Go Back   JamiiForums.com > Public Forums > Habari/Hoja mchanganyiko

Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
  #11 (permalink)  
Old 20th November 2008, 09:36 AM
Senior Member
 
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 98
Rep Power: 21
Lorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud ofLorah has much to be proud of
Thanks: 2
Thanked 29 Times in 22 Posts
Credits: 3,795
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
Originally Posted by Jibaba Bonge View Post
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi

Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.
Tafadhali mpelekeeni ujumbe huu

Tutaacha kuzungumzia EPA pale kesi itakapo isha kwani tuna experience tuliyoipata Richmond alipojiuzulu Lowasa tulimaliza na nyie mkatulia sinahabari imefikia wapi hope JK atatuambia mwisho wa mwaka kama atakuwa nchini
na walimu mpaka alipwe mwalimu wa mwisho kwa sababu tumeyaona ya wazee wa East Africa.
ya migomo ya chuo mpaka rais azungumze suala la vyuo vingi kufungwa kwa pamoja sio la kulivyalia suti na kwenda LIBYA km hakuna kitu ni swala la kuahirisha safari na kutuma ujumbe kuna emegency imetokea nchini kwangu sitaweza kuhudhuria kikao anyways ndo vijana wa siku hizi wazee wamelala mlangoni kwakwe yeye anapita na ving'ora kama ni takataka tu poor me...
Reply With Quote


  #12 (permalink)  
Old 20th November 2008, 10:25 AM
Senior Member
 
Join Date: Wed Nov 2008
Location: bongoland
Posts: 137
Rep Power: 21
lole gwakisa has much to be proud oflole gwakisa has much to be proud oflole gwakisa has much to be proud oflole gwakisa has much to be proud oflole gwakisa has much to be proud oflole gwakisa has much to be proud oflole gwakisa has much to be proud oflole gwakisa has much to be proud of
Thanks: 92
Thanked 61 Times in 40 Posts
Credits: 7,409
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Mama Bakari Mahiza,nafikiri umekalia kuti la kuanguka,CD unazozisikia ni ule mlio wa kuti kuanza kumeguka na kuanguka.Waandishi wa habari ambao ni kioo cha jamii ndio wanatujulisha juu ya kuti bovu linalotaka kuanguka.Isije ikawa ajabu kuti hilo litakapomeguka kabisaa! maana CD yake tumeshaicheza.Kumeguka kimya kimya wataumia wengi zaidi maana wanao umia na huo wimbo wa EPA, Richmond n.k. wanajua nyimbo hizo walizitunga vipi.Endelea kucheza mama ,na kama wewe hazikuhusu basi kaa chini na wenyewe wenye CD hizo wataendelea kunengua, kama waandishi wetu na vyombo vya habari wanavyo koleza vibwagizo!!!!!
Reply With Quote
  #13 (permalink)  
Old 20th November 2008, 10:44 AM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Home
Posts: 280
Rep Power: 22
Utamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud of
Thanks: 91
Thanked 148 Times in 94 Posts
Credits: 1,641
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Ukistaajabu ya Musa ..... Utaona Jeetu Patel, i mean utaona ya Fi**uni huyu jitu patel
__________________
Mvumilivu hula mbivu...akivumilia sana hula vilivyooza
Reply With Quote
  #14 (permalink)  
Old 20th November 2008, 10:47 AM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Home
Posts: 280
Rep Power: 22
Utamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud of
Thanks: 91
Thanked 148 Times in 94 Posts
Credits: 1,641
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Ukistaajabu ya Musa ..... Utaona ya Jeetu Patel, i mean utaona ya Fi**uni huyu jitu patel
__________________
Mvumilivu hula mbivu...akivumilia sana hula vilivyooza
Reply With Quote
  #15 (permalink)  
Old 20th November 2008, 10:51 AM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Home
Posts: 280
Rep Power: 22
Utamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud ofUtamaduni has much to be proud of
Thanks: 91
Thanked 148 Times in 94 Posts
Credits: 1,641
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Ukistaajabu ya Musa ... Utaona ya Jeetu Pateli,,,, i mean utaona ya huuy Fi**uni jeetu patel
__________________
Mvumilivu hula mbivu...akivumilia sana hula vilivyooza
Reply With Quote
  #16 (permalink)  
Old 20th November 2008, 12:26 PM
Senior Member
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 74
Rep Power: 22
BrownEye has much to be proud ofBrownEye has much to be proud ofBrownEye has much to be proud ofBrownEye has much to be proud ofBrownEye has much to be proud ofBrownEye has much to be proud ofBrownEye has much to be proud ofBrownEye has much to be proud of
Thanks: 66
Thanked 28 Times in 21 Posts
Credits: 3,161
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
Originally Posted by kibunango View Post
ipo haja ya kubadili cd... Hakuna la kustaajabu hapo
cd inayogusa wengi siku zote hupigwa sana au kijana umesahau? Hizo cd zinazogusa na kukandamiza walalahoi tu tumeshazichoka, hakuna anayevutiwa nazo.

Sasa dhuluma basi ni kelele... Mpaka kieleweke!!!!
Reply With Quote
  #17 (permalink)  
Old 20th November 2008, 01:40 PM
Member
 
Join Date: Mon May 2008
Posts: 24
Rep Power: 0
bm21 has much to be proud ofbm21 has much to be proud ofbm21 has much to be proud ofbm21 has much to be proud ofbm21 has much to be proud ofbm21 has much to be proud ofbm21 has much to be proud ofbm21 has much to be proud of
Thanks: 0
Thanked 7 Times in 4 Posts
Credits: 1,829
Angry Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Kuna mwalimu wangu alinifundisha kuwa 'Unless we put meaning into it, a word has no meaning'. Akafafanua kidogo kuwa maana ya neno hutokana na jamii sio mtu fulani mfano waweza kuwa mwanaume kijinsia lakini jamii fulani inayotambua mwanaume aliepita jando isikutambuwe kuwa mwanaume.

Hivyo basi jamii yawatanzania ndio inayojua ni kwa kiasi gani suara la EPA and ndugu zake limeshughurikiwa sio Mahiza? Hivyo awaachie wanahabali jamii ikiridhika automatically suala la EPA, etc litakuwa historia, hivyo namsihi awaache wadili nao. Kwani tatizo nini eti Mh, au na wewe upo nini?

Suala la unyanyasaji kijinsia jamani wana JF tuliangalie kwa mapana kidogo. Sijafanya research lakini nimefanya observation kama mwanajamii. Kwa observation yangu unyanyasaji halisi nauona kwa vijana wa kiume kuliko wa kike. mtakubaliana na mimi vijana wa kike wengi wanajitegesha kwa tamaa zao na kukosa maadili. na swala hili hata baadhi ya mama zao wanachangia sana. Mimi naona hata uile sheria ya kumwadhibu mwanaume kwa kosa la kupeana mimba na msichana wa shule haiko sawa kwa sababu inawanyanyasa vijana wa viume kijinsia. Mi naona waadhibiwe wote sawa kabisa hii ndio suruhisho la kukomesha mimba mashuleni. Wasichana wengi wanao shika mimba mashuleni ni wale ambao CV zao hazijatulia katika masuala ya mahusiano. Na mara nyingi unakuta ni wasichana wa kuanzia kidato cha 2 - 4. Sasa jamani wana JF katika ulimwengu huu wa Dotcom. Msichana huyu wa Form 2 - 4 kwanini akubali kushika mimba na yeye ni mwanafunzi. Mbona wenzao kwenye nchi zilizoendelea wanakuwa na boyfriends na wanafanya mchezo mbaya kuanzia primary na hawashiki mimba???
Reply With Quote
  #18 (permalink)  
Old 20th November 2008, 01:56 PM
Njowepo's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Feb 2008
Posts: 369
Rep Power: 21
Njowepo has much to be proud ofNjowepo has much to be proud ofNjowepo has much to be proud ofNjowepo has much to be proud ofNjowepo has much to be proud ofNjowepo has much to be proud ofNjowepo has much to be proud ofNjowepo has much to be proud of
Thanks: 61
Thanked 104 Times in 73 Posts
Credits: 25,934
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Huyo wazili si mlaumu ndio uwezo wake wa kufikilia.
Ukiona ivyo kwenye ilo zengwe anaguswa indirectly.
Tumelizwa billioni 133 unasema tubadili CD,hana ata haya
__________________
Europe has 2take concrete steps to ensure its banks are less of a safe haven for looted African funds?
Reply With Quote
  #19 (permalink)  
Old 20th November 2008, 02:01 PM
Member
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 40
Rep Power: 0
Jibaba Bonge has much to be proud ofJibaba Bonge has much to be proud ofJibaba Bonge has much to be proud ofJibaba Bonge has much to be proud ofJibaba Bonge has much to be proud ofJibaba Bonge has much to be proud ofJibaba Bonge has much to be proud ofJibaba Bonge has much to be proud of
Thanks: 0
Thanked 15 Times in 6 Posts
Credits: 2,062
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

“Sasa tubadilishe CD, kila wakati EPA na migomo ya walimu, waandishi wa habari na vyombo vya dola tubadilike,...................!!!!
Reply With Quote
  #20 (permalink)  
Old 20th November 2008, 03:00 PM
Senior Member
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 68
Rep Power: 21
BeNoir has much to be proud ofBeNoir has much to be proud ofBeNoir has much to be proud ofBeNoir has much to be proud ofBeNoir has much to be proud ofBeNoir has much to be proud ofBeNoir has much to be proud ofBeNoir has much to be proud of
Thanks: 0
Thanked 28 Times in 23 Posts
Credits: 5,388
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Mh!! mama Mahiza mbona utakuwa na kazi kusimamia CD ipi ichezwe na ipi isichezwe!!
Labda ujaribu kunzia kwenye hizo circle zenu muache ufisadi na viini macho, ndipo CD itabadilishwa.

Kazi ipo. Ukimuamsha aliyelala............
__________________
Trust but verify.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On

Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ukistaajabu ya Mussa... Bubu Ataka Kusema Habari/Hoja mchanganyiko 6 1st September 2008 09:11 AM
Ukistaajabu ya Edward Lowassa utayaona ya Aman A. Karume Sokomoko Habari/Hoja mchanganyiko 28 13th April 2008 06:50 PM
Ukistaajabu ya Musa, Utaona ya Firauni!!! mkenya2008 Jokes/Utani 1 1st April 2008 01:21 PM
Ukistaajabu ya Musa, Utaona ya Firauni mkenya2008 Jokes/Utani 0 1st April 2008 12:01 PM
Ukistaajabu ya Mussa... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 4 15th December 2007 10:04 PM


All times are GMT +3. The time now is 02:39 PM.



Copyright JamiiForums.com