Go Back   JamiiForums.com > Public Forums > Habari/Hoja mchanganyiko

Reply
 
LinkBack (1) Thread Tools Display Modes
  1 links from elsewhere to this Post. Click to view. #1 (permalink)  
Old 17th November 2008, 12:47 AM
Junior Member
 
Join Date: Mon Oct 2008
Location: Khartoum Sudan
Posts: 5
Rep Power: 0
Jaramba has much to be proud ofJaramba has much to be proud ofJaramba has much to be proud ofJaramba has much to be proud ofJaramba has much to be proud ofJaramba has much to be proud ofJaramba has much to be proud ofJaramba has much to be proud of
Thanks: 1
Thanked 5 Times in 2 Posts
Credits: 759
Exclamation Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
Reply With Quote
The Following 4 Users Say Thank You to Jaramba For This Useful Post:
Dark City (17th November 2008), DDT (19th November 2008), LazyDog (17th November 2008), Yassin (20th November 2008)


  #2 (permalink)  
Old 17th November 2008, 02:05 AM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sat Oct 2007
Posts: 507
Rep Power: 23
Bowbow has much to be proud ofBowbow has much to be proud ofBowbow has much to be proud ofBowbow has much to be proud ofBowbow has much to be proud ofBowbow has much to be proud ofBowbow has much to be proud ofBowbow has much to be proud of
Thanks: 325
Thanked 302 Times in 140 Posts
Credits: 36,121
Default Re: Utapeli na wizi wa "showroom" za magari dsm

Quote:
Originally Posted by Jaramba View Post
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
Mkuu Nashukuru kwa huu ujumbe.

Katika hali ya kawaida usajili wa gari unachukua siku mbili ama tatu kama kila kitu kipo sahihi. Kuchukua mwezi mzima lazima kuna mambo yalikua yanafanywa either hawakulipa kodi kabisa, ama hiyo gari ya wizi so umepewa kanyaboya kwa maana record za gari uliyopewa ni tofauti na gari halisi/???? ama ni wahuni tu.

Kuna kitengo TRA cha kuomba status ya gari unaenda na copy ya Road license yako( sticker unayopewa kwa ajili ya kubandika kwenye kioo) watakuambia kama imelipiwa ushuru, kama kuna tatizo lolote ambalo wao walishaambiwa watakujulisha na hapo unaweza kuwachukulia hatua zaidi hao wandugu. Ni hayo tu
__________________
"When a leopard starts devouring its young ones, it starts by accusing that young one of smelling like a goat." Nelson Chimasa
Reply With Quote
  #3 (permalink)  
Old 17th November 2008, 04:59 AM
Shadow's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Mon May 2008
Posts: 262
Rep Power: 21
Shadow has much to be proud ofShadow has much to be proud ofShadow has much to be proud ofShadow has much to be proud ofShadow has much to be proud ofShadow has much to be proud ofShadow has much to be proud ofShadow has much to be proud of
Thanks: 2
Thanked 107 Times in 70 Posts
Credits: 26,707
Default Re: Utapeli na wizi wa "showroom" za magari dsm

Duh! Hiyo ndo Bongo Darisalaaam...umecheki na engine yake? Inabidi ukague vizuri ... hayo ndo mamboz ya kina Dudez.

Kazi kweli kweli next time agiza gari mwenyewe kutoka Japan.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Shadow For This Useful Post:
Dark City (17th November 2008)
  #4 (permalink)  
Old 17th November 2008, 09:37 AM
Senior Member
 
Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 52
Rep Power: 21
MyTanzania has much to be proud ofMyTanzania has much to be proud ofMyTanzania has much to be proud ofMyTanzania has much to be proud ofMyTanzania has much to be proud ofMyTanzania has much to be proud ofMyTanzania has much to be proud ofMyTanzania has much to be proud of
Thanks: 27
Thanked 28 Times in 15 Posts
Credits: 5,055
Default Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Ebwana hizi showroom tumezishtukia siku nyingi,wanapata pesa wasiyoitolea jasho ndiyo maana kila siku unawasikia wakidhamini bendi ili japo waimbwe.
Kwa ushauri,Kuagiza gari japan ni rahisi sana tuache kununua kwa wahuni hawa.Japo inachukua muda kidogo kupata gari lako lakini unapata angalau kitu cha uhakika.
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to MyTanzania For This Useful Post:
Hofstede (20th November 2008)
  #5 (permalink)  
Old 17th November 2008, 09:53 AM
Senior Member
 
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Roaming
Posts: 179
Rep Power: 21
Dark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud ofDark City has much to be proud of
Thanks: 342
Thanked 155 Times in 85 Posts
Credits: 8,896
Default Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Quote:
Originally Posted by Jaramba View Post
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
Exactly Bongo Darisalama! Kila kitu ni ujanja ujanja na wizi.

Nadhani usihangaike kuwapeleka mahakamani. Mwone mwanasheria wako muwachimbe mkwara wakupe pesa yako na fidia ya usumbu uagize gari JP. Ukiwapeleka mahakamani watalipa hiyo hela waliyokuibia na issue yako itapata suluhu 2015 wakati tunachacharika na uchaguzi!!!

Ingawa JP nao wana usanii kidogo ila unapata kitu cha maana! Hizi gari za Bongo na zile zinazotoka Dubai ni kanyaboya (vimeo tupu!!). Jambo la kusikitisha ni kuwa WaTz tunajichimbia kaburi kwa kupoteza imani ya wateja! Watu wataendelea kuabudu na kununua bidhaa za nje (hasa uropa) kuliko za kwetu, hata kwa vitu vidogo kama nyembe na pini!!
Reply With Quote
  #6 (permalink)  
Old 19th November 2008, 03:44 PM
Dar Es Salaam's Avatar
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Sun Feb 2008
Posts: 419
Rep Power: 21
Dar Es Salaam has much to be proud ofDar Es Salaam has much to be proud ofDar Es Salaam has much to be proud ofDar Es Salaam has much to be proud ofDar Es Salaam has much to be proud ofDar Es Salaam has much to be proud ofDar Es Salaam has much to be proud ofDar Es Salaam has much to be proud of
Thanks: 160
Thanked 142 Times in 100 Posts
Credits: 24,088
Default Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Quote:
Originally Posted by Jaramba View Post
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
Nakupa pole kwa hilo, na mara nyingine uwe makini sana na hawa jamaa wa ma-showroom, binafsi nam-recommend jamaa mmoja wa Kariakoo anaitwa Abdul, mara nyingi hujitangaza katika Advertising Dar. Huyu anakuagizia gari kutoka Japan na anakupa data zote kabla hajaileta na gharama zake ni nafuu kweli. Utampata katika 0754-484384. Mwambie Dar. ndie aliempigia debe.
__________________
Parti Pris
Reply With Quote
  #7 (permalink)  
Old 19th November 2008, 04:02 PM
Ushirombo's Avatar
JF Senior & Premium Member
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!Ushirombo is one of most respected JF members!
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
Credits: 55,590
Default Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Quote:
Originally Posted by Dar Es Salaam View Post
Nakupa pole kwa hilo, na mara nyingine uwe makini sana na hawa jamaa wa ma-showroom, binafsi nam-recommend jamaa mmoja wa Kariakoo anaitwa Abdul, mara nyingi hujitangaza katika Advertising Dar. Huyu anakuagizia gari kutoka Japan na anakupa data zote kabla hajaileta na gharama zake ni nafuu kweli. Utampata katika 0754-484384. Mwambie Dar. ndie aliempigia debe.
JF Tangazo la biashara, if the worse get into worst wafanyabiashara wengi wa Dar ni matapeli, kuna jamaa yangu alimlalamika pia kuhusu huyu Abdul.
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
Reply With Quote
  #8 (permalink)  
Old 19th November 2008, 04:04 PM
Shy's Avatar
Shy Shy is offline
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 2,664
Rep Power: 28
Shy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud of
Thanks: 3
Thanked 771 Times in 496 Posts
Credits: 75,983
Default Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Utakuwa mwana si wako
__________________
Don't assume anything. Take the time to brush up your knowledge because the computer world is always changing , The problem isn't your problems, it's your ridiculous solutions.
Reply With Quote
  #9 (permalink)  
Old 19th November 2008, 04:06 PM
Shy's Avatar
Shy Shy is offline
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 2,664
Rep Power: 28
Shy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud ofShy has much to be proud of
Thanks: 3
Thanked 771 Times in 496 Posts
Credits: 75,983
Default Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

can u imagine ni watu wangapi wameshapiga hiyo namba ? mpaka sasa hivi na pengine kuingia mkataba kabisa na amemhusisha na advertising dar - pale advertising dar wameshaandika kabisa sheria zao kuhusu biashara hizi
__________________
Don't assume anything. Take the time to brush up your knowledge because the computer world is always changing , The problem isn't your problems, it's your ridiculous solutions.
Reply With Quote
  #10 (permalink)  
Old 20th November 2008, 12:18 AM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 2,482
Rep Power: 4027
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Thanks: 541
Thanked 799 Times in 544 Posts
Credits: 82,858
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Question Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Quote:
Originally Posted by Shy View Post
can u imagine ni watu wangapi wameshapiga hiyo namba ? mpaka sasa hivi na pengine kuingia mkataba kabisa na amemhusisha na advertising dar - pale advertising dar wameshaandika kabisa sheria zao kuhusu biashara hizi
Kwa maneno mengine unataka kutoa ujumbe gani?
__________________
Save Water Drink Beer "Beer helping ugly people to have sex..."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


LinkBacks (?)
LinkBack to this Thread: http://www.jamiiforums.com/habari-hoja-mchanganyiko/20581-utapeli-na-wizi-wa-showroom-za-magari-dar-es-salaam.html
Posted By For Type Date
JamiiForums.com This thread Refback 20th November 2008 02:17 PM

Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On

Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Tuchukue hadhari kuzuia uagizaji magari makuukuu Kitia Habari/Hoja mchanganyiko 7 31st October 2008 06:38 PM
Mapambano ya Polisi na MajambaziArusha Yapamba moto! Pinokyo Jukwaa la Siasa 34 10th May 2008 01:07 AM
Magari ya Zimamoto fedha za BoT?!!! EL!!!?? Mjukuu Habari/Hoja mchanganyiko 2 28th April 2008 02:51 AM
Majambazi Arusha: Mabomu, Bunduki, Risasi, Bastola - Hii ni Kashfa JWTZ Hasara Jukwaa la Siasa 224 20th March 2008 03:40 AM
Watanzania Uingereza: Utaratibu mpya wa Kukagua Magari yaendayo Tanzania Haukubaliki Game Theory Habari/Hoja mchanganyiko 47 10th September 2007 06:59 PM


All times are GMT +3. The time now is 12:34 PM.



Copyright JamiiForums.com