Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Suluhu ya msongamano wa magari jijini Dar

    Report Post
    Page 5 of 18 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 354
    1. #1
      Morani75's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2007
      Location : Duniani
      Posts : 662
      Rep Power : 762
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Suluhu ya msongamano wa magari jijini Dar

      Wana JamiiForums wenzangu...

      Hii habari ninayoiweka ni kutoka kwenye gazeti la Guardian, 09/07/2007. Kwa kweli UCLAS wamekuja na mpango mzuri. Lakini kwa wale ambao wapo kwenye vyombo kama ERB, UDSM, DIT na vyuo vingine kwa pamoja na serikali na sekta binafsi ikiwemo Polisi, Ujenzi, TANROADS, Conslutants, SUMATRA, MUWADA etc wachangie mawazo. Wenzetu wa UCLAS kama mpo jumuisheni wadau wengine ili mpango wenu uwe maridhawa na utoe suluhu ya tatizo hili la usafiri.

      Wazee wa vyuo vikuu, jamani wanafunzi wakati wanafanya projects kwa nini wasipewe mwamsho wa kuweza chunguza na kutoa mapendekezo yao kuhusu suala hili...tayari UCLAS wameshatupa "skeleton" what we need now ni "flesh and blood". Congrats UCLAS but don't hide the info to yourself, share and improve it to cater for the need......

      The article is as below:

      UCLAS: Here is the major solution for Dar congestion

      2007-07-09 09:49:32
      By Pascal Shao



      The University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) has come with a cost effective and permanent solution on road traffic jams in Dar es Salaam.

      UCLAS Assistant Research Fellow, Hussein Rajab, told The Guardian that should the government take into account the said solution, traffic congestion in the city of Dar es Salaam would become history.

      He said: ``Most traffic congestions arise at the junctions. The only answer to traffic jams is to improve the intersections where vehicles converge. Improvement here means construction of either flyovers (overpass) or underpass lanes.

      ``Overpass or underpass is a permanent solution as vehicles will not meet at the junctions as the situation appears at the moment,`` he said.

      He said the lanes would facilitate movement of vehicles heading to final destinations without meeting at the junctions (where there are traffic lights).

      Rajab said the solution would be suitable for small vehicles rather than daladalas due to stoppages and heavy vehicles, as 80 percent of traffic to city centre is made up of small vehicles.

      He said that overpasses could be applicable at the junctions of Mwenge, Morocco, Ubungo, Tabata, Shekilango to mention a few, while the underpasses could be built at the slopes of Kawe Road, St Peter road junction etc.

      ``Construction of an overpass or underpass is a one time investment,`` he said.

      Rajab said expansion or adding more roads would not reduce traffic jams but would instead facilitate vehicles to meet at the junctions.

      He said that traveling on congested roads resulted in increased fuel consumption.

      He mentioned effects of traffic congestion as time wastage, environmental pollution, tear and wear and stress. He further mentioned other effects as difficulties in case of emergencies, noise as motorists try to divert to other quiet areas such as hospitals and schools.

      Dar es Salaam has been experiencing traffic jams, which normally occur during peak hours in the mornings and evenings, as most traffic is heading to and from the city centre due to most offices being located there.

      SOURCE: Guardian

      Hali ilivyo kwa Dar as at March, 2010:


      Ali Hassan Mwinyi road


      Morogoro road near Magomeni Mapipa


      Old Bagamoyo road near Shopper's plaza


    2. RukaaJuu Final

    3. #81
      WomanOfSubstance's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1682
      Likes Received
      707
      Likes Given
      721

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Ng'waninyami
      Njia tatu mkimaanisha three lanes?
      hizi njia tatu zilikuwa zinachanganya sana hata kama zinasaidia kupunguza congestion wakati wa peak hours!
      Kwamba zimeondolewa is news to me.Na kwanini zitumike kwa mawaziri na wengine walioteuliwa? kwani watu wengine hawana haraka? Huwa inaniudhi sana niko kwenye traffic jam halafu inakuja gari ya serikali au jeshi inavunja sheria za barabara na kupita kama vile wengine hamna haraka.
      Educating the mind without educating the heart is no education at all.... Aristotle



    4. #82
      Augustine Moshi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2006
      Posts : 1,794
      Rep Power : 1841
      Likes Received
      159
      Likes Given
      56

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Sheria za namna ya kutumia barabara zinapashwa kuzingatia viwango vya kimataifa. Dereva anayeendesha gari Dar anaweza akawa ametokea Kenya, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Afrika ya Kusini au Botswana, siku hiyo hiyo. Sasa akikumbana na barabara ya lane mbili ambayo inatumika kama njia tatu atawezaje kujua kinachoendelea?

      Mawaziri wetu ni kama wale viongozi wa “Shamba La Wanyama” Wamejaa tabia ya kujipendelea wao. Waonapo kujazana magari barabarani, akili yao inawatuma kufikiria namna ya kujikwamua wao, sio namna ya kukwamua taifa zima.

      Yako matatizo ya msingi kwenye sekta zote. Mama wa matatizo hayo ya msingi ni tatizo sugu la Tanzania, ambalo ni uongozi mbaya.

      We must stop concentrating on the consequences of our problems and look instead at their root causes. It is the incompetent and corrupt CCM government. As long as Tanzanians do not consign CCM to the opposition benches, they will continue to suffer from all kinds of problems.

    5. #83
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,858
      Rep Power : 2332
      Likes Received
      2868
      Likes Given
      5532

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By bm21
      ..............ha ha haaaaaaaaaaa, mkuu hii imetulia. Anyway lakini mkubwa kazi ya ujenzi wa barabara kuanzia planning (feasibility stage) sikuzote inafanywa na consultants (mostly international consultants). Hawa wanajua how traffic lights should be designed, security lamps and installation of CCTV cameras along the road. Binafsi nadhani Tanzania swala la kuwa na CCTV barabarani, taa za barabarani, na traffic light zakisasa kwa ajili ya kuongozea magari pamoja na watembea kwa miguu si kipaumbele. Nasema hivi kwakuwa hakuna design inayofanyika ikazingatia mambo haya.
      Mkuu bm21,
      Hiyo kazi kwa barabara za Tanzania hata mie naifanya. Kuweka hizo timing za taa za barabarani (programs) mahesabu yake ninaweza kabisa kuyafanya na hapo nawapatia jamaa DIT na wao wanatengeneza program ya computer ambayo itakuwa inafanya kazi kutokana na mahesabu niliyoyafanya. Ugumu upo kama una round about, trams na line mbili au zaidi zakutana hapo, una watembea kwa miguu na magari kama kawaida, hapo ndipo unaweza kucheza gwaride. Hii kusema eti waje jamaa kutoka nje ni wizi tu. Tena hiyo kazi naweza kuifanya pamoja na mimi kuwa Sikonge. Inatosha kupata idadi ya magari yanayopita hapo siku za kawaida za kazi na masaa ya pick hours. Siku za kawaida ni kama Jumanne hadi Alhamisi. Ukipata idadi unaangalia tendecy ya magari kuongezeka...... ila hii wakati mwingine huwa haisadii na hapo inabidi kuanza kujenga konokono.

      Dar inabidi kuanza kufikiri kujenga walau Trams. Na hapo mpango uanze wa ukitaka kuingia mjini na gari basi LIPA. Vingenevyo sehemu kama Mwenge/Ubungo/Temeke na Buguruni inabidi kujenga Parking ya magari (park and drive). Mtu aje na gari, na kuliacha na mjini anaingia na Trams. Miji mikubwa yote waafanya hivyo kwani huwezi kushindana na raia katika kununua magari. Wao wananunua na wewe huna uwezo wa kupanua barabara/ labda mwisho watu wahame mjini na kuwe barabara tu kama ambavyo nasikia Kansas City.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    6. #84
      Shadow's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2008
      Posts : 2,003
      Rep Power : 962
      Likes Received
      148
      Likes Given
      102

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Unajuwa viongozi wetu wamezoea kazi za zimamoto ....kuumiza vichwa na kuthamini michango ya wataala mmmmmmh!

    7. #85
      bm21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Britain
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      2
      Likes Given
      15

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Sikonge
      Mkuu bm21,
      Hiyo kazi kwa barabara za Tanzania hata mie naifanya. Kuweka hizo timing za taa za barabarani (programs) mahesabu yake ninaweza kabisa kuyafanya na hapo nawapatia jamaa DIT na wao wanatengeneza program ya computer ambayo itakuwa inafanya kazi kutokana na mahesabu niliyoyafanya. Ugumu upo kama una round about, trams na line mbili au zaidi zakutana hapo, una watembea kwa miguu na magari kama kawaida, hapo ndipo unaweza kucheza gwaride. Hii kusema eti waje jamaa kutoka nje ni wizi tu. Tena hiyo kazi naweza kuifanya pamoja na mimi kuwa Sikonge. Inatosha kupata idadi ya magari yanayopita hapo siku za kawaida za kazi na masaa ya pick hours. Siku za kawaida ni kama Jumanne hadi Alhamisi. Ukipata idadi unaangalia tendecy ya magari kuongezeka...... ila hii wakati mwingine huwa haisadii na hapo inabidi kuanza kujenga konokono.

      Dar inabidi kuanza kufikiri kujenga walau Trams. Na hapo mpango uanze wa ukitaka kuingia mjini na gari basi LIPA. Vingenevyo sehemu kama Mwenge/Ubungo/Temeke na Buguruni inabidi kujenga Parking ya magari (park and drive). Mtu aje na gari, na kuliacha na mjini anaingia na Trams. Miji mikubwa yote waafanya hivyo kwani huwezi kushindana na raia katika kununua magari. Wao wananunua na wewe huna uwezo wa kupanua barabara/ labda mwisho watu wahame mjini na kuwe barabara tu kama ambavyo nasikia Kansas City.
      Nafurahi kusikia kazi ya DIT na kutokana na mahesabu yako safi sana mkuu. Umezungumzia ugumu pale ambapo njia inatumika kwa magari tram na pedestrians. wenzetu huku naona wanadesign Pelican (sehem ya kuvukia pedestrians) na sioni kama kunatofauti kubwa ya traffic design. Sema challenge hapo inaweza kuwa pale unapotaka kuipa priority Tram ili kuencourage watu watumie trams hiyo yaweza kuwa issue kidogo. Sheffield - UK traffic light zinatoa priority kwa tram so kama kuna tram inaapproach junction inapewa priority kupita then magari yanaruhusiwa. Ukweli sikuelewa ile design labda we mtaalam unaweza tembelea ukajifunza.

      Kuhusu kuanzisha tram kwa Dar nakuhakikishia haiwezekani. Kwa lugha nyingine huo mradi hauwezi kuwa feasible. Kwanza umeme inao tumia tram ni mkubwa sana bongo umeme kwa ajiri ya matumizi ya nyumbani tu hautoshi. Pili gharama in terms of capital cost and operation cost ni kubwa sana. Nadhani point yako ya park and ride ni muhimu sana kwa mazingira ya sasa ikiambatana na kujenga guided bus ways.

    8. Miaka 50

    9. #86
      Koba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Pasadena California
      Posts : 4,012
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      177
      Likes Given
      105

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Dawa ni kujenga barabara mpya tuu na kutanua zilizopo,hayo mengine ya kuongeza traffic lights,drivers education or police ni zimamoto tuu na haitasaidia kitu maana ukweli unabaki palepale barabara zilizopo hazitoshi kabisa.
      "Freedom is incomplete if it is exercised in poverty."-Harry Schwaz

    10. #87
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,858
      Rep Power : 2332
      Likes Received
      2868
      Likes Given
      5532

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Koba
      Dawa ni kujenga barabara mpya tuu na kutanua zilizopo,hayo mengine ya kuongeza traffic lights,drivers education or police ni zimamoto tuu na haitasaidia kitu maana ukweli unabaki palepale barabara zilizopo hazitoshi kabisa.

      Koba,

      Hiyo siyo dawa. Utapanua hadi mji mzima uwe ni barabara tu. Ingelikuwa hivyo basi London, Paris, LA, NY, Peking nk wangelifanya hivyo. Unakumbuka wakati wa Olympic China? Walitangaza kuwa siku moja yanatembea magari yanaoishia namba zinazogawanyika kwa mbili na next day yasiyogwanyika. Ila badi haikusaidia. Walikuwa na pesa ya kujenga ila hawakufanya hivyo. Siyo rahisi na hapo ndipo unapokuja ugumu wa somo la Traffic Engineering.

      Tatizo kubwa la Dar ni kuwa walipojenga Mandela Roads, hawakuweka Rings nyingine kuzunguka mji wa Dar. Tuseme maeneo ya Tabata ingelijengwa barabara kubwa kama highway na iwe imewekewa vizuizi watu wasiingie. Hii itoke baharini hadi baharini kuzunguka mji wa Dar. Nashangaa hata Dodoma nikiingalia kwenye google earth huzioni hizo ring. Too sad na hii inaleta sura kuwa mji huo pia siku moja yakiwekwa makao makuu, kutazuka mzinga wa foleni.
      Madriver wasioelewa njia usababisha foleni kwani kila sekunde huwa imepigiwa mahesabu. Ndiyo maana alama za barabarani kama ni nyingi na zinaonekana wazi basi hufanya drivers wasipotee na kuanza kubabaika na hapo kuanza kuongeza msululu wa barabarani usio na mpango. Koba hii nimeshasema ni field ya watu na ni ngumu sana na inahitaji uzoefu. Ndiyo maana hata mie nasema naweza kufanya vitu elementary kwa miji ya Tanzania ila kwenye miji mikubwa wala siwezi kunusa pua yangu.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    11. #88
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,858
      Rep Power : 2332
      Likes Received
      2868
      Likes Given
      5532

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By bm21
      Sema challenge hapo inaweza kuwa pale unapotaka kuipa priority Tram ili kuencourage watu watumie trams hiyo yaweza kuwa issue kidogo. Sheffield - UK traffic light zinatoa priority kwa tram so kama kuna tram inaapproach junction inapewa priority kupita then magari yanaruhusiwa. Ukweli sikuelewa ile design labda we mtaalam unaweza tembelea ukajifunza.

      Kuhusu kuanzisha tram kwa Dar nakuhakikishia haiwezekani.

      bm21,
      Kuhusu Trams nimeandika kuwa inabidi tuanze kufikiria. Nategemea kuwa swala la umeme siku za karibuni laweza kuwa solved. Nategemea kuwa kuna kiongozi Tanzania atashinda kwa gia ya kuahidi na kuleta umeme wa uhakika Tanzania. Hivyo hilo wakati tukifikiri, tuanze kufanya utafiti na baadaye kuja kujenga, basi kitapita kipindi si kifupi.

      Juu ya hizo taa zinatoa prioritet kwa Trams ni kuwa kuna detectors zinazosoma kuwa kuna trams imesogea hapo karibu. Huwa zipo hata kwenye njia za kawaida ku-control magari ila zaidi mabasi. Wakati mwingine wanaweka njia za mabasi peke yake. Hii huwa inafanywa kwa sababu wanataka watu waache magari yao pembezoni mwa mji na kuingia mjini kwa public transport kama ambayo wanataka kujenga Dar yaani Rapid buses. Ili kuleta maana, usafiri huo inabidi uwe wa haraka zaidi kuliko wa kawaida.
      Hivyo Trams au bus ni kuwa detectors zikisoma zinapeleka signals kwenye computer na hiyo inasimamisha programs zote za kawaida na kuanza kushughulikia trams au buses tu. Zikipita, basi hurudia tena kufanya kazi kwa kuruhusu magari na watembea kwa miguu. Kuna aina nyingi sana za taa. Kuna nyingine kama zile za watembea kwa miguu, inabidi ubonyeze ndiyo taa iwake vinginevyo utasubiri siku nzima. Ndiyo maana nasema hata mie hizo too complicated siwezi zigusa maana inabidi wazoefu na team work na ikibidi kwa sasa wanafanya simulations za magari ili kujua msongamano gani utatokea mara taa zikianza kufanya kazi.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    12. #89
      Future-Tanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 331
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Sikonge
      Koba,

      Hiyo siyo dawa. Utapanua hadi mji mzima uwe ni barabara tu. Ingelikuwa hivyo basi London, Paris, LA, NY, Peking nk wangelifanya hivyo. Unakumbuka wakati wa Olympic China? Walitangaza kuwa siku moja yanatembea magari yanaoishia namba zinazogawanyika kwa mbili na next day yasiyogwanyika. Ila badi haikusaidia. Walikuwa na pesa ya kujenga ila hawakufanya hivyo. Siyo rahisi na hapo ndipo unapokuja ugumu wa somo la Traffic Engineering.

      Tatizo kubwa la Dar ni kuwa walipojenga Mandela Roads, hawakuweka Rings nyingine kuzunguka mji wa Dar. Tuseme maeneo ya Tabata ingelijengwa barabara kubwa kama highway na iwe imewekewa vizuizi watu wasiingie. Hii itoke baharini hadi baharini kuzunguka mji wa Dar. Nashangaa hata Dodoma nikiingalia kwenye google earth huzioni hizo ring. Too sad na hii inaleta sura kuwa mji huo pia siku moja yakiwekwa makao makuu, kutazuka mzinga wa foleni.
      Madriver wasioelewa njia usababisha foleni kwani kila sekunde huwa imepigiwa mahesabu. Ndiyo maana alama za barabarani kama ni nyingi na zinaonekana wazi basi hufanya drivers wasipotee na kuanza kubabaika na hapo kuanza kuongeza msululu wa barabarani usio na mpango. Koba hii nimeshasema ni field ya watu na ni ngumu sana na inahitaji uzoefu. Ndiyo maana hata mie nasema naweza kufanya vitu elementary kwa miji ya Tanzania ila kwenye miji mikubwa wala siwezi kunusa pua yangu.
      Mkuu nakubaliana na wewe kwenye kitu kimoja which is land is limited na barabara zilizopo dar-es-salaam sasa hivi sio za kuongezwa. This means even Ring road isn’t solution to reduce congestion in the city.

      I do work as a consultant in this sector in abroad and one thing I can say is Tanzania government doesn’t know what it is doing with respect to this field ( Please get me right, I am not trying kudharau my country ila this is true). Also don’t get me wrong, traffic and transport planning isn’t an easy subject as most people think kwamba ni kujenga barabara tuu and kufanya magari yapite, ni mambo mengi you need to consider and most the times its hard to get right as there is externalities that you cant control such as travel behavior influences.

      Issues of land use, car ownership, travel behavior, other type of available infrastructure and most important strategic planning of transport and other associated sectors such as environment, land-use and economy are also important to understand and link together. Also remember that traffic/transport activities have huge diverse impacts than any other human socio-economic activity (well if you forget for a second about energy issues).

      For my opinion, congestion in our country will only improve once our central government commits to adopt sustainable development principles and commit to form strategic planning policies. One of the things that Tanzania has to think is a issue of Promoting Multi model transport system and stop the culture of predict and provide.

    13. #90
      Future-Tanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 331
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Sikonge
      bm21,
      Kuhusu Trams nimeandika kuwa inabidi tuanze kufikiria. Nategemea kuwa swala la umeme siku za karibuni laweza kuwa solved. Nategemea kuwa kuna kiongozi Tanzania atashinda kwa gia ya kuahidi na kuleta umeme wa uhakika Tanzania. Hivyo hilo wakati tukifikiri, tuanze kufanya utafiti na baadaye kuja kujenga, basi kitapita kipindi si kifupi.

      Juu ya hizo taa zinatoa prioritet kwa Trams ni kuwa kuna detectors zinazosoma kuwa kuna trams imesogea hapo karibu. Huwa zipo hata kwenye njia za kawaida ku-control magari ila zaidi mabasi. Wakati mwingine wanaweka njia za mabasi peke yake. Hii huwa inafanywa kwa sababu wanataka watu waache magari yao pembezoni mwa mji na kuingia mjini kwa public transport kama ambayo wanataka kujenga Dar yaani Rapid buses. Ili kuleta maana, usafiri huo inabidi uwe wa haraka zaidi kuliko wa kawaida.
      Hivyo Trams au bus ni kuwa detectors zikisoma zinapeleka signals kwenye computer na hiyo inasimamisha programs zote za kawaida na kuanza kushughulikia trams au buses tu. Zikipita, basi hurudia tena kufanya kazi kwa kuruhusu magari na watembea kwa miguu. Kuna aina nyingi sana za taa. Kuna nyingine kama zile za watembea kwa miguu, inabidi ubonyeze ndiyo taa iwake vinginevyo utasubiri siku nzima. Ndiyo maana nasema hata mie hizo too complicated siwezi zigusa maana inabidi wazoefu na team work na ikibidi kwa sasa wanafanya simulations za magari ili kujua msongamano gani utatokea mara taa zikianza kufanya kazi.
      Sikonge,

      Simulation modelling isnt only to predict what will happen when traffic lights zikianza kufanya kazi, bali pia inasaidia kujua junction interaction as well as validate ITS.

      In addition kuna kitu kinaitwa micro-simulation modelling, hii inasaidia multi-model na pia inaweza ikasaidia kustudy impacts of developments, and impacts of proposed strategic plans and even public transport scheme like bus priorities and pedestrian safety etc.

      I am not sure kama Tanzania inatumia ii technology maana can save alot of money wasted kujenga vitu ambazo havisaidii kitu.. pia siko sure kama we are really good in obtaining traffic data and keeping records

    14. #91
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,858
      Rep Power : 2332
      Likes Received
      2868
      Likes Given
      5532

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By future-Tanzania
      Mkuu nakubaliana na wewe kwenye kitu kimoja which is land is limited na barabara zilizopo dar-es-salaam sasa hivi sio za kuongezwa. This means even Ring road isn’t solution to reduce congestion in the city.

      I do work as a consultant in this sector in abroad and one thing I can say is Tanzania government doesn’t know what it is doing with respect to this field ( Please get me right, I am not trying kudharau my country ila this is true). Also don’t get me wrong, traffic and transport planning isn’t an easy subject as most people think kwamba ni kujenga barabara tuu and kufanya magari yapite, ni mambo mengi you need to consider and most the times its hard to get right as there is externalities that you cant control such as travel behavior influences.

      Issues of land use, car ownership, travel behavior, other type of available infrastructure and most important strategic planning of transport and other associated sectors such as environment, land-use and economy are also important to understand and link together. Also remember that traffic/transport activities have huge diverse impacts than any other human socio-economic activity (well if you forget for a second about energy issues).

      For my opinion, congestion in our country will only improve once our central government commits to adopt sustainable development principles and commit to form strategic planning policies. One of the things that Tanzania has to think is a issue of Promoting Multi model transport system and stop the culture of predict and provide.
      future-Tanzania,

      Ulichosema ni kweli na nilishaandika hapa mara kibao kuwa traffic engineering ni kitu kigumu sana na kinahitaji uwe na kipaji na uzoefu. Tatizo kubwa la hii kitu ni kuwa ukitaka kupanua barabara, inabidi kuvunja nyumba. Sasa tuseme uvunje nyumba zote za mbele kutoka Buguruni hadi clock tower Poster ili kupisha ujenzi wa barabara yenye lanes 4. Hiyo fidia utakayotakiwa kulipa itakufanya uchanganyikiwe. Wakati mwingine inakuwa hata heri uanze kufikiri kujenga Metro kuliko kulipa fidia.

      Watu wengi wakiulizwa wakati unasoma, unataka kudesign barabara mjini au nje ya mji, jibu rahisi ni nje ya mji. Sababu kubwa ni kukimbia mahesabu ya programs za traffic light, eneo la kujidai ni dogo sana, mabomba ya maji, gas, simu, umeme, nk yanayopita chini huna ni kikwazo kingine kikubwa sana. Kuna cable nyngine inabidi uwasubiri hadi waje usalama wa taifa, sasa watakuja lini, hiyo ni juu yao. Kwa kweli hii kitu inaumiza kichwa.
      Inabidi kuanza kutoa shule kwa madereva wa Tanzania upya ili waweze kuendesha kwa usahihi zaidi na hivyo kupunguza ajali na msongamano usio na maana unaosababishwa na ugeni wa alama za barabarani na kutokuwa wamejiandaa na msongamano mkubwa wa barabarani.

      Juu ya RINGS, hizi huwa ni muhimu sana. Mfano mtu anatoka Airport na anakwenda Mbezi beach (Tegeta), inabidi aje hadi Buguruni, Mwenge na ndiyo aanze kwenda moja kwa moja Tegeta. Kama kungelijengwa ring kama ya Mandela Roads, basi anaingie kwenye barabara yake na kuacha kuleta foleni zisitakiwa Buguruni. Hii ingeliweza hadi kuunganisha Kigamboni au Dege Beach. Ingia kwenye Google Earth kama hujawahi kufika Paris na utaziona ingawa wenyeji wa pale wanasema hazijasaidia kitu. Ila zisingelikuwepo......
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    15. #92
      Future-Tanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 331
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Sikonge
      future-Tanzania,

      Ulichosema ni kweli na nilishaandika hapa mara kibao kuwa traffic engineering ni kitu kigumu sana na kinahitaji uwe na kipaji na uzoefu. Tatizo kubwa la hii kitu ni kuwa ukitaka kupanua barabara, inabidi kuvunja nyumba. Sasa tuseme uvunje nyumba zote za mbele kutoka Buguruni hadi clock tower Poster ili kupisha ujenzi wa barabara yenye lanes 4. Hiyo fidia utakayotakiwa kulipa itakufanya uchanganyikiwe. Wakati mwingine inakuwa hata heri uanze kufikiri kujenga Metro kuliko kulipa fidia.

      Watu wengi wakiulizwa wakati unasoma, unataka kudesign barabara mjini au nje ya mji, jibu rahisi ni nje ya mji. Sababu kubwa ni kukimbia mahesabu ya programs za traffic light, eneo la kujidai ni dogo sana, mabomba ya maji, gas, simu, umeme, nk yanayopita chini huna ni kikwazo kingine kikubwa sana. Kuna cable nyngine inabidi uwasubiri hadi waje usalama wa taifa, sasa watakuja lini, hiyo ni juu yao. Kwa kweli hii kitu inaumiza kichwa.
      Inabidi kuanza kutoa shule kwa madereva wa Tanzania upya ili waweze kuendesha kwa usahihi zaidi na hivyo kupunguza ajali na msongamano usio na maana unaosababishwa na ugeni wa alama za barabarani na kutokuwa wamejiandaa na msongamano mkubwa wa barabarani.

      Juu ya RINGS, hizi huwa ni muhimu sana. Mfano mtu anatoka Airport na anakwenda Mbezi beach (Tegeta), inabidi aje hadi Buguruni, Mwenge na ndiyo aanze kwenda moja kwa moja Tegeta. Kama kungelijengwa ring kama ya Mandela Roads, basi anaingie kwenye barabara yake na kuacha kuleta foleni zisitakiwa Buguruni. Hii ingeliweza hadi kuunganisha Kigamboni au Dege Beach. Ingia kwenye Google Earth kama hujawahi kufika Paris na utaziona ingawa wenyeji wa pale wanasema hazijasaidia kitu. Ila zisingelikuwepo......
      Sikonge,

      Hata kama barabara zikipanuliwa haitasaidia kitu kama hamna inititives za kusaidia kupunguza car ownership and to promote other means of transport like railway as well as public transport. Although nipo na wewe kusema kwamba barabara zetu zinaitaji kuwa na connections to reduce time to travel from one place to another and yes we need orbital motorways around cities in Tanzania especial to reduce amount of HGV around residential areas.

      Ila before hatujaanza kupromote these motorways, maybe it is important to look at initiatives that will help the country to have good public transport and get them out of the cars (well this is what we can do to reduce impacts of transport in the first place).

      Government can save money kama wakianza kuangalia jinsi ya kumake best use of existing infrastructures kama vile railway network to introduce high speed trains which will save dar-es-salaam city (high speed trains comes with different version don’t have to be electric only). Dar-es-Salaam City is well covered with railway network both in the eastnorth and southwest. So all is needed is to modified then and add train stations so that can be used as urban trains. ( I understand this might seem to be expensive option, and it is even impossible to avoid sunk cost, however it has a lot of benefit in longer term such as it can help in developing other towns as well as socio-economic developments.)

      Tanzania should learn from developed countries were once upon time, increase road capacity was seen to be only solution to reduce congestion and where are they now? Struggling for their mistake and they use multibillions dollars/Euro and Pounds to correct!

    16. #93
      Ogah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 5,670
      Rep Power : 21816
      Likes Received
      736
      Likes Given
      3195

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By future-Tanzania
      Mkuu nakubaliana na wewe kwenye kitu kimoja which is land is limited na barabara zilizopo dar-es-salaam sasa hivi sio za kuongezwa. This means even Ring road isn’t solution to reduce congestion in the city.

      I do work as a consultant in this sector in abroad and one thing I can say is Tanzania government doesn’t know what it is doing with respect to this field ( Please get me right, I am not trying kudharau my country ila this is true). Also don’t get me wrong, traffic and transport planning isn’t an easy subject as most people think kwamba ni kujenga barabara tuu and kufanya magari yapite, ni mambo mengi you need to consider and most the times its hard to get right as there is externalities that you cant control such as travel behavior influences.

      Issues of land use, car ownership, travel behavior, other type of available infrastructure and most important strategic planning of transport and other associated sectors such as environment, land-use and economy are also important to understand and link together. Also remember that traffic/transport activities have huge diverse impacts than any other human socio-economic activity (well if you forget for a second about energy issues).

      For my opinion, congestion in our country will only improve once our central government commits to adopt sustainable development principles and commit to form strategic planning policies. One of the things that Tanzania has to think is a issue of Promoting Multi model transport system and stop the culture of predict and provide.
      ........Shule nzuri kabisa kutoka kwa Wakuu bm21, Sikonge and future-Tanzania.........wakuu sukrani sana.........watu wengi hawajui kuwa traffic ni specialised field...........

      Inabidi wazee nyie tuwatafutie road networks za mikoa kadhaa ili tuwasaidie jamaa zetu wa hiyo mikoa with a different opinion........

      Nakubaliana na wewe future-Tanzania kuwa tunahitaji a committed Govt kuishughulikia hii sector ya Transport........hi tabia ya CRISIS MANAGEMENT sio nzuri kwa kweli........halafu angalau basi tungekuwa tunazi-manage hizo crisis......lakini wapi.......

    17. #94
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,858
      Rep Power : 2332
      Likes Received
      2868
      Likes Given
      5532

      Default Re: Njia Tatu Dar: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      F-T,
      Hapo tupo wote kabisa mkuu. Ila huwezi kuingiza hizi njia za chuma pekee bila ya kuweka baraara mbili tatu. Hizi njia za chuma zina faida kubwa sanasana ila matatizo yake makubwa ni makelele. Unaweza hata kujenga barabara ya chuma yenye kuruhusu kupitisha magari juu kama mabasi, gari za wagonjwa na hao Mawaziri wetu wanaojipenda wao zaidi kuliko wananchi. Njia za chuma si tu kuleta makelele ila inabidi kuziba kabisa barabara maana hili halina mchezo. Pia mitetemeko inayotokea wakati linapita huwa ni tatizo jingine.
      Juu ya umeme ni kweli kabisa haihitaji kutumia trams/train za umeme tu. Miaka ya 90 niliona bus likitembea juu ya reli. Wao Waswidi wanasema bus ila ni kama Trams na mabehewa kama menne hivi. Si tofauti sana na TGV la Wafaransa ila sema TGV ni refu sana na linatumia umeme. Hili bus lilikuwa linaendeshwa kwa kutumia mafuta na ukiwa nje unaona na moshi unavyotoka. Hapo naona hamna ubishi wa kusubiri umeme wa Tanzania utakaokuja siku RA akitaka.

      Tatizo ya njia za chuma pia ni aghali sana. Mabehewa na vichwa vya train ni aghali sana na hivi inabidi serikali yetu ishughulikie. Ila uzuri wa barabara ni kuwa zitaenda hadi kwenye vichochoro na magari ni mali za watu wenyewe. Pia siyo siri, kuendesha gari kuna raha yake na hapo ndipo wanasema kuwa kama Civil Engineer, inabidi ujue kubalance kati ya kutunza mazingira, uchumi, ..... na kuwapa watu raha ya kuishi kwa kuwa na gari. Maana kama wapenda mziki, siyo siri kuwa kuna raha kama unakwenda na ndani ya gari lako King Kong anatesa kwenye ma-sub-woofer yako, na kama siye wapenzi wa Rumba, basi ni kasheshe tupu. Mhhhh, zile drums za Marehemu Lucky Dube bwana, zinafurahisha sana kwenye spika nzuri.

      Tanzania nasikia ndiyo kwanza wameanza kulipa kipaumbele hili swala. Kutokana na Morani75? ni kuwa sasa hivi kuna vijana wako shule kwa ajili ya mambo haya. I hope wakija watawasikiliza maoni yao maana vinginevyo kama wanasiasa na wandishi wa habari watashindwa kuelewana nao, basi itakuwa tumepoteza muda na pesa tu. Mungu ibariki Tanzania.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    18. #95
      Ogah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 5,670
      Rep Power : 21816
      Likes Received
      736
      Likes Given
      3195

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By future-Tanzania
      ..............Tanzania should learn from developed countries were once upon time, increase road capacity was seen to be only solution to reduce congestion and where are they now? Struggling for their mistake and they use multibillions dollars/Euro and Pounds to correct!
      very true.........future-Tanzania.......kuna mahala nilisema.....kuongeza miundombinu (barabara) solve only 30-40% of transport pbs........hiyo 60-70% inakuwa solved na most of the issues ulizozisema hapo awali.......

      .....nina imani wahusika wanakusoma........

    19. #96
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,858
      Rep Power : 2332
      Likes Received
      2868
      Likes Given
      5532

      Default Re: Njia Tatu Dar Es Salaam: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Ogah
      ........Shule nzuri kabisa kutoka kwa Wakuu bm21, Sikonge and future-Tanzania.........wakuu sukrani sana.........watu wengi hawajui kuwa traffic ni specialised field...........

      Inabidi wazee nyie tuwatafutie road networks za mikoa kadhaa ili tuwasaidie jamaa zetu wa hiyo mikoa with a different opinion........

      Nakubaliana na wewe future-Tanzania kuwa tunahitaji a committed Govt kuishughulikia hii sector ya Transport........hi tabia ya CRISIS MANAGEMENT sio nzuri kwa kweli........halafu angalau basi tungekuwa tunazi-manage hizo crisis......lakini wapi.......

      Ogah,

      Mara nyingi vijana wanaosoma nje, huwa kuna ka uhuru ka kuandika kazi yako ya mwisho kwenye field unayoitaka. Kama serikali yetu ingelikuwa makini basi hizo data muhimu zingelikuwa zikiwekwa na kijana anakuja na kazi tuseme ya Masters katika traffic Eng. na anataka kui-optimise kipande cha barabara kutka hapa Kindondoni kwenye mataa hadi Mwenge. Wanampa ramani, mipaka na masharti yao yote na kijana anafanya kazi yake yamwisho bila kujali yuko Tanzania au nje ya Tanzania. Faida yake ni kuwa akimaliza hiyo kazi, atakuwa katumia mawazo ya hao mapromotor wake na ya kwake na kuwa kafanya kazi kwa nchi yake ambayo ingelibidi serikali iajiri watu wengine.

      Kwa kutofuatilia hili, unashangaa wanafanya kazi kwa nchi wanazosomea na kuwanufaisha hao jamaa ingawa kijana anasomeshwa kwa hela ya Tanzania.
      Hata hivyo Mkuu Ogah, uzuri mmoja ni kuwa tumeshagundua makosa yetu na tumeanza kuliongelea hili na si kama zamani ambapo wala hatujui kama lipo. Taratibu tutafika tu. F-T asante kwa shule yako. Ngoja niwahi sokoni jamani, tutaonana jioni.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    20. #97
      Future-Tanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 331
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Njia Tatu Dar: Kupunguza foleni au Kumtoa Kafara mwananchi?

      Quote By Sikonge
      F-T,
      Hapo tupo wote kabisa mkuu. Ila huwezi kuingiza hizi njia za chuma pekee bila ya kuweka baraara mbili tatu. Hizi njia za chuma zina faida kubwa sanasana ila matatizo yake makubwa ni makelele. Unaweza hata kujenga barabara ya chuma yenye kuruhusu kupitisha magari juu kama mabasi, gari za wagonjwa na hao Mawaziri wetu wanaojipenda wao zaidi kuliko wananchi. Njia za chuma si tu kuleta makelele ila inabidi kuziba kabisa barabara maana hili halina mchezo. Pia mitetemeko inayotokea wakati linapita huwa ni tatizo jingine.
      Juu ya umeme ni kweli kabisa haihitaji kutumia trams/train za umeme tu. Miaka ya 90 niliona bus likitembea juu ya reli. Wao Waswidi wanasema bus ila ni kama Trams na mabehewa kama menne hivi. Si tofauti sana na TGV la Wafaransa ila sema TGV ni refu sana na linatumia umeme. Hili bus lilikuwa linaendeshwa kwa kutumia mafuta na ukiwa nje unaona na moshi unavyotoka. Hapo naona hamna ubishi wa kusubiri umeme wa Tanzania utakaokuja siku RA akitaka.

      Tatizo ya njia za chuma pia ni aghali sana. Mabehewa na vichwa vya train ni aghali sana na hivi inabidi serikali yetu ishughulikie. Ila uzuri wa barabara ni kuwa zitaenda hadi kwenye vichochoro na magari ni mali za watu wenyewe. Pia siyo siri, kuendesha gari kuna raha yake na hapo ndipo wanasema kuwa kama Civil Engineer, inabidi ujue kubalance kati ya kutunza mazingira, uchumi, ..... na kuwapa watu raha ya kuishi kwa kuwa na gari. Maana kama wapenda mziki, siyo siri kuwa kuna raha kama unakwenda na ndani ya gari lako King Kong anatesa kwenye ma-sub-woofer yako, na kama siye wapenzi wa Rumba, basi ni kasheshe tupu. Mhhhh, zile drums za Marehemu Lucky Dube bwana, zinafurahisha sana kwenye spika nzuri.

      Tanzania nasikia ndiyo kwanza wameanza kulipa kipaumbele hili swala. Kutokana na Morani75? ni kuwa sasa hivi kuna vijana wako shule kwa ajili ya mambo haya. I hope wakija watawasikiliza maoni yao maana vinginevyo kama wanasiasa na wandishi wa habari watashindwa kuelewana nao, basi itakuwa tumepoteza muda na pesa tu. Mungu ibariki Tanzania.

      True true gari linaraha yake, na ndipo hapa politicians wanapotugeukaga hata huku wakati wa campain za uchaguzi maana wananchi hawataki mambo ya congestion charges etc.

      Ila at the same time, watanzania inabidi tuanze kuanderstand the need to balance economic developments na starehe zetu especial people who classify themself kama rich and not working classs. kwenye developed country utakuta mawaziri wanatumia public transport bila maringo ila sasa Tz ata company director anajiona ni mkuu wa nchi.

      Coming back to this issue ya congestion.. research zinaonyesha kwamba ukiwapa watu good public tranzport and other alternatives to road transport wengi hawamind kushift mode of transport. Ila kama sasa TZ hamna option than ur own car utafanya nini? Pia kumbuka railway transport haina issues ya congestion (though it can also happen where all trains terminate ila this has no direct impacts to the economy or anything like that)

      Pia nimengundua kitu kimoja Tanzania hamna Transport assessment or any kind of PROPER prestudy. I even doubt if we are using any modelling tools to study what we want to do before hand. Ndio maana ata MR EL aliamka asubui akasema njia tatu sijui alifikiri atapata kura! lol

    21. #98
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,234
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      376
      Likes Given
      51

      Lightbulb Adha ya foleni Dar kupungua...

      Ule usemi wa wahenga usemao SUBIRA YAVUTA HERI umedhihirika kwa wakazi wa Dar,baada ya Kampuni ya ujenzi ya MAC Construction kuanza mchakato wa kutathimini idadi ya magari yanayotumia barabara ya Ally Hassan Mwinyi na ile ya New Bagamoyo kwa kipindi cha asubuhi hadi jioni kuanzia jana tarehe 14/04/2009 hadi kesho 16/04/2009.Kwa wakazi wa Dar wanaotumia barabara hizo mbili wameshuhudia kwenye makutano ya Sam Nujoma Mwenge,Shekilango Bamaga,Kajenge Sayansi na Kawawa Morocco kuna vijana waliovaa visibau vinavyong'aa (Reflectors). Akihojiwa na Bonge wa Power Breakfast kiongozi wao alisema kuwa wapo katika mchakato wa kuongeza barabara hiyo kutoka Morocco hadi Tegeta kuwa ya njia nne. Hakika hii itakuwa faraja kwa wakazi wa Dar ambao wamekuwa wakipoteza muda mwingi barabarani.

    22. #99
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,818
      Rep Power : 1900
      Likes Received
      1162
      Likes Given
      977

      Default Re: Adha ya foleni Dar kupungua...

      Habari Nzuri - I only have so many doubts na hii miradi ya Barabara! That could be only "the road to 2010"
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    23. #100
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1927
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Re: Adha ya foleni Dar kupungua...

      Bado idea za kujenga barabara ardhini bado zipo tu? najua watawavunjia nyumba watu wengi sana mwaka huu. Kwa nini wasigeukie sky-overs? yaani mabarabara ya angani juu kwa juu. kunawatu tunapenda kuishi angani labda wakati wa kuzikwa tu ndo tutashuka chini

      ila pengine wangekuwa na plans za tunels au hata wabuni njia za baharini kwa wanaotoka maeneo ya kunduchi n.k. Kimbembe ni kwamba wanafikiria kujenga au kuongeza barabara za kuingiza magari city centre. Huu ni uhuni wa kitaalam ambao unapaswa kukosolewa na kuja na suluhisho makini.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    Page 5 of 18 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast

    LinkBacks (?)


    Similar Topics

    1. Replies: 89
      Last Post: 11th April 2013, 16:57
    2. IBM (Tanzania) kupunguza msongamano wa magari katika Barabara za DSM!
      By Baba_Enock in forum Business & Economic Forum
      Replies: 31
      Last Post: 22nd March 2012, 12:19
    3. Replies: 1
      Last Post: 30th June 2011, 12:35
    4. Replies: 4
      Last Post: 15th June 2011, 18:40
    5. Replies: 47
      Last Post: 21st April 2009, 16:11

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...