Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 98
    1. #1
      BULLDOZZER's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 104
      Rep Power : 439
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

      Jana kulikuwa na thread iliyokuwa na kichwa cha habari "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo kuhusu Dowans" Source ya thread hiyo ilikuwa gazeti la "TZ Daima". Watu wengi tulipoteza MUDA mwingi kuchangia thread hiyo. Katika gazeti hilo kulinukuliwa habari zilizotoka katika kikao cha baraza la Mawaziri ambacho JK alikuwa ni mwenyekiti wake. Nukuu mbalimbali zilitolewa kama ushahidi wa kilichosemwa kikaoni.

      Habari zilizothibitishwa na Sitta mwenyewe na Pia Katibu mkuu Ndg. Ph. Luhanjo zinasema HAPAKUWA NA KIKAO CHA MAWAZIRI WALA HAKUNA ALIYEWAZIBA MDOMO SITTA NA MWAKYEMBE. habari hizi zimeandikwa na magazeti yote ya leo kasoro TZ Daima.

      Wadau: Katika tasnia ya habari, Je, hamuoni kama gazeti hili ni hatari kwa usalama wa nchi yetu?. Je, gazeti kama hili katika utawala unaojali sheria za vyombo vya habari halipaswi kufungiwa kwa muda? Je, si kweli kwamba waandishi wa gazeti hili ni MAKANJANJA?. naomba tuwe wazalendo katika kujadili hili. Tanzania ni yetu na ni sisi wenye damu mpya tunaoweza kuifikisha nchi tunapopataka kwa AMANI.


    2. #2
      urasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 435
      Rep Power : 540
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      magazeti hatari ni al huda na al nuru,sauti huru,tazama,mtanzania,rai,haba ri leo

    3. #3
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,875
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      228
      Likes Given
      9

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Wewe hujui gazeti hatari ktk nchi yetu?..............ni mtanzania , al nuur, na vijarida vingine vya kiislamu vyenye kufagilia na kuchochea udini
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    4. #4
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,724
      Rep Power : 1514
      Likes Received
      974
      Likes Given
      565

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By BULLDOZZER View Post
      Jana kulikuwa na thread iliyokuwa na kichwa cha habari "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo kuhusu Dowans" Source ya thread hiyo ilikuwa gazeti la "TZ Daima". Watu wengi tulipoteza MUDA mwingi kuchangia thread hiyo. Katika gazeti hilo kulinukuliwa habari zilizotoka katika kikao cha baraza la Mawaziri ambacho JK alikuwa ni mwenyekiti wake. Nukuu mbalimbali zilitolewa kama ushahidi wa kilichosemwa kikaoni.

      Habari zilizothibitishwa na Sitta mwenyewe na Pia Katibu mkuu Ndg. Ph. Luhanjo zinasema HAPAKUWA NA KIKAO CHA MAWAZIRI WALA HAKUNA ALIYEWAZIBA MDOMO SITTA NA MWAKYEMBE. habari hizi zimeandikwa na magazeti yote ya leo kasoro TZ Daima.

      Wadau: Katika tasnia ya habari, Je, hamuoni kama gazeti hili ni hatari kwa usalama wa nchi yetu?. Je, gazeti kama hili katika utawala unaojali sheria za vyombo vya habari halipaswi kufungiwa kwa muda? Je, si kweli kwamba waandishi wa gazeti hili ni MAKANJANJA?. naomba tuwe wazalendo katika kujadili hili. Tanzania ni yetu na ni sisi wenye damu mpya tunaoweza kuifikisha nchi tunapopataka kwa AMANI.
      Toa kwanza sababu kwa nini tukuamini wewe na si Tanzania Daima? maana haya makanusho tumeshayazoea, imekuwa kama fasheni fulani hivi
      Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi

    5. #5
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,875
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      228
      Likes Given
      9

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Huku kwingine mnatupoteza maboya tu...ni sawa na kuleta mjaala wa udini wa uongo wa kupikwa na ccm kwa kuwatuma masheikh badala ya kujadili katiba...............
      Watz wa leo sio wale wa jana tumedhamilia na tuko imara hatutikisiki hata vikosi vyote vya ulinzi na usalama viamriwe na kikwete na ccm kuwaua watz walioamua mabadiliko tutakufa hatimae ukombozi wa nchi mikononi mwa kikwete na mafisaid utapatikana
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu


    6. #6
      Mwera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 855
      Rep Power : 615
      Likes Received
      63
      Likes Given
      1

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.

    7. #7
      muhogomchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 375
      Rep Power : 503
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By Mwera View Post
      Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
      gazeti hili linamuhariri /makamo muhairiri muislam, au mnalaumu annur tu humu jf?
      Nasema tena nasema, Mimi Tanzania Kwanza, vyama vya Siasa baadae

    8. #8
      hmethod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 1,737
      Rep Power : 936
      Likes Received
      116
      Likes Given
      131

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By urasa View Post
      magazeti hatari ni al huda na al nuru,sauti huru,tazama,mtanzania,rai,haba ri leo
      Pamoja na Daily News
      Salus Populi Suprema Lex Esto

      Salva Veritate

    9. #9
      muhogomchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 375
      Rep Power : 503
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By Mwera View Post
      Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
      gazeti hili linamuhariri /makamo muhariri muislam, au mnalaumu annur tu humu jf?
      Nasema tena nasema, Mimi Tanzania Kwanza, vyama vya Siasa baadae

    10. #10
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8707
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2694

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Nilitegemea watakanusha,sasa ukishafungwa mdomo unafikiri inakuwaje??? ukiufungua unakanusha tu.............lol
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.

    11. #11
      BULLDOZZER's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 104
      Rep Power : 439
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By Chakaza View Post
      Toa kwanza sababu kwa nini tukuamini wewe na si Tanzania Daima? maana haya makanusho tumeshayazoea, imekuwa kama fasheni fulani hivi
      Mhhh!!! SITTA MWENYEWE AMEKANUSHA! kwa hiyo naomba uchangie kwa ueledi mzuri.

    12. #12
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,685
      Rep Power : 1222
      Likes Received
      551
      Likes Given
      425

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By Mwera View Post
      Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
      Lile kusudio la Bernadi Membe kulishati gazeti la mwanachi limeshafika mahakamani? Sijaona sehemu yeyote lile gazeti lilipokanusha habari inayolalamikiwa na Membe.
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    13. #13
      Don Alaba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : HERE
      Posts : 132
      Rep Power : 464
      Likes Received
      7
      Likes Given
      1

      Default Re: Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

      Tuone yatakayojiri leo baada ya kikao cha Kamati kuu CHI CHI EMU

    14. #14
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,492
      Rep Power : 24257
      Likes Received
      5132
      Likes Given
      2741

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By mwera View Post
      ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
      Hawatashitaki ng'o.....kwa kuwa ni kweli wamefungwa mdomo...tumewazoea na vigeugeu vyao....na watuambie basi kama msimamo wao walioutowa awali kuhusu Dowans uko vilevile kupitia vyombo vya umma ikiwemo ukosowaji wao wa werema na ngeleja....Hapo ndio tutajua kama ni kweli tanzania daima wamesema urongo au la.

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    15. #15
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,492
      Rep Power : 24257
      Likes Received
      5132
      Likes Given
      2741

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By BULLDOZZER View Post
      Mhhh!!! SITTA MWENYEWE AMEKANUSHA! kwa hiyo naomba uchangie kwa ueledi mzuri.
      Kakanusha kwa hiari au shinikizo?

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    16. #16
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 678
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

      Tushawazoea atii

    17. PPM is online now
      PPM
      #17
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 406
      Rep Power : 479
      Likes Received
      65
      Likes Given
      39

      Default Re: Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

      Quote By BULLDOZZER View Post
      Jana kulikuwa na thread iliyokuwa na kichwa cha habari "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo kuhusu Dowans" Source ya thread hiyo ilikuwa gazeti la "TZ Daima". Watu wengi tulipoteza MUDA mwingi kuchangia thread hiyo. Katika gazeti hilo kulinukuliwa habari zilizotoka katika kikao cha baraza la Mawaziri ambacho JK alikuwa ni mwenyekiti wake. Nukuu mbalimbali zilitolewa kama ushahidi wa kilichosemwa kikaoni.

      Habari zilizothibitishwa na Sitta mwenyewe na Pia Katibu mkuu Ndg. Ph. Luhanjo zinasema HAPAKUWA NA KIKAO CHA MAWAZIRI WALA HAKUNA ALIYEWAZIBA MDOMO SITTA NA MWAKYEMBE. habari hizi zimeandikwa na magazeti yote ya leo kasoro TZ Daima.

      Wadau: Katika tasnia ya habari, Je, hamuoni kama gazeti hili ni hatari kwa usalama wa nchi yetu?. Je, gazeti kama hili katika utawala unaojali sheria za vyombo vya habari halipaswi kufungiwa kwa muda? Je, si kweli kwamba waandishi wa gazeti hili ni MAKANJANJA?. naomba tuwe wazalendo katika kujadili hili. Tanzania ni yetu na ni sisi wenye damu mpya tunaoweza kuifikisha nchi tunapopataka kwa AMANI.
      Hatari ni nyie mnaosema gazeti limedanganya,( mnamiliki dola) na hamjachukua hatua.

    18. #18
      Mulongo Poteka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2010
      Posts : 2,060
      Rep Power : 0
      Likes Received
      299
      Likes Given
      127

      Default Re: Uongo wa gazeti la tanzania daima

      Quote By muhogomchungu View Post
      gazeti hili linamuhariri /makamo muhairiri muislam, au mnalaumu annur tu humu jf?
      Acha mambo yako ya udini! Nadhani hapo ulikuwa unaimanisha Mhariri

    19. #19
      Supervisor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 337
      Rep Power : 505
      Likes Received
      111
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By urasa View Post
      magazeti hatari ni al huda na al nuru,sauti huru,tazama,mtanzania,rai,haba ri leo
      umesahau gazeti ambalo halinunuliwa labda mpaka kuwe na matokeo ya mitihani la UHURU

    20. #20
      Mulongo Poteka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2010
      Posts : 2,060
      Rep Power : 0
      Likes Received
      299
      Likes Given
      127

      Default Re: Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

      Al huda na Annur haya huwa sisomi kabisa! Nikiyaona hununu na kuwapa wamama wafungie maandazi

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Gazeti la Mbowe TANZANIA DAIMA
      By woyowoyo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 20
      Last Post: 20th September 2011, 13:35
    2. Gazeti la Tanzania daima
      By everybody in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 25th April 2011, 14:33
    3. Gazeti la Tanzania Daima: What's up?
      By Mugongo Mugongo in forum Jamii Intelligence
      Replies: 55
      Last Post: 1st August 2009, 11:40
    4. Tanzania daima ni gazeti la udaku au?
      By Freetown in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 16
      Last Post: 27th October 2008, 20:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...