 |
 |

17th November 2008, 12:47 AM
|
|
Junior Member
|
|
Join Date: Mon Oct 2008
Location: Khartoum Sudan
Posts: 5
Rep Power: 0
Thanks: 1
Thanked 5 Times in 2 Posts
|
|
Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
|
|
The Following 4 Users Say Thank You to Jaramba For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 02:05 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat Oct 2007
Posts: 507
Rep Power: 23
Thanks: 325
Thanked 302 Times in 140 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa "showroom" za magari dsm
Quote:
Originally Posted by Jaramba
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
|
Mkuu Nashukuru kwa huu ujumbe.
Katika hali ya kawaida usajili wa gari unachukua siku mbili ama tatu kama kila kitu kipo sahihi. Kuchukua mwezi mzima lazima kuna mambo yalikua yanafanywa either hawakulipa kodi kabisa, ama hiyo gari ya wizi so umepewa kanyaboya kwa maana record za gari uliyopewa ni tofauti na gari halisi/???? ama ni wahuni tu.
Kuna kitengo TRA cha kuomba status ya gari unaenda na copy ya Road license yako( sticker unayopewa kwa ajili ya kubandika kwenye kioo) watakuambia kama imelipiwa ushuru, kama kuna tatizo lolote ambalo wao walishaambiwa watakujulisha na hapo unaweza kuwachukulia hatua zaidi hao wandugu. Ni hayo tu
__________________
"When a leopard starts devouring its young ones, it starts by accusing that young one of smelling like a goat." Nelson Chimasa
|

17th November 2008, 04:59 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Mon May 2008
Posts: 262
Rep Power: 21
Thanks: 2
Thanked 107 Times in 70 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa "showroom" za magari dsm
Duh! Hiyo ndo Bongo Darisalaaam...umecheki na engine yake? Inabidi ukague vizuri ... hayo ndo mamboz ya kina Dudez.
Kazi kweli kweli next time agiza gari mwenyewe kutoka Japan.
|
|
The Following User Says Thank You to Shadow For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 09:37 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Tue Sep 2008
Posts: 52
Rep Power: 21
Thanks: 27
Thanked 28 Times in 15 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
Ebwana hizi showroom tumezishtukia siku nyingi,wanapata pesa wasiyoitolea jasho ndiyo maana kila siku unawasikia wakidhamini bendi ili japo waimbwe.
Kwa ushauri,Kuagiza gari japan ni rahisi sana tuache kununua kwa wahuni hawa.Japo inachukua muda kidogo kupata gari lako lakini unapata angalau kitu cha uhakika.
|
|
The Following User Says Thank You to MyTanzania For This Useful Post:
|
|

17th November 2008, 09:53 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Sat Oct 2008
Location: Roaming
Posts: 179
Rep Power: 21
Thanks: 342
Thanked 155 Times in 85 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
Quote:
Originally Posted by Jaramba
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
|
Exactly Bongo Darisalama! Kila kitu ni ujanja ujanja na wizi.
Nadhani usihangaike kuwapeleka mahakamani. Mwone mwanasheria wako muwachimbe mkwara wakupe pesa yako na fidia ya usumbu uagize gari JP. Ukiwapeleka mahakamani watalipa hiyo hela waliyokuibia na issue yako itapata suluhu 2015 wakati tunachacharika na uchaguzi!!!
Ingawa JP nao wana usanii kidogo ila unapata kitu cha maana! Hizi gari za Bongo na zile zinazotoka Dubai ni kanyaboya (vimeo tupu!!). Jambo la kusikitisha ni kuwa WaTz tunajichimbia kaburi kwa kupoteza imani ya wateja! Watu wataendelea kuabudu na kununua bidhaa za nje (hasa uropa) kuliko za kwetu, hata kwa vitu vidogo kama nyembe na pini!!
|

19th November 2008, 03:44 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sun Feb 2008
Posts: 419
Rep Power: 21
Thanks: 160
Thanked 142 Times in 100 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
Quote:
Originally Posted by Jaramba
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!
|
Nakupa pole kwa hilo, na mara nyingine uwe makini sana na hawa jamaa wa ma-showroom, binafsi nam-recommend jamaa mmoja wa Kariakoo anaitwa Abdul, mara nyingi hujitangaza katika Advertising Dar. Huyu anakuagizia gari kutoka Japan na anakupa data zote kabla hajaileta na gharama zake ni nafuu kweli. Utampata katika 0754-484384. Mwambie Dar. ndie aliempigia debe.
__________________
Parti Pris
|

19th November 2008, 04:02 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
Quote:
Originally Posted by Dar Es Salaam
Nakupa pole kwa hilo, na mara nyingine uwe makini sana na hawa jamaa wa ma-showroom, binafsi nam-recommend jamaa mmoja wa Kariakoo anaitwa Abdul, mara nyingi hujitangaza katika Advertising Dar. Huyu anakuagizia gari kutoka Japan na anakupa data zote kabla hajaileta na gharama zake ni nafuu kweli. Utampata katika 0754-484384. Mwambie Dar. ndie aliempigia debe.
|
JF Tangazo la biashara, if the worse get into worst wafanyabiashara wengi wa Dar ni matapeli, kuna jamaa yangu alimlalamika pia kuhusu huyu Abdul.
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|

19th November 2008, 04:04 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 2,664
Rep Power: 28
Thanks: 3
Thanked 771 Times in 496 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
Utakuwa mwana si wako
__________________
Don't assume anything. Take the time to brush up your knowledge because the computer world is always changing , The problem isn't your problems, it's your ridiculous solutions.
|

19th November 2008, 04:06 PM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 2,664
Rep Power: 28
Thanks: 3
Thanked 771 Times in 496 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
can u imagine ni watu wangapi wameshapiga hiyo namba ? mpaka sasa hivi na pengine kuingia mkataba kabisa na amemhusisha na advertising dar - pale advertising dar wameshaandika kabisa sheria zao kuhusu biashara hizi
__________________
Don't assume anything. Take the time to brush up your knowledge because the computer world is always changing , The problem isn't your problems, it's your ridiculous solutions.
|

20th November 2008, 12:18 AM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 2,482
Rep Power: 4027
Thanks: 541
Thanked 799 Times in 544 Posts
|
|
Re: Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM
Quote:
Originally Posted by Shy
can u imagine ni watu wangapi wameshapiga hiyo namba ? mpaka sasa hivi na pengine kuingia mkataba kabisa na amemhusisha na advertising dar - pale advertising dar wameshaandika kabisa sheria zao kuhusu biashara hizi
|
Kwa maneno mengine unataka kutoa ujumbe gani?
__________________
Save Water Drink Beer "Beer helping ugly people to have sex..."
Vituko Vya Zenj
|
LinkBacks (?)
LinkBack to this Thread: http://www.jamiiforums.com/habari-hoja-mchanganyiko/20581-utapeli-na-wizi-wa-showroom-za-magari-dar-es-salaam.html
|
| Posted By |
For |
Type |
Date |
| JamiiForums.com |
This thread |
Refback |
20th November 2008 02:17 PM |
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 12:34 PM.
|
 |