 |
 |

19th November 2008, 09:58 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Buzwagi
Posts: 7,578
Rep Power: 2057
Thanks: 3,127
Thanked 3,602 Times in 2,051 Posts
|
|
Ukistaajabu ya Mussa...
Date::11/19/2008
Waziri asihi vyombo vya habari kuachana na habari za EPA, migomo ya walimu
Festo Polea na Kuruthum Ahmed
Mwananchi
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi.
Badala yake alivitaka vyombo hivyo kuelekeza nguvu hizo katika habari nyingine ikiwa ni pamoja na kufichua na ukatili wa kijinsia dhidi ya wanafunzi.
Waziri Mahiza alisema hayo jana wakati akizindua kampeni ya “Jifunze bila woga” iliyofadhiliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Plan-Tanzania yenye lengo la kupinga ukatili wa kijinsia mashuleni.
Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.
“Sasa tubadilishe CD, kila wakati EPA na migomo ya walimu, waandishi wa habari na vyombo vya dola tubadilike, mimi nikiona mnalivalia njuga kwa kufichua masuala ya unyanyasaji wa kijinsia, kuwafichua waharibifu wa wanafunzi, kisha wakakamatwa nitafurahi sana,” alisema Waziri Mahiza
Mahiza alitumia nafasi hiyo kulaani walimu wote wanaoharibu watoto kijinsia kwa kutumia udhaifu wa wanafunzi wa kike na kiume kwa kuwarubuni kwa kuwapa vitu vinavyowashawishi kama Simu na magari.
Alisema masuala ya ukatili wa kijinsia yanaongezeka licha ya kukemewa mara kwa mara.
Aliwataka viongozi wa dini mbalimbali nchini kuandaa makongamano yenye lengo la kuombea laana walimu na watu wengine wanaorubuni wanafunzi bila kujali maisha yao ya baadae.
__________________
I will die poor rather than stealing from Tanzanians through fake contracts and dubious ownership of Tanzanians' Natural Resources
|

19th November 2008, 11:20 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 2,495
Rep Power: 4027
Thanks: 544
Thanked 801 Times in 545 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Ipo haja ya kubadili CD... hakuna la kustaajabu hapo
__________________
Save Water Drink Beer "Beer helping ugly people to have sex..."
Vituko Vya Zenj
|

19th November 2008, 11:37 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat May 2008
Posts: 418
Rep Power: 21
Thanks: 321
Thanked 497 Times in 228 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Quote:
Originally Posted by Kibunango
Ipo haja ya kubadili CD... hakuna la kustaajabu hapo
|
Tukinyamaza, mawe yatapiga kelele. In fact CD ndiyo kwanza inaanza kukolea. Hapo EPA hakuna kunyamaza mpaka kieleweke halafu itafuata Meremeta, Deep Green, IPTL, Richmond, Kiwira, CIS, madai ya wastaafu EAC na .....haponi mtu.
__________________
Something that is much more scarce than ability is the ability to recognize ability.
|
|
The Following 5 Users Say Thank You to Mag3 For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 08:16 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Buzwagi
Posts: 7,578
Rep Power: 2057
Thanks: 3,127
Thanked 3,602 Times in 2,051 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Quote:
Originally Posted by Mag3
Tukinyamaza, mawe yatapiga kelele. In fact CD ndiyo kwanza inaanza kukolea. Hapo EPA hakuna kunyamaza mpaka kieleweke halafu itafuata Meremeta, Deep Green, IPTL, Richmond, Kiwira, CIS, madai ya wastaafu EAC na .....haponi mtu.
|
Habadili mtu CD mpaka kieleweke! Muziki ndiyo kwanza umeanza na waruka majoka wanaifurahia CD hiyo. DJ can you replay my favourate number EPA again and again and again!!! Ingekuwa mwaka 47 EPA ingeshasahaulika siku nyingi tu lakini hii ni 2008 mpaka kieleweke tumechoshwa na usanii usiokwisha.
__________________
I will die poor rather than stealing from Tanzanians through fake contracts and dubious ownership of Tanzanians' Natural Resources
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to Bubu Ataka Kusema For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 08:25 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Feb 2008
Posts: 443
Rep Power: 21
Thanks: 1
Thanked 161 Times in 116 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Yeye huyo waziri inamhusu nini jamani mbona anatafuta maswahiba yasiyomhusu????maana uozo wao huko wizarani wakae chonjo.......awe mpole na apime maneno yake asitafute cheap publicity
__________________
"No matter how far down the wrong road you've gone,TURN BACK"
|

20th November 2008, 09:02 AM
|
|
Member
|
|
Join Date: Tue May 2008
Posts: 40
Rep Power: 0
Thanks: 0
Thanked 15 Times in 6 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi
Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.
|

20th November 2008, 09:04 AM
|
|
Member
|
|
Join Date: Tue May 2008
Posts: 40
Rep Power: 0
Thanks: 0
Thanked 15 Times in 6 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Mwantunu, hivi hujui watuhumiwa wa EPA kufikishwa mahakamani nayo ni habari?
|

20th November 2008, 09:27 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 98
Rep Power: 21
Thanks: 2
Thanked 29 Times in 22 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Quote:
Originally Posted by Jibaba Bonge
Mwantunu, hivi hujui watuhumiwa wa EPA kufikishwa mahakamani nayo ni habari?
|
waambie mpaka tujue mwisho wake kama alitegemea mambo yameisha ndo kwanza unaanza na tukitoka tutarudisha richmond, meremata au kiwira mpaka 2010 ndo utaisha sasa hivi itakuwa EPA update si jui tuifungulie kabisa forum yange na magazeti watenge ukurasa ulioandikwa HABARI ZA UFISADI WA EPA na TV kipindi cha EPA hewani tutabeba mpaka kizazi cha saba
|

20th November 2008, 09:31 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Mar 2007
Location: TZ
Posts: 844
Rep Power: 23
Thanks: 370
Thanked 434 Times in 230 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Huyo Mama amenishangaza sana jana kwenye TV, nadhani ameingilia majukumu ya Wizara ya Jinsia na Maendeleo ya Jamii (Maendeleo ya Jamii). Sasa kama anataka Wanahabari wageuze CD kwenda kwenye masuala ya unyanyasaji, hiyo CD ikielekezwa huko Waziri Sitta naye akisema geuzeni CD andikeni kuhusu Migomo ya Walimu itakuwaje?
Kwa kifupi ajue kuwa WaTanzania kwa sasa priority ni EPA, Elimu (Migomo ya Walimu na Wanafunzi) na baada ya hapo tutataka kujua kuhusu Meremeta, Tangold, Deep Green Finance na ubadhirifu mwingine. Ajue kuwa jukumu la kuandika habari ni la Wanahabari wenyewe na jukmu la habari ipi ipewe kipau mbele ni la Wahariri na Waziri.
__________________
""WATANZANIA SI MABWEGE TENA", Dk. H. Mwakyembe (MB) Kyela
|

20th November 2008, 09:32 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Jan 2007
Posts: 68
Rep Power: 22
Thanks: 0
Thanked 21 Times in 14 Posts
|
|
Re: Ukistaajabu ya Mussa...
Mhamishiwa Waziri, napenda kukueleza kuwa hiyo CD upande mmoja haujaisha kwanini ugeuze wa pili? Wizi wa mitihani umesahau? Ujenzi wa shule nzuri karibu na watoto wanapotoka itasadia kutopenda masuala ya magari na lifti za vibopa. Hivi umeuleta kama mjadala, pendekezo au vipi.
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 04:52 PM.
|
 |