Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 43
    1. #1
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Exclamation Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Baada ya kupitia kanuni za Bunge letu kama nilivyoambatanisha, mimi kama Mtanzania naomba kutoa tamko na ombi kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa wawasilishe muswaada wakuondolewa Viongozi hawa wakuu wawili ambao wameshindwa kufanya kazi na kutekeleza wajibu wao kutokana na mujibu wa Sheria na Madaraka waliyopewa.

      Mengi tumeyasema hapa ambayo yametokea katika miaka miwili ya uongozi wao na kwa kweli uongozi na ufanisi wao ni mtupu na unashamirisha Uhujumu, Ufisadi, Uzembe na kukosekana kwa Uwajibikaji na maadilikatika Serikali na Bunge.

      Zitto pamoja na wabunge wengine pamoja na Watanzania wote wenye kupenda kuleta mabadiliko ya kuhakikisha uwajibikaji, haki, ufanisi na usawa unatumika katika kuleta maendeleo na Kujenga Taifa, naomba kutoa hoja!
      Attached Files
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    2. Miaka 50

    3. Dua
      #2
      Dua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2006
      Posts : 3,534
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      REV. Kishoka

      Wabunge wetu ni waoga wanafuata upepo tu hawana ubavu wa kufanya kazi waliyotumwa na wapiga kura. Dawa yao ni kukoseshwa kura 2010 ndio watakapojua kwamba WTZ wamebadilika, ni jukumu letu kuwaelimisha wapiga kura ili waweze kuwabwaga MAFISADI once and fo all.
      Dua la kuku halimpati mwewe

    4. #3
      MzalendoHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2007
      Posts : 3,942
      Rep Power : 1397
      Likes Received
      72
      Likes Given
      120

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Hoja ktk Bunge ni dhaifu!

      Majority ni CCM na hoja huugwa mkono kwa kura!
      Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!

    5. #4
      BabaH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2008
      Location : Ikulu-Magogoni
      Posts : 694
      Rep Power : 716
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Jamani wana JF
      mimi naunga mkono kabisa hoja hii, haswa haswa huyu anayeitwa Spika wa Bunge, Jamani hana lolote analofanya pale, zaidi ya kusikiliza Hoja za wapinzania na kuziamishia kwenye vikao vya CCM, mimi nadhani tutafute ni jinsi gani ya Kuishinikiza serikali akiwemo huyu Kikwete, awaondoe viondozi wake wapumbavu wakiwemo hawa wawili, na Karamagi, Bazil Mramba.

    6. #5
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2441
      Likes Received
      278
      Likes Given
      286

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Nguvu za PM kuwa control wabunge wote wa SISIEMU zinatokana na ukweli kwaba wabunge wengi walipewa fedha haramu toka SISIEMU ilowawezesha kushinda Ubunge wao kwa njia Haramu.

      Ukibebwa huwezi kuwa na haki zaidi ya aliye kubeba, labda tu kama aliye kubeba ni mtumwa wako ambaye maisha yake yanategemea neema yako.

      Fedha ile ya KAGODA something.... iloibiwa kutoka SISIEMU na kutawanywa kama peremende kifua ndo kolea mathubuti atumialo Lowassa kuwabinya midomo wabunge wa SISIEMU na kujikuta hekima zao zinageuka upumbavu ulo jaa aibu mbele za wananchi, hasa wale walowachagua.

      Msuli wa Lowassa kwa Wabunge unatokana na Fungate ya Siri katia ya SISiEMU na wabunge ihusianayo na ilojengwa juu ya ufisadi.

      Si kweli kwamba ni umoja wa kichama ndo unawafanya kuogopana namna hiyo pale Bungeni, ni nguvu ya Fedha ya wizi wa BOT ndo yenye kuwafanya Wabunge washindwe ku Unlish kwenye Nira ya Iblisi wao, yaani hekima ya SISIEMU.

      Ni afadhari maisha yako yote uishi ukiwa mtu HURU huku siku zote ukivaa shati lenye matobo mabegani kuliko kuishi umetinga suti ya pande 3 lakini MTUMWA.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2640
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Mchungaji nakubaliana na wewe.

      Ila kwa bahati mbaya anachokisema Madela-Wa-Madilu ni ukweli mtupu.Ukifadhiliwa, hususan kinyume cha sheria, inakuwa vigumu kuuuma mkono unaokulisha.

      Hata kama hiyo ingekuwa siyo issue, mfumo wetu uko "top-down" sana kwa mabadiliko kama hayo.Spika na Waziri Mkuu wana nguvu za kimungu mtu bungeni.Wabunge wengi hawajui hata nguvu zao za kikatiba etc.

      Ndiyo maana suluhisho zuri ni kumtoa Kikwete 2010.

    9. #7
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Hawa jamaa wanaweza kusokomewa kelele kwa kushindwa kulinda Article 27 ya Katiba kwa kuwa wazembe kutumia Madaraka yao kulinda maslahi ya Taifa.

      http://www.kituochakatiba.co.ug/Tanz...nstitution.pdf



      27.-
      (1) Every person has the duty to protect the natural resources of the United Republic, the property of the state authority, all property collectively owned by the people, and also to respect another person’ property.

      (2) All persons shall be required by law to safeguard the property of the state authority and all property collectively owned by the people, to combat all forms of waste and squander, and to manage the national economy assiduously with the attitude of people who are masters of the destiny of their nation.
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    10. #8
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2640
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      I see the two pdfs detailed the motions. In principle this is possible, in practice the two are very powerful for this to happen.On top of that there is a culture of protecting each other and voting by party interests and not Tanzania's interest.

      To my surprise, President Kikwete has strayed away from that by appointing Zitto and taking action on the BOT issue, but really he had no choice if he was to be prudent.

    11. #9
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3353
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      I beg to differ na REV KISHOKA

      In my opinion this is another form of USHABIKI ambao i wont be part of.

      Of all the pile of rubbish of rulers we have mnataka kunaimbia kuwa LOWASSA na SITTA ndio hawafai?

      lets be realistic how about having a realistic petition kama vile ya kutaka baraza la mawaziri lipunguzwe, kubadilisha katiba ambayo itakuwa inclusive na siyo kuwatenga minorities, au katiba ambayo itawezesha utaratibu mzuri wa CHECKS and BALANCES na kwani hapo ndipo tutajua majibu ya maswali kama vile:

      -LOWASSA AU MAWAZIRI WETU 60 NA OFISI ZAO ZINATUMIA KIASI GANI PER DAY

      -NI NANI ALIYEKUWA ANAPUSH MRADI WA KUJENGA UWANJA WA TAIFA PALE TEMEKE BADALA YA BARABARA KULE KISARAWE

      -HAWA GHASIA AMESHAACHIEVE NINI TANGU ACHAGULIWE

      etc etc


    12. #10
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Pundit,

      Nimeambatanisha vipengele ambavyo vinatumika kibunge kudai kuondolewa kwa Spika na Waziri Mkuu. Pamoja na kifungu hiki cha Katiba kuwa "vague" lakini wao kwa madaraka waliyopewa wana wajibu mkubwa sana kuhakikisha Katiba inalinda na kipengele kama hiki kinalindwa.

      Kosa lao ambalo mimi nalizungumzia ni kushindwa kulinda katiba na inabidi vipengele vya kuwaondoa madarakani vitumike ni masuala ya Uhujumu uchumi ambayo ama kwa uzembe au utashi binafsi na hasa kisiasa Spika na Waziri Mkuu hawakufanya maamuzi ya msingi kwa manufaa ya Taifa.

      Suala la Buzwagi, Richmond, BOT na hata ATCL, hayakutolewa uamuzi mkali na mahiri wa kiutendaji kwa kuitia katiba au kanuni za Serikali na Bunge.

      Spika alisitisha kusikilizwa hoja za Buzwagi na BOT. Waziri Mkuu akaridhia kupuuzwa kwa kuundwa kwa kamati za Bunge kuchunguza tuhuma za Uhujumu.

      Kushindwa kwao kufanya kazi zao kulinda uchumi, katiba na sheria za nchi ndio vigezo tosha vya kuwasilisha hoja za kutokuwa na imani na uongozi wao na hivyo kupigiwa kura ya kuvuliwa madaraka.

      Game Theory,

      Ni haki yako kutokukubaliana na mimi. katika vita hii ya Uhujumu na Ufisadi, kuna njia nyingi za kufanya. Hapa JF tumezoea kupiga kelele na kuvimbisha mishipa ambayo hupasuka kila wiki na kila Nyeti mpya zikija, basi hakuna cha kufanyia kazi wala nguvu kuzivunja.

      Kumuondoa Spika na Waziri Mkuu ambao ni viongozi wakuu wa Serikali ni mwanzo wa kusafisha uozo uliopo. Wateuliwa wa Uwaziri na Ukuu wa mikoa ni hiari ya Rais kuwafukuza. Waziri Mkuu pamoja na kuteuliwa, yeye huthibitishwa na Bunge na hivyo kiti chake ni "ruksa" kupigiwakura ya kukosa imani hivyo kumpasa Raisi wawasilishe jina jipya kwa nafasi hiyo.

      Spika naye ni hivyo hivyo, Katibu wa Bunge akipata muswaada, huuwasilisha Bungeni na kura hupigwa.

      Tunachotaka si kumwajibisha Spika na Waziri Mkuu pekee, bali Bunge zima la Jamhuri ya Muungano kama litakuwa na azma ya kutetea maslahi ya nchi na si ya chama.

      Hoja au miswaada hii ya kutokuwana imani inaweza kutolewa n mbunge yeyote yule na hata kama Chama tawala kitageuza mkao na kufanya kikao cha chama na kutupilia mbali hoja huku wananchi wakiwa na ushahidi tele wa uzembe na Ufisadi, basi jua safari ya CCM 2010 haitakuwa salama!
      Huu ni mwanzo tuu, usikate tamaa!
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    13. #11
      Kinyambiss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2007
      Posts : 1,406
      Rep Power : 901
      Likes Received
      31
      Likes Given
      18

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      GAME THEORY, I must concur with your argument. The freedom of speech which the internet has granted us, maana that is the one thing which Tanzanians have seldom known before this current technological age, has a danger of breeding foolish ideas spawned from Ushabiki kama huo hapo juu. It is clear that a cabinet of 60 ministers and their deputies, (although it is well known that deputy ministers are the most useless, non-policy making, non-bureaucratic and inefficient high ranking officials, Kazi yao ni kujibu maswali bungeni waziri akiwa Ulaya na kuweka mawe ya msingi)is too much. Yet Kikwete kaweka wawili wawili in some ministries. Yani political favours... badala ya "what do we need?" being the ratio decidendi ametumia "nanilii ntamuweka wapi?" We need a constitution that limits presidential powers and makes the executive accountable to Parliament. We need an independent electoral commission.NEW CONSTITUTION.

    14. #12
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2640
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Kama bunge haliwezi kupiga kura ya kutokuwa na imani kwa waziri mkuu, na kupitisha muswada wa kumuondoa Spika ndiyo tutaweza kufanya mabadiliko ya kikatiba kumuondolea rais nguvu?

      Hivi kati ya hivyo viwili kipi ni hatua za mtoto na ipi ni marathon? Inabidi tupige hatua za mtoto kabla ya kukimbilia marathon.

      Tatizo langu ni kuwa system yetu hairuhusu hata hizo hatua za mtoto.

      Nikifikiria naona sahau hata hatua za mtoto za kuwaondoa Waziri Mkuu na Spika, Mwanakijiji alianzisha motion hapa kumuondoa Msolla kutokana na uozo wa skendo la wanafunzi Watanzania kusahauliwa Ukraine, iliishia wapi?

    15. #13
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Pundit,

      What we need is to hold accountable our Members of Parliament.

      I understand your anger and frustration. Yes hoja ya Msolla was simply an opinion that should have gone to Raisi.

      On Spika na Waziri Mkuu, they can be removed by paliamentary votes and any Mbunge can pettition the removal.

      We the JF members can ask Zitto to represent us as a constituent. We can reach to the likes of Mwakyembe, Haji Duni, Slaa, Chacha Wangwe and others who have steel balls to submit the pettition on our behalf.

      What suprises me is the loser attitude that we embrace. We tend to give up easily without even giving a try. It is better for us to push for a try and even submit the pettition than sitting in back and whine and raise our hands in defeat!

      Our fight against establishement (Ufisadi)has to become technical and not just war of words and temper. If we have provision in our constitution and laws that can help us remove some of these incompetent, inneficient and corrupt leaders, why hesitate?

      For those appointed officials who we do not have a straight mandate to remove them, removing the Speaker and Prime Minister using powers vested in our votes thorugh our representative will be a clear message to all Politicians and the President.

      Lets give it a shot and if we fail and CCM dismisses the pettition, then Kitila and CHADEMA can politicize the issue and demonstrate to Wananchi that CCM is not there for the interest of Wananchi but for the interest of Wanyonyaji and Mafisadi!
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    16. #14
      Rev. Kishoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2006
      Location : USA
      Posts : 4,352
      Rep Power : 2558
      Likes Received
      243
      Likes Given
      185

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Quote By Pundit
      Kama bunge haliwezi kupiga kura ya kutokuwa na imani kwa waziri mkuu, na kupitisha muswada wa kumuondoa Spika ndiyo tutaweza kufanya mabadiliko ya kikatiba kumuondolea rais nguvu?
      Pundit,

      I am not sure if I follow you here! Bunge has powers to vote no confidence on Prime Minister and its Speaker!

      If members of parliament after submission of the pettition decide not to vote these guys out, that is a separate issue to be addressed 2010!
      Amani Iwe Nanyi,

      Camerlengo

      Plu Camerlenghi- Revolutionary Right Reverend Kishoka

      "Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun

      'Who comes to give greeting to the Inkosi-kaas? Who would taste her kiss, whereof the fruit is death? I, the Woodpecker, I, the Slaughterer, I the Swiftfooted! I, Umslopogaas!"

    17. #15
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,795
      Rep Power : 3279
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2800

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Quote By Rev. Kishoka
      Pundit,

      I am not sure if I follow you here! Bunge has powers to vote no confidence on Prime Minister and its Speaker!

      If members of parliament after submission of the pettition decide not to vote these guys out, that is a separate issue to be addressed 2010!
      Rev, I think Pundit's comment was in reference to GAME THEORY and Kinyambiss comments.

      SteveD.



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    18. #16
      Ogah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 5,670
      Rep Power : 21816
      Likes Received
      736
      Likes Given
      3195

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Rev samahani kidogo......


      BabaH karibu sana JF.......nafikir sitakuw apeke yangu kukuomba tafadhali badili hiyo Avatar yako........tafuta picha nyingine.....please!

    19. #17
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,034
      Rep Power : 1417
      Likes Received
      610
      Likes Given
      44

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Tatizo kubwa ni kuwa sheria za Tanania zote zinatungwa na bunge, kama kungekuwa na mechanism ya kuwa na sheria za kuwadhibiti wabunge, basi tungeweza kumdhibiti Spika, PM na Rais.
      Na bahati mbaya zaidi ni kuwa there is something like agreed institution corruption on the side of our parliament. The take a lot of money from US with nothing much they do for their people or for their country. Serikali akiamua kuwahonga nyongeza ya posho, wote wanakaa kimywa kwa hiyo serikali inaendelea kupeta, sasa hivi sad kusikia kuwa hata wengine walihongwa na chama chao.
      Kama bunge lilikataa kumsikiliza Slaa, kwenye issue ambayo ilikuwa ya kweli unaweza kuliamini bunge lenyewe. Sasa hivi hatuna namna ya kuliadhibu bunge, kama ingekuwepo basi tungeliadhibu. Do not tell me we can vote them out, we can't they will rig the elections anyway, kama ilivyofanyika huko nyuma!

    20. #18
      Sura-ya-Kwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2007
      Posts : 564
      Rep Power : 700
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Quote By GAME THEORY
      I beg to differ na REV KISHOKA

      In my opinion this is another form of USHABIKI ambao i wont be part of.

      Of all the pile of rubbish of rulers we have mnataka kunaimbia kuwa LOWASSA na SITTA ndio hawafai?

      lets be realistic how about having a realistic petition kama vile ya kutaka baraza la mawaziri lipunguzwe, kubadilisha katiba ambayo itakuwa inclusive na siyo kuwatenga minorities, au katiba ambayo itawezesha utaratibu mzuri wa CHECKS and BALANCES na kwani hapo ndipo tutajua majibu ya maswali kama vile:

      -LOWASSA AU MAWAZIRI WETU 60 NA OFISI ZAO ZINATUMIA KIASI GANI PER DAY

      -NI NANI ALIYEKUWA ANAPUSH MRADI WA KUJENGA UWANJA WA TAIFA PALE TEMEKE BADALA YA BARABARA KULE KISARAWE

      -HAWA GHASIA AMESHAACHIEVE NINI TANGU ACHAGULIWE

      etc etc


      Unashabikia nini?

    21. #19
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,034
      Rep Power : 1417
      Likes Received
      610
      Likes Given
      44

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Game you are right! Inaonekana kama ni ushabiki fulani, alkini ukiangalia kwa undani utaona kuna point kubwa tu.
      Kiongozi wa shughuli za bunge ni Spika, na kiongozi wa shughuli za serikali ndani ya Bunge ni PM, na historia ya Tanzania inaonesha kuwa kama Kiongozi akiwa makini na muelekeo wengine wanafuata, that is what we sawa with Ben in his early years in office(isipokuwa mwaka mmoja na nusu wa mwisho), na kama ilivyokuwa wakati wa Mwinyi the whole government ilikuwa hovyo, so i personally see the point here.
      Get a good leader, the the rest will follow. That is it!

    22. #20
      Rwabugiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Posts : 2,737
      Rep Power : 1158
      Likes Received
      67
      Likes Given
      31

      Default Re: Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers

      Yes, Nadhani kishoka ameleta jambo la msingi sana!

      Si kwa vile wengine hawafai iwe kigezo cha kutowawajibisha hawa ambao katiba yetu pamoja na mapungufu yake imetupa nguvu hizo.

      Cha kufurahisha na kutumainisha zaidi ni kwamba huu utakuwa ni mtego namba 2 kwa wabunge wa CCM, kwani itakuwa ni kusuka ama kunyoa kwa ama:
      waikubali hoja ili hao vibosile wao wawajibishwe na hapo watakuwa kweli wametimiza wajibu wao na msatakabali wa taifa.

      -Waitupe kapuni kama zinginezo hap vyama mbadala vitakuwa tayali vimepata mtaji mwingine kwa ajili ya 2010.

      Kwa mantiki hii nakubaliana na Rev, kwamba bora kujaribu kuliko kuishia kwa woga bila kujaribu! huu uoga ni ugonjwa mbaya sana ulio tufikisha hadi tulipo.. inabidi tuendane na usemi wa..., Haogopwi mtu!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Kujiuzulu Lowassa kulinishtua-Sitta
      By nngu007 in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 19th October 2011, 15:13
    2. Waziri Sitta amlipua Lowassa Bungeni
      By nrongalema in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 141
      Last Post: 11th July 2011, 18:07
    3. NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out
      By Quinine in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 8
      Last Post: 16th April 2011, 15:42
    4. Petition: Lowassa and Sitta should be removed from Powers
      By Rev. Kishoka in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 42
      Last Post: 6th November 2009, 08:33
    5. JK ,KARANGI, ZITTO, SITTA, LOWASSA- no PhD
      By Hasara in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 5
      Last Post: 22nd August 2007, 17:59

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...