Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

    Report Post
    Page 1 of 12 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 223
    1. #1
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Angry PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

      Juzi juzi wakati nikitafakari sherehe za mei mosi niliingia kwenye kabati yangu nikaanza KUPERUZI salary slips zangu nikiangalia namna ninavyotendewa na hao wanaojiita waajiri. Kitu kimoja nilichokigundua ni kuwa wafanyakazi tunalipa sana KODI kuliko mtu yeyeto DUNIANI.

      Tubalipa indirect tax sawa sawa na watu wengine wote wanaopata huduma na bidhaa tofauti tofauti.

      Tofauti na wafanyabiashara wanaolipa kodi kwenye faida, yaani NET PROFIT sisi tunachanjwa P.A.Y.E kwenye gross salary.

      TATIZO LANGU HAPA ni kuwa hii PAYE ni kubwa sana kwanini badala ya kupigana eti tuongezwe mishahara huku tukijua na mzigo wa kodi utaongezeka kadiri mishahara inavyoongezeka tusijipange kwa pamoja tupiganie PAYE ipungue??

      Najua serikali wanaipenda sana kwani inakusanywa kirahisi sana na garama POA kabisa, kama kweli JK wenu anataka Maisha bora kwa kila mtanganyika basi PAYE ipungue na kodi za kufidia zitafutwe mahali pengine kama kupunguza misamaha ya kodi, kupunguza matumizi MAKUBWA ya serikali, na Kuwa makini na wafuatiliaji wa maliasili zetu kama samaki na madini?????

      Vyama vya wafanyakazi mko wapi???? hivi huwa mnachaguliwa kwakuwa mna CV zenu au uwezo wenu wa kuhamasisha migomo??????

      NAWASILISHA.
      Ogah, NATA, Flora Mtimba and 3 others like this.


    2. #2
      The Farmer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2009
      Location : At the middle of the Farm Yard
      Posts : 1,032
      Rep Power : 739
      Likes Received
      14
      Likes Given
      6

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Kandambili kama ulivyosema PAYE ni rahisi kuikata, sasa unategemea kuwa itapunguzwa kweli. Na MAFISADI wataishije kodi ikipunguzwa??

      Kinachotakiwa ni kutafuta mbinu za kuhakikisha kuwa kodi (PAYE) tunayolipa inatumika kausahihi. Kwanza unatakiwa kujua kuwa wafanyakazi wa kwenye private Sector ndio wanaolipa PAYE kubwa zaidi ya wale wa kwenye Public Sector.
      Be not afraid of growing slowly, be afraid only of standing still. -- Chinese Proverb

    3. #3
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By The Farmer View Post
      Kandambili kama ulivyosema PAYE ni rahisi kuikata, sasa unategemea kuwa itapunguzwa kweli. Na MAFISADI wataishije kodi ikipunguzwa??

      Kinachotakiwa ni kutafuta mbinu za kuhakikisha kuwa kodi (PAYE) tunayolipa inatumika kausahihi. Kwanza unatakiwa kujua kuwa wafanyakazi wa kwenye private Sector ndio wanaolipa PAYE kubwa zaidi ya wale wa kwenye Public Sector.

      Kwamba natakiwa kujua kuwa wafanyakazi wa kwenye private Sector ndio wanaolipa PAYE kubwa zaidi ya wale wa kwenye Public Sector!!!!!?????????? HIYO NAKATAAA KABISAAAAA (may be unipe mifano halisi na sio ya hear say) tena kwenye private wana malipo fulani fulani ambayo ni tax free kuna namna wanavyocheza nayo kwani wanajua kama mimi nataka NET 100,000 that means kama ni kodi wanatakiwa waiongeze na inakula kwao.

      Tukiacha USHABIKI wa MAFISADI inaweza kupunguza kama hoja zikijengwa sawa sawa na public (wafanyakazi) ikaonyesha concern yake, mbona huwa inarekebishwa mathalani iliwahi kuchange kati ya minimum ya 18% na 15%

    4. #4
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1175
      Likes Received
      77
      Likes Given
      42

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Ndugu yangu Kandambili your observation is quite right!

      Employees wanalipa kodi kubwa sana kulinganisha na makundi mengine ya kijamii relative to their income.

      Ukifanikiwa kuwa mjasiliamali na business yako ikatake off vizuri, ukaiendesha informally, unauwezekano wakulipa kodi ndogo sana kuliko ukiwa umeajiriwa!

      Ngoja nitoe mfano mmoja hapa;

      Nimemwajiri mtu X kwa ajili ya kutoa huduma fulani kwenye yangu na namlipa kwa mwezi Tshs 400,000/= (Gross income), mwajiriwa huyu nitamkata kwa kila mwezi Tshs 54,500 kama PAYE so kwa mwaka atakatwa Tsh 654,000!

      Scenerio ya pili, sitaki kuajiri na mcontract mjasiriamali Y awe ananifanyia kazi ambayo X angeifanya, tunakubaliana niwe namlipa labda baada ya miezi sita Tshs 2,400,000 so kwa mwaka Tshs 4,800,000 kama fees excluding disbursements. Huyu mambo ya kodi anatakiwa kuhandle mwenyewe, so labda ataenda kukata TIN na kujisajili kama mfanyabiashara mdogo.

      Kwa kuwa mapato /mauzo yake hayazidi Tshs 7,000,000 kwa mwaka....anatakiwa alipe Tshs 95,000 tu kwa mwaka kama kodi

      Now linganisha Tshs 654,000 PAYE anayolipa mwajiriwa na Tshs 95,000 kwa mapato sawa utaona jinsi waajiriwa wanavyoumizwa.

      Mfano mwingine; niko na jamaa zangu pale k/koo wanafanya biashara mbalimbali na wanamiliki majengo kadhaa pale.....mauzo yao kwa mwaka ni kati ya Tshs 100,000,000 to 1,000,000,000! Lakini kodi wanayolipa.....utashangaa kweli, hata Tshs 500,000 kwa mwaka haifiki na hii wanakadiriwa na TRA. Wakati mfanyakazi anayepata say Gross ya 5,000,000 kwa mwezi, tayari analipa zaidi ya 1 mil kama kodi kila mwezi!

      So ukiwa kwenye informal sector kodi unalipa kidogo sana relative to your income compared to employees!

      TRA na serikali wanatakiwa kupanua wigo wa kodi (tax base) ili kuyanusuru maisha ya wafanyakazi waliobebeshwa mzigo wa kodi kama punda! Waache uvivu wa kufikiria vyanzo vingine vya kodi kama vile Kodi za pango (rental taxes), waongeze kodi kule kwenye informal sector, including income inayopotea kule kny masherehe, madalali, MCs, Usafirishaji etc na pia kupunguza matumizi yasiyokuwa ya lazima kwa serikali!

      Vinginevyo wote tutahamia huko kwenye informal sector, kwenye unafuu mkubwa sana wa kodi!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    5. #5
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1175
      Likes Received
      77
      Likes Given
      42

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Kandambilimbili View Post
      Kwamba natakiwa kujua kuwa wafanyakazi wa kwenye private Sector ndio wanaolipa PAYE kubwa zaidi ya wale wa kwenye Public Sector!!!!!?????????? HIYO NAKATAAA KABISAAAAA (may be unipe mifano halisi na sio ya hear say) tena kwenye private wana malipo fulani fulani ambayo ni tax free kuna namna wanavyocheza nayo kwani wanajua kama mimi nataka NET 100,000 that means kama ni kodi wanatakiwa waiongeze na inakula kwao.
      Kandambili hapa naona hujafanya utafiti vyakutosha, the Farmer yuko sahihi kabisa kwamba ukilinganisha wafanyakazi wa Private Sector na Public Sector wale wa Private sector wanalipa zaidi kuliko wa Public Sector kwa sababu zifuatazo;

      1. Wafanyakazi wa Public sector wanaexemption nyingi zaidi kuliko wenzao wa private sector e.g benefit ya nyumba private workers ni taxable wakati huko public iko exempted, public workers wakiagiza magari wanaweza kupewa exemption wakati wale wa private sector hakuna kitu hicho.

      2. Tax compliance huko public sector ni ndogo sana ukilinganisah na private sector kwa sababu TRA huwa hawana mkazi na hawafuatilii sana huko Public sector kama wafanyavyo private sector so utaona benefits nyingi sana haziwi taxed kabisa huko public wakati private sector every single coin anayopata employee iko taxed na TRA wanafanya audit za mara kwa mara kuhakikisha waajiri wanacomply

      3. Mishahara ya public sector (Basic) iko chini sana na ukizingatia threshhold kwa sasa ni 100,000, unakuta mtu basic yake ni 150,000 which means anatakiwa akatwe kodi kwenye 50,000! But in reality unakuta kwa mwezi mtu huyu anatoka na like 1, 2,3mil kama gross income from sitting allowance, acting allowance, extra duty allowance, honorarioum, perdiem etc ambazo they don't tax kabisa! So wanaendup kuienjoy income kubwa but pay less tax, kumbe private mishahara ni mikubwa but hakuna eti malipo ya sitting allowance, acting sijui nini......! so mara nyingi utakuta gross income = basic income......maanake hakuna income inayokwepa machine ya PAYE.

      Ofcourse kuna exceptions pia kwa wale wakwepaji kodi huko private sector ambao huandaa payroll mbili, moja iko na PAYE na nyingine haina..so hawa wanalipa kodi kidogo!

      Kwa ujumla wafanyakazi wa private sector wanalipa kodi kubwa kuliko wale wa Public sector kama nilivyoeleza hapao juu!
      mikonomiwili likes this.
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.


    6. #6
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Next Level View Post
      Ndugu yangu Kandambili your observation is quite right!

      Employees wanalipa kodi kubwa sana kulinganisha na makundi mengine ya kijamii relative to their income.

      Ukifanikiwa kuwa mjasiliamali na business yako ikatake off vizuri, ukaiendesha informally, unauwezekano wakulipa kodi ndogo sana kuliko ukiwa umeajiriwa!

      Ngoja nitoe mfano mmoja hapa;

      Nimemwajiri mtu X kwa ajili ya kutoa huduma fulani kwenye yangu na namlipa kwa mwezi Tshs 400,000/= (Gross income), mwajiriwa huyu nitamkata kwa kila mwezi Tshs 54,500 kama PAYE so kwa mwaka atakatwa Tsh 654,000!

      Scenerio ya pili, sitaki kuajiri na mcontract mjasiriamali Y awe ananifanyia kazi ambayo X angeifanya, tunakubaliana niwe namlipa labda baada ya miezi sita Tshs 2,400,000 so kwa mwaka Tshs 4,800,000 kama fees excluding disbursements. Huyu mambo ya kodi anatakiwa kuhandle mwenyewe, so labda ataenda kukata TIN na kujisajili kama mfanyabiashara mdogo.

      Kwa kuwa mapato /mauzo yake hayazidi Tshs 7,000,000 kwa mwaka....anatakiwa alipe Tshs 95,000 tu kwa mwaka kama kodi

      Now linganisha Tshs 654,000 PAYE anayolipa mwajiriwa na Tshs 95,000 kwa mapato sawa utaona jinsi waajiriwa wanavyoumizwa.

      Mfano mwingine; niko na jamaa zangu pale k/koo wanafanya biashara mbalimbali na wanamiliki majengo kadhaa pale.....mauzo yao kwa mwaka ni kati ya Tshs 100,000,000 to 1,000,000,000! Lakini kodi wanayolipa.....utashangaa kweli, hata Tshs 500,000 kwa mwaka haifiki na hii wanakadiriwa na TRA. Wakati mfanyakazi anayepata say Gross ya 5,000,000 kwa mwezi, tayari analipa zaidi ya 1 mil kama kodi kila mwezi!

      So ukiwa kwenye informal sector kodi unalipa kidogo sana relative to your income compared to employees!

      TRA na serikali wanatakiwa kupanua wigo wa kodi (tax base) ili kuyanusuru maisha ya wafanyakazi waliobebeshwa mzigo wa kodi kama punda! Waache uvivu wa kufikiria vyanzo vingine vya kodi kama vile Kodi za pango (rental taxes), waongeze kodi kule kwenye informal sector, including income inayopotea kule kny masherehe, madalali, MCs, Usafirishaji etc na pia kupunguza matumizi yasiyokuwa ya lazima kwa serikali!

      Vinginevyo wote tutahamia huko kwenye informal sector, kwenye unafuu mkubwa sana wa kodi!
      Comprehensive analysis, jamani tuamke vita vya mafisadi viende sambasamba na kupigania haki zetu sio kila siku wanaongeza ongeza kodi kwenye mafuta, BIA wakati kuna sehemu kubwa tu wanaweza kupata kodi na kutunusuru na MZIGO HUU....

    7. #7
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Next Level View Post
      Kandambili hapa naona hujafanya utafiti vyakutosha, the Farmer yuko sahihi kabisa kwamba ukilinganisha wafanyakazi wa Private Sector na Public Sector wale wa Private sector wanalipa zaidi kuliko wa Public Sector kwa sababu zifuatazo;

      1. Wafanyakazi wa Public sector wanaexemption nyingi zaidi kuliko wenzao wa private sector e.g benefit ya nyumba private workers ni taxable wakati huko public iko exempted, public workers wakiagiza magari wanaweza kupewa exemption wakati wale wa private sector hakuna kitu hicho.

      Kwa taarifa yako HOUSE ALLOWANCE inakatiwa kodi in short ANY INCOME DERIVED FROM EMPLOYMENT IS TAXABLE, soma Income tax ACT utaelewa vizuri, kwenye magari naweza kukubaliana na wewe lakini jiulize pia hiyo incentive inawanufaisha wangapi na wenye kipato gani kuweza kununua gari? umefanya mchanganuo ujue huo msamaha una unafuu kiasi gani, najua VAT haipo kwenye msamaha.....

      2. Tax compliance huko public sector ni ndogo sana ukilinganisah na private sector kwa sababu TRA huwa hawana mkazi na hawafuatilii sana huko Public sector kama wafanyavyo private sector so utaona benefits nyingi sana haziwi taxed kabisa huko public wakati private sector every single coin anayopata employee iko taxed na TRA wanafanya audit za mara kwa mara kuhakikisha waajiri wanacomply




      Kwa taarifa yako siku hizi wanafanya Audit mpaka kwenye Public Sectors.....

      3. Mishahara ya public sector (Basic) iko chini sana na ukizingatia threshhold kwa sasa ni 100,000, unakuta mtu basic yake ni 150,000 which means anatakiwa akatwe kodi kwenye 50,000! But in reality unakuta kwa mwezi mtu huyu anatoka na like 1, 2,3mil kama gross income from sitting allowance, acting allowance, extra duty allowance, honorarioum, perdiem etc ambazo they don't tax kabisa! So wanaendup kuienjoy income kubwa but pay less tax, kumbe private mishahara ni mikubwa but hakuna eti malipo ya sitting allowance, acting sijui nini......! so mara nyingi utakuta gross income = basic income......maanake hakuna income inayokwepa machine ya PAYE.

      Hizo allowance zote ulizozitaja hapo ni TAXABLE


      Ofcourse kuna exceptions pia kwa wale wakwepaji kodi huko private sector ambao huandaa payroll mbili, moja iko na PAYE na nyingine haina..so hawa wanalipa kodi kidogo!

      nakubaliana na wewe 100%


      Kwa ujumla wafanyakazi wa private sector wanalipa kodi kubwa kuliko wale wa Public sector kama nilivyoeleza hapao juu!
      Nusu ya LIFE yangu kwenye AJIRA nimeitumia kwenye PRIVATE na PUBLIC nimeyaona mengi.............

    8. #8
      Bobby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Posts : 743
      Rep Power : 732
      Likes Received
      140
      Likes Given
      396

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Hoja ni ya kweli kabisa wala haihitaji kupepewa. Miaka yote kwa taarifa yenu PAYE ndio inayoongoza kwa kuliingizia Taifa mapato. That said inamaanisha nchi hii inaendeshwa na masikini ambao ni wafanyakazi. So hata hao mafisadi wanaowaibia ni wafanyakazi kwani wote tunajuwa namna ambavyo wafanyabiashara wakubwa wanavyoevade tax. So hii vita ya ufisadi haipaswi kuwekwa chini kwani itakuwa sawa na kujaza maji ndoo iliyotoboka. Ila pia of course tupigane hiyo PAYE ipunguzwe ni kubwa mno. Ninazo data ya rates za nchi ingine chache, yetu kama ilivyo VAT iko juu sana.

    9. #9
      Dina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2008
      Location : Ulimwenguni
      Posts : 1,197
      Rep Power : 787
      Likes Received
      322
      Likes Given
      188

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Kandambilimbili View Post
      Kwamba natakiwa kujua kuwa wafanyakazi wa kwenye private Sector ndio wanaolipa PAYE kubwa zaidi ya wale wa kwenye Public Sector!!!!!?????????? HIYO NAKATAAA KABISAAAAA (may be unipe mifano halisi na sio ya hear say) tena kwenye private wana malipo fulani fulani ambayo ni tax free kuna namna wanavyocheza nayo kwani wanajua kama mimi nataka NET 100,000 that means kama ni kodi wanatakiwa waiongeze na inakula kwao.

      Tukiacha USHABIKI wa MAFISADI inaweza kupunguza kama hoja zikijengwa sawa sawa na public (wafanyakazi) ikaonyesha concern yake, mbona huwa inarekebishwa mathalani iliwahi kuchange kati ya minimum ya 18% na 15%
      Inawezekana sijakupata vyema, lakini sijaelewa concept ya '..malipo fulani ambayo ni tax free...' una maanisha nini. Ninavyoelewa mimi the tax bracket is the same which is guided by the Income Tax Act. Kwa hiyo kama kuna kitu ni tax free, kita-cut across kwa mtu yeyote anayeangukia kwenye bracket husika. Suala la mtu kuwa na mategemeo ya 'net' ya kiasi fulani, hapa sasa ni utundu wa mwajiriwa ambaye katike negotiation zake za kuingia kwenye ajira fulani, atakuwa ana mategemeo/matarajio yake. Mfano, yeye ataona kuwa ili hii kazi iweze kuwa na manufaa kwangu, basi nitataka mwajiri anipatie mshahara baada ya kodi (the so called net) wa shs 100,000. So it's up to the employee, to work out the gross salary ya huyo muomba kazi kuona kama itakuwa costfull kwake or not! Hapa ninakupa mbinu na wewe ndugu yangu, never negotiate a salary on gross figures, zitakuumiza mwenyewe. Cos, utashawishika na li-figure la ajabu, kumbe mwisho wa siku what goes into your pocket (the net) is peanut!

      I support kuwa people from the private sector makato yao ya kodi yako juu sana, cos, as the the Income Tax Act, malipo yoyote anayolipwa mfanyakazi they are subjected to tax, whether in benefit or in kind. Mfanyakazi huyu atasalimika pale atakapolipwa per diem ambayo ndiyo itapita nje ya mshahara wake (payroll). Kama ana salary arrear yoyote, itapita kwenye payroll, and the amount will be taxed accordingly! Hii nimeiona ni tofauti kidogo kwenye public sector, ambako mtu ataishia kuwa taxed only on the BASIC SALARY, which I still have not recovered from the shock of realising that. Kwa hiyo hata akiingiziwa arrear, the line that will be taxed itakuwa ile ya basic salary tu. Marupurupu mengine kama subsistence allowance na wajukuu zake, yote yatapita on a separate voucher and they will get away from the tax!

      All in all, siamini kama serikali itafikiria kupunguza PAYE, kwa sababu urahisi wake wa kuikusanya naona una mteremko kwao, so letting such 'easy' income slip away from their fingers...mmh yataka moyo. Labda kama alivyotoa maoni mchangiaji mwingine, kuwa tuanze kufikiria kuhamia kwenye 'informal sector' ndio salama yetu.

    10. #10
      Shapu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2008
      Location : Citizen of the World
      Posts : 1,617
      Rep Power : 906
      Likes Received
      174
      Likes Given
      328

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Next Level View Post
      Ndugu yangu Kandambili your observation is quite right!

      Employees wanalipa kodi kubwa sana kulinganisha na makundi mengine ya kijamii relative to their income.

      Ukifanikiwa kuwa mjasiliamali na business yako ikatake off vizuri, ukaiendesha informally, unauwezekano wakulipa kodi ndogo sana kuliko ukiwa umeajiriwa!

      Ngoja nitoe mfano mmoja hapa;

      Nimemwajiri mtu X kwa ajili ya kutoa huduma fulani kwenye yangu na namlipa kwa mwezi Tshs 400,000/= (Gross income), mwajiriwa huyu nitamkata kwa kila mwezi Tshs 54,500 kama PAYE so kwa mwaka atakatwa Tsh 654,000!

      Scenerio ya pili, sitaki kuajiri na mcontract mjasiriamali Y awe ananifanyia kazi ambayo X angeifanya, tunakubaliana niwe namlipa labda baada ya miezi sita Tshs 2,400,000 so kwa mwaka Tshs 4,800,000 kama fees excluding disbursements. Huyu mambo ya kodi anatakiwa kuhandle mwenyewe, so labda ataenda kukata TIN na kujisajili kama mfanyabiashara mdogo.

      Kwa kuwa mapato /mauzo yake hayazidi Tshs 7,000,000 kwa mwaka....anatakiwa alipe Tshs 95,000 tu kwa mwaka kama kodi

      Now linganisha Tshs 654,000 PAYE anayolipa mwajiriwa na Tshs 95,000 kwa mapato sawa utaona jinsi waajiriwa wanavyoumizwa.

      Mfano mwingine; niko na jamaa zangu pale k/koo wanafanya biashara mbalimbali na wanamiliki majengo kadhaa pale.....mauzo yao kwa mwaka ni kati ya Tshs 100,000,000 to 1,000,000,000! Lakini kodi wanayolipa.....utashangaa kweli, hata Tshs 500,000 kwa mwaka haifiki na hii wanakadiriwa na TRA. Wakati mfanyakazi anayepata say Gross ya 5,000,000 kwa mwezi, tayari analipa zaidi ya 1 mil kama kodi kila mwezi!

      So ukiwa kwenye informal sector kodi unalipa kidogo sana relative to your income compared to employees!

      TRA na serikali wanatakiwa kupanua wigo wa kodi (tax base) ili kuyanusuru maisha ya wafanyakazi waliobebeshwa mzigo wa kodi kama punda! Waache uvivu wa kufikiria vyanzo vingine vya kodi kama vile Kodi za pango (rental taxes), waongeze kodi kule kwenye informal sector, including income inayopotea kule kny masherehe, madalali, MCs, Usafirishaji etc na pia kupunguza matumizi yasiyokuwa ya lazima kwa serikali!

      Vinginevyo wote tutahamia huko kwenye informal sector, kwenye unafuu mkubwa sana wa kodi!
      That was a VERY VERY GOOD Analysis. Ni kweli kabisa PAYE wanaolipa wafanyakazi be it public or private ni kubwa SANA. And this was introduced during Mramba time as finance minister. It is very true kwamba inabidi tuangalie jinsi tunaweza kupambana PAYE ipungue. Yaani when you look at the tax we pay in your salary slip hailingani na kodi wanayolipa wafanya biashara.

      Lakini nchi yetu iko so much influenced by bness men in terms of politics etc etc. So inaweza kuwa vigumu kupata support ya kutosha katika kuipunguza PAYE kwani ina athiri kundi ambalo si active sana katika kuinfluence decision of the BIG BOSS.

      However any thing is possible, hata mleta mada hapa amejitahiti kwani tukianza kwa kulijadili na kujua ni tatizo is also a very good start.
      "WHEN YOU REFUSE TO GIVE UP COMPETELY, THATS WHEN GOOD THINGS TEND TO HAPPEN! Never give up!" Shapu

    11. #11
      LazyDog's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2008
      Posts : 2,186
      Rep Power : 21025
      Likes Received
      17
      Likes Given
      62

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Next Level View Post
      Ndugu yangu Kandambili your observation is quite right!

      Employees wanalipa kodi kubwa sana kulinganisha na makundi mengine ya kijamii relative to their income.

      Ukifanikiwa kuwa mjasiliamali na business yako ikatake off vizuri, ukaiendesha informally, unauwezekano wakulipa kodi ndogo sana kuliko ukiwa umeajiriwa!

      Ngoja nitoe mfano mmoja hapa;

      Nimemwajiri mtu X kwa ajili ya kutoa huduma fulani kwenye yangu na namlipa kwa mwezi Tshs 400,000/= (Gross income), mwajiriwa huyu nitamkata kwa kila mwezi Tshs 54,500 kama PAYE so kwa mwaka atakatwa Tsh 654,000!

      Scenerio ya pili, sitaki kuajiri na mcontract mjasiriamali Y awe ananifanyia kazi ambayo X angeifanya, tunakubaliana niwe namlipa labda baada ya miezi sita Tshs 2,400,000 so kwa mwaka Tshs 4,800,000 kama fees excluding disbursements. Huyu mambo ya kodi anatakiwa kuhandle mwenyewe, so labda ataenda kukata TIN na kujisajili kama mfanyabiashara mdogo.

      Kwa kuwa mapato /mauzo yake hayazidi Tshs 7,000,000 kwa mwaka....anatakiwa alipe Tshs 95,000 tu kwa mwaka kama kodi

      Now linganisha Tshs 654,000 PAYE anayolipa mwajiriwa na Tshs 95,000

      Mfano mwingine; niko na jamaa zangu pale k/koo wanafanya biashara mbalimbali na wanamiliki majengo kadhaa pale.....mauzo yao kwa mwaka ni kati ya Tshs 100,000,000 to 1,000,000,000! Lakini kodi wanayolipa.....utashangaa kweli, hata Tshs 500,000 kwa mwaka haifiki na hii wanakadiriwa na TRA. Wakati mfanyakazi anayepata say Gross ya 5,000,000 kwa mwezi, tayari analipa zaidi ya 1 mil kama kodi kila mwezi!

      So ukiwa kwenye informal sector kodi unalipa kidogo sana relative to your income compared to employees!

      TRA na serikali wanatakiwa kupanua wigo wa kodi (tax base) ili kuyanusuru maisha ya wafanyakazi waliobebeshwa mzigo wa kodi kama punda! Waache uvivu wa kufikiria vyanzo vingine vya kodi kama vile Kodi za pango (rental taxes), waongeze kodi kule kwenye informal sector, including income inayopotea kule kny masherehe, madalali, MCs, Usafirishaji etc na pia kupunguza matumizi yasiyokuwa ya lazima kwa serikali!

      Vinginevyo wote tutahamia huko kwenye informal sector, kwenye unafuu mkubwa sana wa kodi!
      So what does this tell us (employees)?
      PAYEE itaendelea kuwepo maana wengi wataendelea kung'ang'ania kubaki kwenye comfort zone (being employed) - risk free area.

      If you can't change others or the system....
      ...maybe you should start think about changing you!

      Any government will favor those who create jobs for themselves or others.
      Last edited by LazyDog; 7th May 2009 at 11:39.
      GABANGO likes this.
      A person who won't read has no advantage over one who can't read. -Mark Twain

    12. #12
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Dina View Post
      Inawezekana sijakupata vyema, lakini sijaelewa concept ya '..malipo fulani ambayo ni tax free...' una maanisha nini. Ninavyoelewa mimi the tax bracket is the same which is guided by the Income Tax Act. Kwa hiyo kama kuna kitu ni tax free, kita-cut across kwa mtu yeyote anayeangukia kwenye bracket husika. Suala la mtu kuwa na mategemeo ya 'net' ya kiasi fulani, hapa sasa ni utundu wa mwajiriwa ambaye katike negotiation zake za kuingia kwenye ajira fulani, atakuwa ana mategemeo/matarajio yake. Mfano, yeye ataona kuwa ili hii kazi iweze kuwa na manufaa kwangu, basi nitataka mwajiri anipatie mshahara baada ya kodi (the so called net) wa shs 100,000. So it's up to the employee, to work out the gross salary ya huyo muomba kazi kuona kama itakuwa costfull kwake or not! Hapa ninakupa mbinu na wewe ndugu yangu, never negotiate a salary on gross figures, zitakuumiza mwenyewe. Cos, utashawishika na li-figure la ajabu, kumbe mwisho wa siku what goes into your pocket (the net) is peanut!

      I support kuwa people from the private sector makato yao ya kodi yako juu sana, cos, as the the Income Tax Act, malipo yoyote anayolipwa mfanyakazi they are subjected to tax, whether in benefit or in kind. Mfanyakazi huyu atasalimika pale atakapolipwa per diem ambayo ndiyo itapita nje ya mshahara wake (payroll). Kama ana salary arrear yoyote, itapita kwenye payroll, and the amount will be taxed accordingly! Hii nimeiona ni tofauti kidogo kwenye public sector, ambako mtu ataishia kuwa taxed only on the BASIC SALARY, which I still have not recovered from the shock of realising that. Kwa hiyo hata akiingiziwa arrear, the line that will be taxed itakuwa ile ya basic salary tu. Marupurupu mengine kama subsistence allowance na wajukuu zake, yote yatapita on a separate voucher and they will get away from the tax!

      All in all, siamini kama serikali itafikiria kupunguza PAYE, kwa sababu urahisi wake wa kuikusanya naona una mteremko kwao, so letting such 'easy' income slip away from their fingers...mmh yataka moyo. Labda kama alivyotoa maoni mchangiaji mwingine, kuwa tuanze kufikiria kuhamia kwenye 'informal sector' ndio salama yetu.
      Inawezekana nimetumia neno TAX FREE vibaya lakini maana yangu ilkuwa ni some personal emoluments ambazo haziko mkwenye payroll, allowance hizo zote kwenye public sector zinatakiwa zikate kodi kama huko unakorefer hawakatwi siku KITILYA akiwatembelea WATAJIJU, mimi naamini hili likipigiwa kelele SANA watafungua masikio yao na kuliona, naamini hata hao watunga KODI ni VICTIM wa P.A.Y.E

    13. #13
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,910
      Rep Power : 22570
      Likes Received
      6525
      Likes Given
      2933

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Kimsingi kuna hoja hapa...But iam afraid if SUALA la kupunguza PAYE litaweza

      kukubalika kirahisi na mamlaka. Viwanda vingi ambavyo vingesaidia serikali

      kwa mapato ni vya wahindi, na hawa jamaa ni wataalam wa kukwepa kodi.

      Wafanyabiashara wengi, kama ambavyo unaona huko madukani, wanakuuliza

      kama unataka risiti ya kodi, ama la, na kisha bei za bidhaa hiyo..!!!

      Sasa, katika hali kama hiyo tegemea kuwa huenda PAYE ikapanda zaidi ya

      hapo, maana mfanyakazi tayari upo kwenye 18 zao!!.

      Nasupport initiative zote zinazoweza kufanywa na vyama vya wafanyakazi na

      pressure groups zinginezo, na kimsingi, mii ni mmoja kati ya wapenda

      mabadiliko hayo

      Lets join hands people!!
      mikonomiwili and kyening'ombe like this.

    14. #14
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By mwalyambi30 View Post
      Kimsingi kuna hoja hapa...But iam afraid if SUALA la kupunguza PAYE litaweza

      kukubalika kirahisi na mamlaka. Viwanda vingi ambavyo vingesaidia serikali

      kwa mapato ni vya wahindi, na hawa jamaa ni wataalam wa kukwepa kodi.

      Wafanyabiashara wengi, kama ambavyo unaona huko madukani, wanakuuliza

      kama unataka risiti ya kodi, ama la, na kisha bei za bidhaa hiyo..!!!

      Sasa, katika hali kama hiyo tegemea kuwa huenda PAYE ikapanda zaidi ya

      hapo, maana mfanyakazi tayari upo kwenye 18 zao!!.

      Nasupport initiative zote zinazoweza kufanywa na vyama vya wafanyakazi na

      pressure groups zinginezo, na kimsingi, mii ni mmoja kati ya wapenda

      mabadiliko hayo

      Lets join hands people!!
      Muhimu kufanya study ya tax system yetu nakujua wapi zinaweza kupatikana fedha za kufidia hilo punguzo, tunaweza kupigania HAKI hii kwa kuangalia, kushauri na kutoa mapendekezo ni wapi kodi inapotea au haikusanywi vizuri.
      Unajua mimi huwa nadhani ni bora kukosoa huku ukitoa suggested solution ndio inajenga zaidi...........

    15. #15
      Kichankuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2008
      Posts : 441
      Rep Power : 623
      Likes Received
      31
      Likes Given
      19

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Next Level View Post
      Kandambili hapa naona hujafanya utafiti vyakutosha, the Farmer yuko sahihi kabisa kwamba ukilinganisha wafanyakazi wa Private Sector na Public Sector wale wa Private sector wanalipa zaidi kuliko wa Public Sector kwa sababu zifuatazo;

      1. Wafanyakazi wa Public sector wanaexemption nyingi zaidi kuliko wenzao wa private sector e.g benefit ya nyumba private workers ni taxable wakati huko public iko exempted, public workers wakiagiza magari wanaweza kupewa exemption wakati wale wa private sector hakuna kitu hicho.

      2. Tax compliance huko public sector ni ndogo sana ukilinganisah na private sector kwa sababu TRA huwa hawana mkazi na hawafuatilii sana huko Public sector kama wafanyavyo private sector so utaona benefits nyingi sana haziwi taxed kabisa huko public wakati private sector every single coin anayopata employee iko taxed na TRA wanafanya audit za mara kwa mara kuhakikisha waajiri wanacomply

      3. Mishahara ya public sector (Basic) iko chini sana na ukizingatia threshhold kwa sasa ni 100,000, unakuta mtu basic yake ni 150,000 which means anatakiwa akatwe kodi kwenye 50,000! But in reality unakuta kwa mwezi mtu huyu anatoka na like 1, 2,3mil kama gross income from sitting allowance, acting allowance, extra duty allowance, honorarioum, perdiem etc ambazo they don't tax kabisa! So wanaendup kuienjoy income kubwa but pay less tax, kumbe private mishahara ni mikubwa but hakuna eti malipo ya sitting allowance, acting sijui nini......! so mara nyingi utakuta gross income = basic income......maanake hakuna income inayokwepa machine ya PAYE.!
      Wafanyakazi wengi wa Umma hawapatiwi nyumba, ukiacha Walimu, watumishi wengine ni mpaka uwe Mteule katika nafasi za Ukurugenzi ndo unaweza kupatiwa posho ya nyumba.

      Kwa upande wa sitting, extra duty, acting na allowance nyingine ambazo umezitaja, huwa hazipatikani kiurahisi hivyo kama ulivyoandika. Mnaweza kuwa mnafanya ofisi moja lakini Mtumishi mmoja akawa anasafiri sana wakati mwingine anakalia kijiwe. Na hapa ndipo tunapokoseaga na kushindwa kudai nyongeza ya mapato ya msingi (Mshahara) kwa kuamini kuwa unaweza kupata safari na allowance nyinginezo

    16. #16
      MzalendoHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2007
      Posts : 4,049
      Rep Power : 1422
      Likes Received
      106
      Likes Given
      208

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      1. Ila kweli ni kwa nini personel emulments hazikatwi kodi??

      Angalia Mbunge Basic salary ni 1.8 m ndo hukatwa kodi. Na marupurupu mengine ya 5.0 m ni tax free!! Katibu Mkuu wa Wizara ana Salary ya 3m na marupurupu 11.0 m ambayo ni tax free!

      2. Kuna haya malipo wafanyakazi wanakatwa kwa nguvu bila ridhaa yao ya vyama vya wafanyakazi: ni pesa nyingi sana na hukatwa kwa nguvu toka ktk salary wakati hivi vyama havieleweki vinatetea nini!!! Hivi Tz ni nchi ya kidiktator? kwa nini kuwe na sheria ya kukata pesa za wafanyakazi kwa nguvu wakati sii kodi?

      Is this fair?
      Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!

    17. #17
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By Next Level View Post
      Kandambili hapa naona hujafanya utafiti vyakutosha, the Farmer yuko sahihi kabisa kwamba ukilinganisha wafanyakazi wa Private Sector na Public Sector wale wa Private sector wanalipa zaidi kuliko wa Public Sector kwa sababu zifuatazo;


      3. Mishahara ya public sector (Basic) iko chini sana na ukizingatia threshhold kwa sasa ni 100,000, unakuta mtu basic yake ni 150,000 which means anatakiwa akatwe kodi kwenye 50,000! But in reality unakuta kwa mwezi mtu huyu anatoka na like 1, 2,3mil kama gross income from sitting allowance, acting allowance, extra duty allowance, honorarioum, perdiem etc ambazo they don't tax kabisa! So wanaendup kuienjoy income kubwa but pay less tax, kumbe private mishahara ni mikubwa but hakuna eti malipo ya sitting allowance, acting sijui nini......! so mara nyingi utakuta gross income = basic income......maanake hakuna income inayokwepa machine ya PAYE.

      Kwa ujumla wafanyakazi wa private sector wanalipa kodi kubwa kuliko wale wa Public sector kama nilivyoeleza hapao juu!
      1. Kwa mujibu wa INCOME TAX - EMPLOYMENT INCOME allowance zote LAZIMA zikatwe kodi PER DIEM haikatwi kodi.
      2. Wanaolipwa acting allowance, sitting allowance ni wafanyakazi wa level za juu ambao ni wachache sana.
      3. Kama hazikatwi ni makosa kwa mujibu wa sheria.
      4. ALL IN ALL HOJA YANGU IKO PALE PALE, wafanyakazi tunaopokea mishahara tunakamuliwa sana regardless uko kwenye PRIVATE or PUBLIC SECTOR, nasimamia hapo hapo.......................... ..

    18. #18
      The Farmer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2009
      Location : At the middle of the Farm Yard
      Posts : 1,032
      Rep Power : 739
      Likes Received
      14
      Likes Given
      6

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      PAYE haiwezi kupunguzwa kwa sababu ni kadi ambayo haina usumbufu wowote ule kwenye ukusanyaji. Yani Employer amebanwa kwa mujibu wa sheria kuikusanya hiyo kodi kila mwezi. Angalia tax brackets based on Basic salary http://www.tra.go.tz/documents/new%20tax%20rates.pdf Pia unaweza ukafanya calculations kwa kutumia hii calculator ya TRA http://www.tra.go.tz/Paye.html
      Be not afraid of growing slowly, be afraid only of standing still. -- Chinese Proverb

    19. #19
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1175
      Likes Received
      77
      Likes Given
      42

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Kwa taarifa yako HOUSE ALLOWANCE inakatiwa kodi in short ANY INCOME DERIVED FROM EMPLOYMENT IS TAXABLE, soma Income tax ACT utaelewa vizuri, kwenye magari naweza kukubaliana na wewe lakini jiulize pia hiyo incentive inawanufaisha wangapi na wenye kipato gani kuweza kununua gari? umefanya mchanganuo ujue huo msamaha una unafuu kiasi gani, najua VAT haipo kwenye msamaha.....
      Nilimaanisha housing benefit, yaani kama wakipewa nyumba za kuishi....sheria inawalinda......

      Section 7 (f): in calculating an individual's gains or profits from anemployment, the following shall be excluded –

      a)………….. (f) benefit derived from the use of residential premises by an
      employee of the Government or any institution whose budget
      is fully or substantially out of Government budget subvention;

      Pili exemption kwenye magari ya wafanyakazi wa serikali impact yake kwa mwaka wa fedha 2006/2007 ni loss of tax by Tshs 3.2bil......


      Kwa taarifa yako siku hizi wanafanya Audit mpaka kwenye Public Sectors.....
      Sina matatizo na hilo, ila ninacho sema umakini wake sio kama ule wa kwenye Public sector mkuu!
      Hizo allowance zote ulizozitaja hapo ni TAXABLE
      Si kweli mkuu, hata sheria tu ina exempt some income kwa baadhi ya wafanyakazi wa serikali.....see below;

      Second Schedule to ITA 2004: Exempt amounts

      The following amounts are exempt from income tax –

      (a) amounts derived by the President of the United Republic or the President of the Revolutionary Government of Zanzibar from salary, duty allowance and entertainment allowance paid or payable to the President from public funds in respect of or by virtue of the office as President; Act No.5 of 1986 Cap.245

      (b)
      amounts derived by the Government (including Executive
      Agency established under the Executive Agencies Act, 1997) or any local authority of the United Republic or by the Revolutionary Government of Zanzibar or any local authority of Zanzibar except amounts derived from business activities that are unrelated to the functions of government;
      ……………
      (m) amounts derived by way of foreign living allowance by any officer of the Government that are paid from public funds and in respect of performance of the office overseas;
      ………….
      (s) gratuity granted to a Member of Parliament at the end of each term;


      Sasa wale wa private sector hawana cha baadhi wala nini, everyone is treated with equal foot!

      nakubaliana na wewe 100%
      Naam!

      Nusu ya LIFE yangu kwenye AJIRA nimeitumia kwenye PRIVATE na PUBLIC nimeyaona mengi.....
      Mimi ugali wangu wa kila siku unategemea maissues ya kodi mkuu, so I know very well the ITAs, TRA & Co!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    20. #20
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: P.a.y.e wafanyakazi mnasemaje?

      Quote By The Farmer View Post
      PAYE haiwezi kupunguzwa kwa sababu ni kadi ambayo haina usumbufu wowote ule kwenye ukusanyaji. Yani Employer amebanwa kwa mujibu wa sheria kuikusanya hiyo kodi kila mwezi. Angalia tax brackets based on Basic salary http://www.tra.go.tz/documents/new%20tax%20rates.pdf Pia unaweza ukafanya calculations kwa kutumia hii calculator ya TRA http://www.tra.go.tz/Paye.html
      ETI "PAYE haiwezi kupunguzwa kwa sababu ni kadi ambayo haina usumbufu wowote ule kwenye ukusanyaji......"

      MUNGU WANGU, Kama kweli hii ndio sababu basi watanzania uvivu utatumaliza, hizo sheria zenu za kuwabana Employer kwanini msizitumie kubana kwenye vyanzo vingine?n HAINIINGII AKILINI HII kwakweli.......

    Page 1 of 12 12311 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 7th June 2012, 16:29

    Similar Topics

    1. Kanuni mpya ya PAYE
      By NewDawnTz in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 33
      Last Post: 6th December 2011, 16:08
    2. Replies: 0
      Last Post: 2nd August 2011, 15:44
    3. jamni kodi yangu, PAYE,VAT etc
      By RealTz77 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 25th April 2011, 16:29
    4. KUKWEPA KODI Ya PAYE
      By HIMO ONE in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 14th April 2011, 10:54
    5. Je, Wabunge wa Tanzania wanalipa PAYE?
      By kichwat in forum Business & Economic Forum
      Replies: 4
      Last Post: 26th March 2011, 10:53

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...