Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuhatarisha usalama wa Taifa? Give me a Break!

    Report Post
    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 217
    1. #1
      Baija Bolobi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2009
      Location : Bosnia
      Posts : 612
      Rep Power : 718
      Likes Received
      325
      Likes Given
      0

      Default Kuhatarisha usalama wa Taifa? Give me a Break!

      Madudu mengi na ya hatari yanayotokea katika siasa za nchi yetu yanaashiria kuwa idara yetu ya Usalama wa Taifa imefika mwisho kiutendaji. Ebu ona:-

      -Rais akamteua Chenge baada ya kuvunjwa kwa Baraza la mawaziri. Watu wakapiga kelele, yeye akakaidi. Baada ya muda mfupi akalazimika kumwondoa kwa aibu!

      -Nape na Malisa wakavutana kuhusu uongozi wa UVCCM; Rais akawatosa wote na kumchukua Masauni. Amegundulika alifoji umri, akaondoka, lakini aibu ikabaki kwa Rais. Hakuna aliyewajibishwa katika idara ya Usalama.

      -Sasa tunaambiwa Bashe si raia. Amekuwa katika nafasi nyingi ikiwamo NEC. Chiligati anasema walipitiwa tu. Wamepitiwa mangapi?

      La kujiuliza, hivi tuna ile Idara ya Usalama wa Taifa au sasa ni Idara ya Uhasama wa Taifa? Kinachoonekana kujengeka sasa ni kuwa uhasama katika mahusiano ya watawala ni mkubwa sana. Leteni maoni ya nini mwisho wa uhasama huu.

      Kwa wasiojua majukumu ya taasisi hii wa-download attachment hii:


      Quote By KAPONGO
      Kazi ya Usalama wa Taifa pia imegawika katika mafungu haya:
      1. Kulinda Viongozi Wakuu- Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, na Viongozi wa staafu wa ngazi hizo, (pamoja na kulinda viongozi wakuu wa UWT km mkurugenzi wake mkuu).
      2. Kukusanya taarifa za usalama kwa lengo la kujua mood ya wananchi kuhusiana na kila tukio linalotokea ama lisilotokea nchini ili kuiwezesha serikali kufanya maamuzi sahihi, na mara zote kulinda maslahi ya taifa.
      3. Kutafuta intelligensia kutoka nje ya mipaka zenye kuiwezesha nchi kujua siri za ndani za nchi nyingine, rafiki ama shindani, ama hasimu, ili ziweze kuisaidia kufikia maamuzi sahihi (informed decisions) kuhusiana na mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.
      Quote By Derimto
      Kufanya mauaji ni sehemu ya kazi ya TISS na idara yoyote ile ya kijasusi katika nchi mbalimbali ila haiwi wazi inaweza kufanyika kwa kuwekewa sumu ambayo mtu anaweza kufa hapohapo au baada ya siku tatu au hata zaidi kutegemea na aina ya sumu na kiwango chake na pia kuna ajali ya gari ambayo inaweza kuonekana kama ya kawaida kabisa au ya kusababishwa na aina ya hila yoyote ile kama ilivyotokea kwa Diana ionekane alikuwa anawakimbia wapiga picha na kuna ambayo wengi wamezoea ambayo ni ya kumfuata mlengwa na kumpiga risasi mahali popote nyumbani kwake, kwenye mkutano au sehemu yoyote inapopatikana nafasi hiyo.

      Ni kweli kuwa kazi ya usalama wa Taifa ni kulinda masilahi ya Taifa lakini na raia wakeila kuna nyakati huwa ni kwaajili ya kulinda wakubwa wachache au serikali husika na masilahi yake na hapa inaweza kufikia hata kuua kiongozi mkubwa na mwandamizi au hata kundi la watu kwa mfano aliyekua waziri mkuu wa Israel Yitzak Rabin huyu alipigwa risasi na ikasemekana ni raia ila ukweli ulivyo yule hakuwa raia wa kawaida alikuwa alinda kile ambacho Waisrael wanakiamini siku zote na PM. Yeyote anapochukua nchi ile anatakiwa akifuate akikiuka siyo mwenzao tena atatolewa kafara kwa namna yoyote ile kuhakikisha Israel inabaki kuwa ilivyo kama wanavyoamini wayahudi na ni wakatili mawako tayari kuona mwarabu anapata anachokitaka okay basi tufanye hivi kule midle east kuna waarabu kibao tena ambao ni wazaliwa Israel kwa nini asitumwe kwenda kufanya yale mauaji lakini yakafanywa na myahudi mwenzake? Angalia wengine kama Rafik Harir wa Syria, na hata marehemu Kombe aliuawa na Polisi wakimtuhumu kuwa ni Jambazi pamoja na kuwa alijitambulisha kuwa yeye ni nani!

      Ngoja nikupe mfano mwingine ambao huu utawachanganya wengi na wavivu wa kusoma na kuchunguza tutawaacha mbali sana WTC huko New York ambapo walikufa zaidi ya watu 3000 na kuwasingizia magaidi na kuzua vita ambavyo vimedhulumu maisha ya wanyonge wengi bila kujali aina ya dini kabila au hata utaifa maana walikufa wamarekani na waisilamu wa Iraq na kwingineko duniani na hata kumnyonga Sadam na hali ikawa mbaya Iraq kuliko alivyokuwepo Sadam Hussein na pia kubadilisha mambo mengi duniani ikiwemo kuvujiana heshima na kutuhumiana ugaidi kwa kumpima mtu kwa itikadi yake tu na hata kumdhalilisha

      Ni matumain yangu humu JF. Kuna wakandarasi ambao wanaweza kutoa ufafanuzi wa jinsi gorofa linaweza kujengwa namna gani halafu ligongwe na ndege lishuke kama ice cream juani na kuwa vumbi na wanahabari watoe picha ambazo nyingi zinafanana na hasa ukizingatia kwa wenzetu suala TEKNOHAMA wako mbali wana vyombo vingi vya kudugundua mambo mengi HEBU WANAJF.TUSIWE WATU WA MALUMBANO MENGI HUMU NDANI TUPATE MUDA WA KUSOMA NA KUCHUNGUZA MAMBO KWA KINA UTANIELEWA NASEMA NINI HAYA NINAYOYANGEA HUMU

      ANGALIZO: Hapa simaanishi magaidi hawapo laa ila magaidi wapo na wanafanya kazi zao na wengine kibao tunao hata hapa kwetu tena wanajishikamanisha vizuri sana wakubwa wa serikali zetu kwa kuifadhili na kutoa michango mbalimbali kwenye serikali na jamii kwa ujumla na ukijidai kuwafuatilia yaweza kukuta makubwa maana baadhi ya wakubwa wana masilahi yao huko.

      Hivyo basi moja ya kazi ya idara yoyote ya ujajusi ni kufanya ujasusi na project za siri katika nchi mbalimbali tatizo ni kuwa hapa kwetu na baadhi ya nchi nyingi zinatumia vibaya Idara hizo badala ya kujiletea maendeleo kama Nchi za urusi na Asia na hivyo sehemu kubwa kuishia kulinda kundi la watu wachache na madaraka yao maana hao ndiyo wenye uwezo wa kumpoint mkurugenzi na wengine katika kazi nyeti za serikali iliyoko madarakani.

      Idara hii ina watu wengi sana tena wengine hawathaminiki katika jamii kabisa na wanafanya kazi kizalendo zaidi na kutanguliza masilahi ya Taifa mbele lakini wanakwamishwa na urasimu na kutokuchukuliwa hatua kwa wahusika (watu hatarishi wa usalama) na ikumbukwe kuwa idara hizi kwenye nchi nyingi huingia maeneo mengi sana mbalimbali unaweza kumkuta waziri,Mchungaji, sheikhe, mhadhiri,mwana habari, mfagiaji, dereva wa dalala au tax, fundi viatu, mwalimu, padre,mwanamuziki, makahaba na kwa hapa Dsm. Hata muuza samaki (pweza) kwenye sinia anaweza akawa na akafanya kazi kwa ufanisi mzuri kabisa ila mwana usalama wa kweli hana na habebi bango la kujitangaza waziwazi kuwa yeye ni mwana usalama na ndiyo maana ukimwona mtu anajigamba sana ujue huyo ni feki na ana masilahi yake binafsi ukiacha wale ambao wanafanya kazi za wazi za kuwalinda viongozi Top5 kingine kazi ya kukamata wahalifu mara nyingi huwa ni kazi ya polisi na kama kuna ofisa usalam akitaka kukamata anaweza kukamata kama raia mwingine yeyote kulingana na sheria za nchi MZISOME! raia anaweza kumkamata mhalifu ila ikiwa ni lazima sana kwa mwanausalama kufanya hivyo kimabavu anaweza kufanya hivyo akishirikiana na polisi na vyombo vingine vya dola kama vile PCCB, Uhamiaji, TFDA, Jeshi nk. TENA IKUMBUKWE KUWA OFISA WA IDARA YA USALAMA WA TAIFA HAKAMATI MVUTA BANGI MARA NYINGI ATAKUWA RAFIKI YAKE ILI AWEZE KUJUA BANGI INALIMWA WAPI NA KUPELEKWA KUUZWA WAPI HAWAKURUPUKI TU. Lakini sio mbwembwe ambazo watu wengi wanapenda kujionyesha nazo kuwa wao ni wana usalama na kuwakera wengine.

      Kwa kwa kuongezea ni kuwa hakuna jambo lolote la hasara na aibu ambalo linaipata nchi hii ambalo vyombo husika na Rais mwenyewe hana Taarifa nalo kila kitu kinajulikana na kutolewa ufanunuzi na hasra zake LAKINI KIKUBWA NI KWAMBA HUPUZWA KWANI WASIKA WENGI HUWA NI MASWAIHIBA WA RAIS AU WAZIRI MHUSIKA NA HATA VIONGOZI WAANDAMIZI Na ndiyo maana mara nyingi Rais anashindwa kuchukua maamuzi magumu maana yanaweza kumgusa yeye mwaneyewe au yalianzia kwake mwenyewe. Lakini idara ina heshima zake na kukusanya taarifa mbalimbali za kiulinzi na usalama na hata kiuchumi lakini hazitiliwi maanani zinawekwa kapuni na kama unabisha mtafute rafiki yako yeyote wa karibu muulize kiundani kama hawahui mambo yanyoendela nchi hii lakini hana namna ya kufanya.

      OMBI NA TAHADHARI:
      IDARA HII ISIBEZWE NA KULAUMIWA KWA KUWABEBA WANASIASA NA KUTOKUFANYA KAZI YAKE IPASAVYO NI KWA SABABU YA MFUMO WENYEWE ULIVYO KAMA NDANI YA JESHI NA IKUBUKWE KWA WALE WALIOPITIA HOJA ZANGU ZA MWANZO NILIONYESHA JINSI WANAVYOTOA KAZI KUANZIA NATIONAL SERVICE KWA MAANA HIYO IDARA HII NI PARAMILITARY NA KUNA CHAN OF COMMAND AMBAYO KILA MTU ANAIFUTA KULINGA NA ORDER ALIYOPEWA NA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI NI RAIS MWENYEWE WA JMT.

      ILA NA WAO WAMECHOKA NA UOVO UNAOENDELEA SERIKALINI MPAKA HUKO KWENYE MAJESHI NA HII NI HATARI SANA INAWEZA KUJA KULETA MACHUFUKO SIKU ZA USONI KAMA IVORY COAST NA KWINGINEKO MAANA HAWANA UHAKIKA NA MAISHA YAO YA BAADAYE YA WATOTO WAO NA NDUGU ZAO MAANA KILA KITU KIZURI NA CHENYE MASILAHI KIMESHIKWA NA WAKUBWA NA WAJANJA WACHACHE.
      jmushi1, luck, MpigaKelele and 5 others like this.
      HERI KUFIA MAWAZO YANAYOISHI KULIKO KUISHI KWA MAWAZO YALIYOKUFA.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Chifunanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : the future
      Posts : 288
      Rep Power : 20497
      Likes Received
      26
      Likes Given
      7

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By Utingo
      mwambie huyo rafikiyo kazi za kufanya ni nyingi sana. I have many friends in that department wanalia njaa mno na wengine mnawaona kila siku wanatembea na wakubwa na wanasimama nyuma ya waungwana wanapohutubu. secrecy doesn't mean good life unless unataka waranty to ya kutongozea, maana machangudoa ukiwaambia mimi ni usalama wa taifa wanakuvulia nguo haraka.

      advise your friend to seek a real career, si hiyo. Akiingia huko katika bajeti yako itakulazimu umwingize naye, maana maisha yatampiga kinoma.

      hahahaha......akiingia huko lazima nimpotezee....mambo ya kuhamishiana majukumu watoto wa kiume siyafagilii kabisa yani....ila nadhani dogo yupo kizalendo zaidi
      the more i learn the less i know

    4. #42
      Chifunanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : the future
      Posts : 288
      Rep Power : 20497
      Likes Received
      26
      Likes Given
      7

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By Derimto
      Kuhusu magari ni kweli ila siyo yote yote mengine machache yanakuwa nayo ingawa siku hizi na wahuni wachache wameanza kuiga style hiyo ila kwa sehemu baadhi ya traffic wamestukia maana zile gari mara nyingi hutoka kwa series na kwa aina kwa mfano zilikuwepo toyota land cruiser na baadaye pajero ambazo ni nyingi sana kwenye idara hiyo kwa sasa hasa ngazi za wilaya kuliko magari yoyote halafu mashangingi Gx. Na sasa kuna mengine mapya
      Pale Makumbusho ni sawa. Ila siyo kwamba wako kisiri kihivyo unavyodhani kuna wengine hawajulikani kulingana na location yake ya kazi na hana sababu ya kwenda kwenye ofisi zao kila mara asije akajulikana na kuharibu mambo

      Siyo wote wenye vitambulisho ila fahamu wako wengi kila mahali na wanafamika official katika ofisi zao kama Agents kwa namba na password zao

      Vitambulisho ni kweli vyekundu kama vina nembo yao vimeandikwa kwa chuma na siyo kama vile vya PCCB vyekundu na nembo ya Taifa ilogongwa kama kwenye passport zetu.

      Ofisi huwa hazina kibao ila za makao makuu na za Mikoa huwa siku hizi zinakuwa na bendera na aina ya minara fulani tofauti na minara ya mawasiliano ya kawaida tuliyoizoea za wilaya huwezi kuzijua maana ziko kama nyumba za watu zaidi sana utaona hayo mgari yao na mara chache magari ya polisi huwatembelea kama vile Maofisa waandamizi na wakurugenzi

      Umetosheka?
      Asante sana Derimto.....umejibu maswali mengi......sasa maswali mengine...

      1. mtu akitaka kufanya kazi na hawa jamaa anaaply wapi?
      2. hivi hizi nembo zao zipo online?....kuna mtu yeyote mwenye hiyo nembo atupostie hapa?.......kwa mfano ukienda wikipedia nembo ya CIA ipo pale kwenye page yao.
      3. watu wengi wamejibu kuwa kufanya kazi na hawa watu hailipi kifedha.....wanasahau kuwa wengine ni wazalendo tu, na pia kufanya kazi nao unaweza kuwa Under Cover...ukawa unafanya kazi Voda na unalipwa mshahara kama wafanyakazi wengine
      the more i learn the less i know

    5. #43
      Chifunanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : the future
      Posts : 288
      Rep Power : 20497
      Likes Received
      26
      Likes Given
      7

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By Derimto
      Thnx. And You are Welcome all the time. Hapo juu umepatia vyote wala hujaenda mbali sana.

      Kumbuka kuwa suala la kuilitumikia Taifa lako kuna changamto mbalimbali na mbaya na nzuri na siyo kwamba wote walioko huko ni watu wazembe kama inavyofikirika na wengi kwamba idara hiyo imeachia meremeta ,EPA,IPTL, na mengine kibao bila kuyafanyia kazi HAPANA KUNA WATU MAJEMBE YA KAZI WAMEKUNYWA TANZANIA NA WAZALENDO NA WAMESHIKA SEHEMU NYETI HAWAWEZI KUUMIZWA NA KUKANDAMIZWA KAMA SISI WADOGO na hao hawaogopi kumkera fulani taarifa itapelekwa na itamfikia mhusika na asipoifanyia kazi kuna njia nyinge wanayotumia wasomi na wazalendo kama vile kuwapa habari pamoja na ushahidi watu kama kina Kubenea na wakina Dk. Slaa

      Kumalizia nikupe mfano mmoja wakati fulani nilipata taarifa iliyonisumbua sana na muhusika alikuwa ni Lowassa ambaye kwa wakati huo alikua anang'ara sana na kuonekana ni mchapa kazi na mwadilifu sana nikashindwa kuandika report yake kwa kuogopa kuwakwaza wakuu maana huyu jamaa anajua kupenya kila mahali mpaka kwenye hizi idara kama alivyofanya kule Arusha alihakikisha kuwa amewaweka mpaka PCCB mikononi mwake na atakayeleta mdomo yatamkuta kama DED. Raphael Mbunda na RC. D.Njolay wa Rukwa hivyo nikaenda kuumuliza mmoja wa Senior ninao wafahamu yeye alijibu kuwa kila jambo lina mwisho kaandike report nami nikajipanga nikafanya alivyonishauri tena kwa woga sana lakini huwezi kuamini haikupita miezi sita kila kitu kilitoka tena mengine kuanzia ofisini kwa mzee mwenyewe Ikulu na akaachia ngazi

      NB: Kila raia mwema hutunza hadhi na uhuru wa nchi yake bila kujali anakutana na vipingamizi vingapi au analipwa nini uzalendo ni kitu muhimu sana kwa mtu yeyote anayejua thamani ya nchi yake na watu wake
      sasa ulivyoandika hivyo "Senior" wako kama yupo JF na akaisoma hii si atajua we ni nani?......au?
      the more i learn the less i know

    6. #44
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By chifunanga
      Njowepo, asante kwa mchango wako.....ila Usalama wa Taifa kusitambulisha mi sioni kama ni issue. Zamani nilikuwa nadhani hawa jamaa hawatakiwi kujulikana....lakini kuna mambo yanasikia mtaani ambayo haya "make" sense....kwa mfano:

      1. Wanatembelea magari yasiyo na road licence wala insurance (kioo cha mbele hakina sticker): sasa kama hii ni kweli, basi kuona mtu/watu wapo kwenye magari ya aina hiyo, then ni obviously usalama wa taifa na kila mwenye macho atayaona hayo magari....na siku hizi yamekuwa mengi kweli sijui kwa nini

      2. Nasikia wanakaa pale makumbusho. Sasa kama hii ni kweli, basi kuwajua pia ni rahisi kwani kila baada ya dakika kadhaa kuna gari/watu wanao ingia na kutoka pale...kwa hiyo ukikaa maeneo yale nusu saa tu, utapata list kubwa ya hao watu......obviously wanajulikana

      3. nasikia wana vitambulisho vyekundu.....kwa hiyo ukikutana na jamaa ukamuhisi ni usalama wa taifa we msearch tu, ukikuta kitambulisho chekundu ujue ndiye

      Hizi na story nyingine nyingi tu nimezisikia mtaani kuhusu hawa jamaa.......sasa kama kuwatambua ni rahisi hivyo, Usiri uko wapi?

      Bado naomba wadau na Usalama wa Taifa waliopo humu ndani mnisaidie mimi na watanzania wengine kuelewe......PIA NIPO SERIOUS RAFIKI YANGU ANATAKA KUFANYA KAZI HUKO, kwa hiyo naomba Msaada wadau?.....kuna jamaa mmoja ameniambie kuwa kuapply aende pale St. Peters kwenye ule mjengo mpya.....na mwingine kaniambia ni Posta J-Mall. Sasa sijui ni kweli au vipi?......au aende makumbusho?.....

      Pia Hivi mtu yeyote anaruhusiwa kuingia pale makumbusho kwa kisingizio "kakosea njia?" maana hakuna kibao kinachoonyesha usiiingie hapa.....kuna kibao kinachosema usishushe au kupandisha abiria....lakini sio usiingie huku.

      Naomba kuendeleza Hoja
      Umetoa hoja nzuri sana. I was curious pia kujua hili dubwasha likoje maana naona kama vile hawapo ilihali tunaangamizwa kiuchumi na watu waliotuibia kura.....

      Quote By Derimto
      Kuhusu magari ni kweli ila siyo yote yote mengine machache yanakuwa nayo ingawa siku hizi na wahuni wachache wameanza kuiga style hiyo ila kwa sehemu baadhi ya traffic wamestukia maana zile gari mara nyingi hutoka kwa series na kwa aina kwa mfano zilikuwepo toyota land cruiser na baadaye pajero ambazo ni nyingi sana kwenye idara hiyo kwa sasa hasa ngazi za wilaya kuliko magari yoyote halafu mashangingi Gx. Na sasa kuna mengine mapya
      Pale Makumbusho ni sawa. Ila siyo kwamba wako kisiri kihivyo unavyodhani kuna wengine hawajulikani kulingana na location yake ya kazi na hana sababu ya kwenda kwenye ofisi zao kila mara asije akajulikana na kuharibu mambo

      Siyo wote wenye vitambulisho ila fahamu wako wengi kila mahali na wanafamika official katika ofisi zao kama Agents kwa namba na password zao

      Vitambulisho ni kweli vyekundu kama vina nembo yao vimeandikwa kwa chuma na siyo kama vile vya PCCB vyekundu na nembo ya Taifa ilogongwa kama kwenye passport zetu.

      Ofisi huwa hazina kibao ila za makao makuu na za Mikoa huwa siku hizi zinakuwa na bendera na aina ya minara fulani tofauti na minara ya mawasiliano ya kawaida tuliyoizoea za wilaya huwezi kuzijua maana ziko kama nyumba za watu zaidi sana utaona hayo mgari yao na mara chache magari ya polisi huwatembelea kama vile Maofisa waandamizi na wakurugenzi

      Umetosheka?
      ...I am impressed mkuu....

      Quote By Derimto
      Thnx. And You are Welcome all the time. Hapo juu umepatia vyote wala hujaenda mbali sana.

      Kumbuka kuwa suala la kuilitumikia Taifa lako kuna changamto mbalimbali na mbaya na nzuri na siyo kwamba wote walioko huko ni watu wazembe kama inavyofikirika na wengi kwamba idara hiyo imeachia meremeta ,EPA,IPTL, na mengine kibao bila kuyafanyia kazi HAPANA KUNA WATU MAJEMBE YA KAZI WAMEKUNYWA TANZANIA NA WAZALENDO NA WAMESHIKA SEHEMU NYETI HAWAWEZI KUUMIZWA NA KUKANDAMIZWA KAMA SISI WADOGO na hao hawaogopi kumkera fulani taarifa itapelekwa na itamfikia mhusika na asipoifanyia kazi kuna njia nyinge wanayotumia wasomi na wazalendo kama vile kuwapa habari pamoja na ushahidi watu kama kina Kubenea na wakina Dk. Slaa

      Kumalizia nikupe mfano mmoja wakati fulani nilipata taarifa iliyonisumbua sana na muhusika alikuwa ni Lowassa ambaye kwa wakati huo alikua anang'ara sana na kuonekana ni mchapa kazi na mwadilifu sana nikashindwa kuandika report yake kwa kuogopa kuwakwaza wakuu maana huyu jamaa anajua kupenya kila mahali mpaka kwenye hizi idara kama alivyofanya kule Arusha alihakikisha kuwa amewaweka mpaka PCCB mikononi mwake na atakayeleta mdomo yatamkuta kama DED. Raphael Mbunda na RC. D.Njolay wa Rukwa hivyo nikaenda kuumuliza mmoja wa Senior ninao wafahamu yeye alijibu kuwa kila jambo lina mwisho kaandike report nami nikajipanga nikafanya alivyonishauri tena kwa woga sana lakini huwezi kuamini haikupita miezi sita kila kitu kilitoka tena mengine kuanzia ofisini kwa mzee mwenyewe Ikulu na akaachia ngazi

      NB: Kila raia mwema hutunza hadhi na uhuru wa nchi yake bila kujali anakutana na vipingamizi vingapi au analipwa nini uzalendo ni kitu muhimu sana kwa mtu yeyote anayejua thamani ya nchi yake na watu wake
      Very patriotic shekhe. Ninasoma mpaka nasisimka kiujasiri kutaka kuonesha umwamba kwenye kulinda maslahi ya nchi.

      Quote By chifunanga
      Wadau naomba msaada, mi kila siku ninavyosoma vijihabari nazidi kuchanganyikiwa...eti kazi ya UWT ni nini haswa?

      Mi nilikuwa nadhani kuwa kazi yao sio Kulinda.....ulinzi wa ndani ya nchi ni kazi ya Polisi, na ulinzi wa nje (mipaka) ni kazi ya Jeshi (TPDF).

      Mi nilikuwa nadhani kazi yao ni kufanya utafiti na kushauri tu!....sio kulinda, kukamata, au kumuhukumu yeyote.

      Na je? kuna kamati ya usalama ya bunge ambayo inawahoji hawa ndugu zetu wa Usalama wa Taifa?

      Pia, kuna rafiki yangu mmoja anataka kufanya kazi Usalama wa Taifa, kuna jinsi ya ku apply? (wapi, lini, kivipi, etc etc)......au ndio "you don't find us, we'll find you?"

      Naomba kuwasilisha Hoja
      Hoja yako hii naiita ya karne maana imejibu maswali yangu mengi sana.
      Najua wapo watakaobeza (kwa sababu zao) ila majibu ya DERIMTO yamefungua ukurasa mpya kuhusu kuifahamu hii taasisi moyo wa taifa. ingawa kiuhalisia wanabaniwa sana kufanya shughuli zao lakini kwa sehemu wanaoesha wanajali huku wakipuuzwa na viongozi wetu....
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    7. #45
      ejogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2009
      Posts : 974
      Rep Power : 677
      Likes Received
      58
      Likes Given
      50

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      kazi yao ni kuhakikisha taifa lipo salama! hahaha!

    8. Miaka 50

    9. #46
      Gudboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Location : DSM
      Posts : 805
      Rep Power : 658
      Likes Received
      9
      Likes Given
      10

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Wakati nasoma hii itaarifa kwanza ilikuwa inanivutia sana kulingana na wachangiaji wake kuelezea kwa hisia kali, binafsi nilikuwa sifahamu kitu chochot kama ilivyoelezwa hapa, lakini nilikuwa nawajua na bado nawajua baadhi ya watu ambao wanafanya kazi huko.

      Jambo la pili ambalo pia limenisisimua ni jinsi pia kunavyotokea baadhi ya vifo vya watu ambao wanaonekana kwenda tofauti na serikali, hapa pameniumiza sana mfano Prof Mwaikusa, hapa umenikuna sana mtoa mada, nimejisikia kutoipenda hii kazi kwa mana hata ipo siku utaambiwa nenda kaamue fulani.

      Jambo jingine ni kwamba wakati nasoma habari hii ni kama vile nilikuwa naangalia filamu fulani hivi, mana nilivuta taswira iliyonipeleka kuona baadhi ya matukio ambayo wachangiaji wameweka hapa. Sitofautishi sana habari hii na zile simulizi za Willy Gamba kama wadau mtakuwa mnamkumbuka. Binafsi nimefurahi lakini pia nimeingiwa na woga juu ya haya yaliyoelezwa.
      Kuwa na Mashori wengi si kipimo cha Urijali, kama mwanaume wa kweli, nyumbani wapate Ugali

    10. #47
      Derimto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 1,212
      Rep Power : 684
      Likes Received
      249
      Likes Given
      3

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Nilitalikua natoa baadhi ya mambo machache baada ya chifunanga kutaka ufafanuzi ambao utamwezesha mtu kuomba kazi huko lakini inavyoonekana bado watu wengi hawajaridhika labda nijaribu kujibu na kufafanua baadhi ya mambo kidogo sana ili tuelewane angalau kwa sehemu fulani.

      Hii kazi mara nyingi kwa hapa kwetu siwahi kuona watu matangazo na watu wakaomba kazi kama kazi zingine zilivyo mara nyingi wao ndiyo mara nyingi hufuata mtu ambaye wataona ana tabia na uwezo wanaoutaka wao kwa mahali husika yaani wanapotaka kwenda kumtumia na hapo wataendelea kuangalia uwezo wako unaweza kubadilika na mazingira husika kwa haraka kiasi gani na kukutumia kwa kazi kubwa zaidi ya mwanzo.

      Kwa hapa kwetu Tanzania miaka ya nyuma kulikuwa na JKT. Na ulikuwa mfumo mzuri sana wa watu kuonyesha vipaji vyao mbalimbali na kama ilivyo kawaida UC. Wengi wamejaa kila mahali na hasa kwenye sehemu muhimu na hapo waliangalia uwezo wa mtu bila kujali ni mtoto wa nani na kwao wana uwezo mkubwa wa kifedha namna gani na hatimaye mtu unapewa taarifa tena bila kumjua mtu aliyekupendekeza wewe kuingia kwenye kazi hiyo na mfumo mara nyingi unatumiwa zaidi na nchi kama Israel kumuandaa ofisa yeyote kuingia idara yao ya ujasusi (Mossad) ambapo hata makao makuu ya Mossad hayajulikani na watu wengi tofauti na nchi nyingi za magharibi.

      Kwa sasa kama unataka kujiunga ni vizuri kuwa karibu na hao wanausalama wa ukweli wanaofahamika kila kona za mtaa na kumpelekea habari za umbea hasa zinazowahusu viongozi na vigogo vya serikali na hasa zinazopendelea serikali iliyoko madarakani hata kama inafanya vibaya utawekwa kwenye list yao maana HONGO KUBWA YA KAZI KWENYE HII IDARA NI TAARIFA HATA KAMA NI ZA UMBEA WA JIRANI YAKO TU maana hakuna kazi nyingi za kuweka busy zaidi ya usalama wa viongozi hao watano na ndiyo maana wakipelekwa mikoa ambayo hao viongozi hawafiki mara kwa mara wanaishia kulalamika tu kuwa wanafanya kazi za ccm

      Kuna watu wanataka kujua nembo za TISS Na kama wanaweza kupata kwenye web. Naomba ikumbukwe kwamba hapa kwetu pamoja na kwamba idara hii inasakamwa sana bado kuna wazee na watu bora kabisa tena wanajua nini maana ya idara ya ujasusi tofauti na sasa ambapo wamejaa huko watoto wa vigogo wengi ambao kama alivyosema mchangiaji mmoja kuwa wanatumia vyeo vibaya na kutongozea mademu na kutishia watu ili waogopwe na watu pamoja na baadhi ya maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama.

      UC. Wengi wanatakiwa kuwa na bidii na akili binafsi za kuzaliwa za kuweza kubuni mambo kwa ufanisi zaidi ya akili za kawaida ili kulinda cover yake isijulikane kwa namna yoyote ile na kuandika report na ikumbukwe kuwa yeye anapoandika report siyo kazi yake kuifuatilia kama imefanyiwa kazi au laa na unaweza kuona wakatumwa hata watu wengine wanne zaidi kwa nyakati tofauti ili kujiridhisha na taarifa uliyopeleka ina ukweli kiasi gani ingawa siku hizi hii imepungua na majungu ni makubwa inaangaliwa report yako imependelea upande gani yaani anaangalia wewe unawazaje kwa kutumia (W) ya mwisho yaani Why? Na hapo ndipo unajikuta unasota bench muda mrefu na wenzako wakienda mbali na kufaidi kodi za nchi hii.

      Napenda Pia kumjibu mwana jamii mwenzangu Pelosi kuwa hapa ni jamvini tunachangia na kama wewe ni mwanausalama ninakukera nisamehe (come and get me kwenye JF)ingawa najua kwako hii ni taarifa itakayokunyanyua sana kama hauna kazi ya kufanya na mahali pa kupata taarifa muhimu za ulinzi na usalama wa nchi yako zinazolimaliza Taifa hili changa kwa kuficha ukweli halisi na kureport umbea kama huu unaopata huku ndani nenda kaziprint peleka report kwa wakubwa wako utasifiwa na kujihakikishia kazi milele MAANA SERIKALI HII HAITAONDOKA MADARAKANI na huu ni baadhi ya ukweli kidogo tu ninao ufahamu kuhusu idara hii kwa nje tu maana Idara hii ni kubwa na imeagwanyika sehemu mbalimbali kulingana na kazi husika.

      H/W Yako ni hii nenda kamuulize Mabere Marando wa Chadema kwa nini siku ile bungeni alipokua anaomba uspika hakuzitaja sifa na uzoefu wake kiundani kama alivyofanya Anna Makinda na je alikorofishana nini na hayati Mwl.Nyerere?

      Pia nilipenda kumjibu mwana jamii ambaye aliuliza swali na kutaka kujiridhisha maana yeye ni mlipa kodi ni haki yake kujua japo kwa nje tu hii idara maana kuna watu wengi wamenyanyasika kijinsia na kudhulumiwa na watu wanaotumia vibaya jina la hii Idara kwa manufaa yao binafsi na kutaka waogopwe tu na jambo hili limeshawawi kunikuta mwenyewe nilitishiwa na mtu ambaye anamfahamu mtu wa Idara hii nikawa mpole na baada ya kujipanga vyema nikamtokea kihalisi kifupi ilikuwa na mvuto na yule bwana alikimbia jiji sijawahi kumwona mpaka leo hivyo basi kuna mamluki wengi sana mtaani wanajidai ni wana usalama kama wewe na kila mtu anamjua kitu ambacho siyo sawasawa hasa UC. Mimi mwenyewe hakuna mtu kwetu anayenijua kiundani kuanzia Baba, Mama, na ndugu mpaka hata majirani isipokua mke wangu tu ndiye aliyenishitukia na hana uhakika wa kutosha.

      Am just talking coz. am tired and pecdoff. with this corrapt.Gov. Na ninamatumaini iko siku itakwishwa na watumishi wa umma waadilifu watalitumikia Taifa hili kwa haki na ukweli bila kuogopa aina ya watu fulani wenye uwezo wa kifedha au madaraka zaidi ya kuangalia masilahi ya mwananchi wa kawaida na mali zao.

      Kwa kumalizia ni kuwa kazi hii kama ikifuatwa misingi yake kama ilivyowekwa ni ya heshima lakini haimfanyi muhusika kupata upendeleo wa aina yoyote na mara nyingi kama ni mfuata maadili mzuri utawanguliza wananchi wako na masilahi ya Taifa kwanza na wewe kupata haki hiyo wa mwisho na usio kuwa bwana mkubwa fulani na kuwanyanyasa wananchi wa kawaida.

      NB: VIONGOZI BORA, WATUMISHI NA WANYAKAZI BORA NA WAADILIFU WAKO NA WANA UWEZO MKUBWA SANA WA KULITUMIKIA TAIFA HILI ILA MAZINGIRA YALIYOKO NI HATARISHI ZAIDI KWA MAISHA YAO YA MBELE HAWAJAPATA NAFASI YA KUONYESHA UWEZO WAO.

    11. #48
      Derimto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 1,212
      Rep Power : 684
      Likes Received
      249
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By chifunanga
      sasa ulivyoandika hivyo "Senior" wako kama yupo JF na akaisoma hii si atajua we ni nani?......au?
      Ni marehemu muda mrefu sana uliopita hata hakushudia kilichotokea baadaye Mungu ailaze roho yake pema mzee yule mzalendo wa kweli ambaye hakuwahi kuwa kibaraka wa kiongozi yeyote.

    12. #49
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,865
      Rep Power : 1976
      Likes Received
      2333
      Likes Given
      3018

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Heshima kwako Mkuu Derimto,

      Mkuu nimesoma mabandiko yako yote nimeridhika unachoandika unakijua vyema na pengine hatuna budi kuisifu JF kwani faida tunayoipata ni kubwa mno.

      Kuna kijana mmoja akifanya kazi agency ya serekali si idara ya usalama baba yake alikuwa akiongoza kurugenzi moja TISS[jina naliifadhi] alifariki kabla JK hajawa rais zikliuwepo fununu angekuwa Boss wa TISS.JK na makamu wa rais walishiriki shughuli za mazishi ya huyo kigogo wa TISS. Kilichonishangaza kijana wake aliacha kazi kwa kisingizio cha kujishughulisha na biashara, nilikuja kubaini hakusema kweli kipindi cha marais wa EAC wanasaini itifaki ya soko la pamoja nikakumbana naye kwenye misafara ya wakubwa kapiga sunglass nikajua jamaa kajiunga na TISS kupitia mgongo wa baba yake.

    13. #50
      payuka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2010
      Location : wahapahapa
      Posts : 832
      Rep Power : 619
      Likes Received
      61
      Likes Given
      14

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By Derimto
      Nikwambie Best. Usipoteze muda wako fanya mambo ya maendeleo. Ila kama una hamu zaid ya kujua ni kazi nzuri sana ya kizalendo na inayoheshimika kila nchi kama idara ya ujasusi na ya siri sehemu nyingi na hufanya kazi kwa maslahi ya wananchi na kulinda viongozi wake na kwa hapa Tanzania inawajibika kuwalinda Top Five, yaani Rais wa JMT. Rais wa Zanzibar, Makamu wa Rais , Waziri Kiongozi wa Zanzibar na Waziri Mkuu. Na pia wanahusika na kufanya mauji ya mtu au kiongozi yoyote anayeonekana kuwa tishio la serikali hasa iliyoko madarakani kwa mfano kama alivyofanyiwa aliyekua mkurugenzi wa idara hiyo Kombe na pia Kolimba Prof. Mwaikusa na wengine kibao.

      Kwa kifupi wamegawanyika katika maeneo na idara mbalimbali kama vile kwenye taasisi za dini, mashuleni, vyuoni,sekta binafsi, makazini nk. na wengine kuchunguza uozo wa viongozi kuanzia kijiji, kata mpaka Taifa.

      Tukija kwa sasa hapa kwetu kwa nyakati hizi hiyo siyo idara ya kujivunia tena imejaa dhuluma na vitisho, majungu, kujuana na wengi walioko huko ni watoto wa wakubwa fulani aidha jeshini, polisi, au kwenye idara yenyewe hiyo na hapo ndipo panapopoteza utamu na ladha halisi ya TISS.

      Sikumbuki au kuwahi kuona kazi hii inaombwa mahali popote zaidi ya wao kuangalia uwezo wako binafsi na uzalendo wa nchi yako watakufuata wenyewe na kukupa baadhi ya kazi za majaribio na kukupa maelekezo machache na namna ya kutunza siri

      NB: Nimetumika na idara hii kwa takribani miaka saba kama UC. Kwenye maeneo mbalimbali kama makazini mitaani, sehemu za ibada tena bila malipo ya maana zaid ya kupewa eti posho ambayo unaweza kupewa mkononi tu bila kusaini popote na na usihoji maana utawadhi wakubwa wako na jina lako likawa la chaki miaka yote bila kupata usajili unaoeleweka na utaishia kuonewa huruma na wenzako watasema mbona fulani amepata usajili na hana lolote na huyu mchapa kazi ameachwa kifupi nina maumivu yasiyo na idadi ya vitu nisivyopenda.

      Kwa mfano Tanzania hakuna kazi nyingi lakini ili uonekane unafanya kazi inabidi upeleke taarifa (repot) hata kama ni ya uongo ambayo inaandikwa kufuata mtiririko wa (W5) Yaani.
      When
      Where
      What
      Who
      Why
      Kitu ambapo kama ukizingatia na kufuatilia vizuri mfumo huu hauwezi kuandika report ya majungu kitu ambacho hawakipendi wanataka uandike taarifa ya majungu na kumchafua mtu hasa yule ambaye kamati ya ulinzi na usalama inataka kumtoa kafara kama vile kumhamisha mtu fulani kutoka sehemu moja kwenda nyingine mfano ma RPC,RCO,RC.DC,DED,OCD na wengine kibao kama taarifa yako itakua safi sana imefuata taratibu zote utasifiwa na kupongezwa na wenye uzalendo wachache na lakini yatakupata ya yaliyompata Sitta.

      Kwa kifupi niko kwenye hii idara nateseka na majungu, urasimu,dharau,bifu zisizo na maana yaani natamani kama utawala ubadilike labda itatuona wanyonge wa chini tutakalitumikia Taifa hili kwa uadilifu na haki sawa kwa kila.

      Thnx. JF. Hatutambuani kwa majina halisi ingekuwa kazi kweli yangenikuta yaliyomkuta Kombe.
      Nimekupata mkuu, na nimesoma baadhi ya vitu nimepiga tiki we uko sehemu fulani! kama ulivosema si kazi ya kujivunia kwa mtu mwenye akili timamu ....kutokana na mazingira ya kikazi Tanzania yetu yalivyo.
      "The significant problems we face cannot be solved at the same level of thinking we were at when we created them." Albert Einstein

    14. #51
      Kamarada's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th July 2010
      Posts : 98
      Rep Power : 467
      Likes Received
      15
      Likes Given
      40

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      ....Demrito you deserve..

    15. #52
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Pia, kuna rafiki yangu mmoja anataka kufanya kazi Usalama wa Taifa, kuna jinsi ya ku apply? (wapi, lini, kivipi, etc etc)......au ndio "you don't find us, we'll find you?"
      kwa bongo mkuu hakuna jinsi ya ku-apply! wakikutaka watakutafita wao wenyeweeeeeeeeeee.....ila hiyo kazi mmmh, you have to do what they want and not what you want! Ukikiuka, you are finished! I bet you better be in a top position (big fish) but if you are going to be a small fish mmmh, too bad! They will use you!

    16. #53
      Chifunanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : the future
      Posts : 288
      Rep Power : 20497
      Likes Received
      26
      Likes Given
      7

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      wadau.....asanteni kwa michango......nyongeza mbili:

      1. kama kuapply ni wao ndio wanakutafuta, ni obvious ni ndugu na jamaa ndio watakuwa wanafanya hivyo.....kwa sababu leo hii mi nikiwa natafuta mtu anayejua kupiga gitaa, nitawauliza watu ninaowafahamu na najua shangazi yangu ataniambia kuwa binamu yangu anapiga gitaa.....ndio maana mwisho wa siku inaonekana kama wanaarijiana kindugu....kumbe inawezekana ikawa hawana jinsi yakuwaona wengine wenye vipaji kama huyu rafiki yangu anayetaka kazi huko....mi nadhani ingekuwa vizuri wangeweka jinsi ya kuadvertise nafasi za kazi.....hata wasipospecify ni kazi gani, ila wangeweka kama sehemu kwamba....kama mtu anataka kufanya kazi TISS basi aende sehemu fulani akaapply....ila kupata kazi au kukosa ni siri ya TISS na muombaji.

      2. Hivi kazi ya TISS ni kulinda viongozi na kuua watu tu?......hakuna kazi ya kumanage systems fulani?.....hakuna kazi ya kufanya mahesabu fulani?.....hakuna kazi ya kutengeneza vitu fulani?......yaani TISS ni kulinda na kuua tu?.......mi nadhani usalama wa taifa ni zaidi ya hayo mambo mawili tu......hebu wadau nisaidieni?
      the more i learn the less i know

    17. #54
      KAPONGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Location : Madongo kuinama
      Posts : 599
      Rep Power : 627
      Likes Received
      70
      Likes Given
      216

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By chifunanga
      Asante sana Derimto.....umejibu maswali mengi......sasa maswali mengine...

      1. mtu akitaka kufanya kazi na hawa jamaa anaaply wapi?
      2. hivi hizi nembo zao zipo online?....kuna mtu yeyote mwenye hiyo nembo atupostie hapa?.......kwa mfano ukienda wikipedia nembo ya CIA ipo pale kwenye page yao.
      3. watu wengi wamejibu kuwa kufanya kazi na hawa watu hailipi kifedha.....wanasahau kuwa wengine ni wazalendo tu, na pia kufanya kazi nao unaweza kuwa Under Cover...ukawa unafanya kazi Voda na unalipwa mshahara kama wafanyakazi wengine
      Kazi ya Usala wa Taifa haiombwi km nyingine. Kinachofanyika ni watu wenyewe wa usalama kufanya recruitment kutoka vyanzo mbalimbali, hususan katika vyuo vya elimu ya juu.

      Taarifa na wasifu wa mtarajiwa hufanyiwa utafiti wa kina kabla ya mmoja wao kuwa na direct contact na mtarajiwa. wanaobahatika kupita mchujo wa awali huandaliwa mafunzo. Kinachozingatiwa mwanzo ni intelligence ya mtu, uadilifu na msimamo wake katika mambo ya msingi husuan ya jamii, mapenzi yake kwa taifa lake.

      Na kwa vile kazi hiyo ina matawi lukuki basi hata recruitment inafanyika kutegemea mahitaji husika...Lakini good command katika fani yoyote ni kigezo muhimu kwani Hata kazi ya usalama wa taifa essentially inahusu ukusanyaji wa taarifa ( intelligence gathering), uchambuzi wa taarifa zilizokusanywa ( analysis), na enterpreters of the intelligence gathered). Ndio maana kuna watu wanaoitwa majina km informers, data collectors, analysers, undercovers na hata majasusi (spies), ambao hutumwa kazi nje ya mipaka ya nchi.

    18. #55
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,420
      Rep Power : 1382
      Likes Received
      591
      Likes Given
      405

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By chifunanga
      hahahaha......akiingia huko lazima nimpotezee....mambo ya kuhamishiana majukumu watoto wa kiume siyafagilii kabisa yani....ila nadhani dogo yupo kizalendo zaidi
      uzalendo au dormant mind?
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    19. #56
      KAPONGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Location : Madongo kuinama
      Posts : 599
      Rep Power : 627
      Likes Received
      70
      Likes Given
      216

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Kazi ya Usalama wa Taifa pia imegawika katika mafungu haya:
      1. Kulinda Viongozi Wakuu- Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, na Viongozi wa staafu wa ngazi hizo, (pamoja na kulinda viongozi wakuu wa UWT km mkurugenzi wake mkuu).
      2. Kukusanya taarifa za usalama kwa lengo la kujua mood ya wananchi kuhusiana na kila tukio linalotokea ama lisilotokea nchini ili kuiwezesha serikali kufanya maamuzi sahihi, na mara zote kulinda maslahi ya taifa.
      3. Kutafuta intelligensia kutoka nje ya mipaka zenye kuiwezesha nchi kujua siri za ndani za nchi nyingine, rafiki ama shindani, ama hasimu, ili ziweze kuisaidia kufikia maamuzi sahihi (informed decisions) kuhusiana na mambo mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.

    20. #57
      Raia Mwema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2008
      Posts : 536
      Rep Power : 663
      Likes Received
      77
      Likes Given
      27

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By Njowepo
      Kumjua indirectly sio issue sasa mtu mtaani anajisifu huoni uyo ni usalama wake sio wa taifa.
      Ivi uko serious au unatania ilo suala la kuapply?Kama uko serious subiri Slaa aingie madarakani kwa sasa unless kama wataka kuwa mmoja wa watetea ufisadi apply
      Mimi sioni sababu ya kumkatisha tamaa ya kuapply Usalma wa Taifa kama ni kazi ilio katika damu yake. Binadamu hutakiwi kuyakimbia matatizo bali kuyakabili. Pengine akiingia Usalama wa Taifa atakuwa ni mmoja wa wazalendo tunaowahitaji. Anayejua namna ya kupata kazi huko amsaidie.

    21. #58
      Shaycas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2009
      Location : Arusha
      Posts : 654
      Rep Power : 653
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Quote By Derimto
      Nilitalikua natoa baadhi ya mambo machache baada ya chifunanga kutaka ufafanuzi ambao utamwezesha mtu kuomba kazi huko lakini inavyoonekana bado watu wengi hawajaridhika labda nijaribu kujibu na kufafanua baadhi ya mambo kidogo sana ili tuelewane angalau kwa sehemu fulani.

      Hii kazi mara nyingi kwa hapa kwetu siwahi kuona watu matangazo na watu wakaomba kazi kama kazi zingine zilivyo mara nyingi wao ndiyo mara nyingi hufuata mtu ambaye wataona ana tabia na uwezo wanaoutaka wao kwa mahali husika yaani wanapotaka kwenda kumtumia na hapo wataendelea kuangalia uwezo wako unaweza kubadilika na mazingira husika kwa haraka kiasi gani na kukutumia kwa kazi kubwa zaidi ya mwanzo.

      Kwa hapa kwetu Tanzania miaka ya nyuma kulikuwa na JKT. Na ulikuwa mfumo mzuri sana wa watu kuonyesha vipaji vyao mbalimbali na kama ilivyo kawaida UC. Wengi wamejaa kila mahali na hasa kwenye sehemu muhimu na hapo waliangalia uwezo wa mtu bila kujali ni mtoto wa nani na kwao wana uwezo mkubwa wa kifedha namna gani na hatimaye mtu unapewa taarifa tena bila kumjua mtu aliyekupendekeza wewe kuingia kwenye kazi hiyo na mfumo mara nyingi unatumiwa zaidi na nchi kama Israel kumuandaa ofisa yeyote kuingia idara yao ya ujasusi (Mossad) ambapo hata makao makuu ya Mossad hayajulikani na watu wengi tofauti na nchi nyingi za magharibi.

      Kwa sasa kama unataka kujiunga ni vizuri kuwa karibu na hao wanausalama wa ukweli wanaofahamika kila kona za mtaa na kumpelekea habari za umbea hasa zinazowahusu viongozi na vigogo vya serikali na hasa zinazopendelea serikali iliyoko madarakani hata kama inafanya vibaya utawekwa kwenye list yao maana HONGO KUBWA YA KAZI KWENYE HII IDARA NI TAARIFA HATA KAMA NI ZA UMBEA WA JIRANI YAKO TU maana hakuna kazi nyingi za kuweka busy zaidi ya usalama wa viongozi hao watano na ndiyo maana wakipelekwa mikoa ambayo hao viongozi hawafiki mara kwa mara wanaishia kulalamika tu kuwa wanafanya kazi za ccm

      Kuna watu wanataka kujua nembo za TISS Na kama wanaweza kupata kwenye web. Naomba ikumbukwe kwamba hapa kwetu pamoja na kwamba idara hii inasakamwa sana bado kuna wazee na watu bora kabisa tena wanajua nini maana ya idara ya ujasusi tofauti na sasa ambapo wamejaa huko watoto wa vigogo wengi ambao kama alivyosema mchangiaji mmoja kuwa wanatumia vyeo vibaya na kutongozea mademu na kutishia watu ili waogopwe na watu pamoja na baadhi ya maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama.

      UC. Wengi wanatakiwa kuwa na bidii na akili binafsi za kuzaliwa za kuweza kubuni mambo kwa ufanisi zaidi ya akili za kawaida ili kulinda cover yake isijulikane kwa namna yoyote ile na kuandika report na ikumbukwe kuwa yeye anapoandika report siyo kazi yake kuifuatilia kama imefanyiwa kazi au laa na unaweza kuona wakatumwa hata watu wengine wanne zaidi kwa nyakati tofauti ili kujiridhisha na taarifa uliyopeleka ina ukweli kiasi gani ingawa siku hizi hii imepungua na majungu ni makubwa inaangaliwa report yako imependelea upande gani yaani anaangalia wewe unawazaje kwa kutumia (W) ya mwisho yaani Why? Na hapo ndipo unajikuta unasota bench muda mrefu na wenzako wakienda mbali na kufaidi kodi za nchi hii.

      Napenda Pia kumjibu mwana jamii mwenzangu Pelosi kuwa hapa ni jamvini tunachangia na kama wewe ni mwanausalama ninakukera nisamehe (come and get me kwenye JF)ingawa najua kwako hii ni taarifa itakayokunyanyua sana kama hauna kazi ya kufanya na mahali pa kupata taarifa muhimu za ulinzi na usalama wa nchi yako zinazolimaliza Taifa hili changa kwa kuficha ukweli halisi na kureport umbea kama huu unaopata huku ndani nenda kaziprint peleka report kwa wakubwa wako utasifiwa na kujihakikishia kazi milele MAANA SERIKALI HII HAITAONDOKA MADARAKANI na huu ni baadhi ya ukweli kidogo tu ninao ufahamu kuhusu idara hii kwa nje tu maana Idara hii ni kubwa na imeagwanyika sehemu mbalimbali kulingana na kazi husika.

      H/W Yako ni hii nenda kamuulize Mabere Marando wa Chadema kwa nini siku ile bungeni alipokua anaomba uspika hakuzitaja sifa na uzoefu wake kiundani kama alivyofanya Anna Makinda na je alikorofishana nini na hayati Mwl.Nyerere?

      Pia nilipenda kumjibu mwana jamii ambaye aliuliza swali na kutaka kujiridhisha maana yeye ni mlipa kodi ni haki yake kujua japo kwa nje tu hii idara maana kuna watu wengi wamenyanyasika kijinsia na kudhulumiwa na watu wanaotumia vibaya jina la hii Idara kwa manufaa yao binafsi na kutaka waogopwe tu na jambo hili limeshawawi kunikuta mwenyewe nilitishiwa na mtu ambaye anamfahamu mtu wa Idara hii nikawa mpole na baada ya kujipanga vyema nikamtokea kihalisi kifupi ilikuwa na mvuto na yule bwana alikimbia jiji sijawahi kumwona mpaka leo hivyo basi kuna mamluki wengi sana mtaani wanajidai ni wana usalama kama wewe na kila mtu anamjua kitu ambacho siyo sawasawa hasa UC. Mimi mwenyewe hakuna mtu kwetu anayenijua kiundani kuanzia Baba, Mama, na ndugu mpaka hata majirani isipokua mke wangu tu ndiye aliyenishitukia na hana uhakika wa kutosha.

      Am just talking coz. am tired and pecdoff. with this corrapt.Gov. Na ninamatumaini iko siku itakwishwa na watumishi wa umma waadilifu watalitumikia Taifa hili kwa haki na ukweli bila kuogopa aina ya watu fulani wenye uwezo wa kifedha au madaraka zaidi ya kuangalia masilahi ya mwananchi wa kawaida na mali zao.

      Kwa kumalizia ni kuwa kazi hii kama ikifuatwa misingi yake kama ilivyowekwa ni ya heshima lakini haimfanyi muhusika kupata upendeleo wa aina yoyote na mara nyingi kama ni mfuata maadili mzuri utawanguliza wananchi wako na masilahi ya Taifa kwanza na wewe kupata haki hiyo wa mwisho na usio kuwa bwana mkubwa fulani na kuwanyanyasa wananchi wa kawaida.

      NB: VIONGOZI BORA, WATUMISHI NA WANYAKAZI BORA NA WAADILIFU WAKO NA WANA UWEZO MKUBWA SANA WA KULITUMIKIA TAIFA HILI ILA MAZINGIRA YALIYOKO NI HATARISHI ZAIDI KWA MAISHA YAO YA MBELE HAWAJAPATA NAFASI YA KUONYESHA UWEZO WAO.
      KAKA NIMEKUBALI MAMBO YAKO,YANA UKWELI MWINGI NA yanasaidia kuelewa baadhi ya mambo AMBAYO KUFAHAMIKA KWAKE SIO HATARI KWA USALAMA WA NCHI. KAMA KUNA MTU ANADHANI KWA TAARIFA HIZO AMWPATA TAARIFA NYETI ZA UC, AMEKOSEA SAANA. 90% YA HABARI INAYOPATIKANA BURE VALIDITY YAKE NI 10% NA 10% YA HABARI INAYOPATIKANA KWA JASHO VALIDTY YAKE NI MORE THAN 90%. SIMAANISHI KUWA ULICHOSEMA SIO VALID BALI KUJUA UNDANI WA UC KUPITIA TAARIFA YAKO NI 10%.
      Be YOURSELF

    22. #59
      Kinyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Posts : 1,883
      Rep Power : 944
      Likes Received
      236
      Likes Given
      378

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Tanzania ina majasusi ambao kazi yao ni kuchumia tumbo wala sio kujali maslahi ya watz. Kazi yao kubwa ni pamoja na kuiba kura,kuiba rasilimali za taifa na kusema ni siri kubwa, kulinda wanasiasa wa ccm, kuiba mali ya umma
      Together in Poverty Apart in Riches

    23. #60
      Raia Mwema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2008
      Posts : 536
      Rep Power : 663
      Likes Received
      77
      Likes Given
      27

      Default Re: kazi ya Usalama wa Taifa ni nini?

      Majukumu ya Idara ya Usalama wa Taifa yako wazi nenda kwenye google andika Tanzania intelligence and security service Act imetoa majibu ya maswali yako.

    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 78
      Last Post: 12th April 2012, 08:10
    2. Nyerere give us a break...Tshs 4 Millions cannot build 2 classrooms..........
      By Rutashubanyuma in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 2
      Last Post: 12th December 2010, 19:08
    3. Kuhatarisha usalama wa Taifa? Give me a Break!
      By Mtanzania in forum Jamii Intelligence
      Replies: 8
      Last Post: 30th September 2007, 09:03

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...