa nikiomba napata wakati ofisi zao zikijiendesha kwa dar
pale ubalozini wamenidokeza kuwa toka waamie nairobi watz wanabaniwa sana na wakenye

Reply With Quote
????????
Follow Us Here