Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

    Report Post
    Page 8 of 12 FirstFirst ... 678910 ... LastLast
    Results 141 to 160 of 223
    1. #1
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 692
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Angry PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

      Juzi juzi wakati nikitafakari sherehe za mei mosi niliingia kwenye kabati yangu nikaanza KUPERUZI salary slips zangu nikiangalia namna ninavyotendewa na hao wanaojiita waajiri. Kitu kimoja nilichokigundua ni kuwa wafanyakazi tunalipa sana KODI kuliko mtu yeyeto DUNIANI.

      Tubalipa indirect tax sawa sawa na watu wengine wote wanaopata huduma na bidhaa tofauti tofauti.

      Tofauti na wafanyabiashara wanaolipa kodi kwenye faida, yaani NET PROFIT sisi tunachanjwa P.A.Y.E kwenye gross salary.

      TATIZO LANGU HAPA ni kuwa hii PAYE ni kubwa sana kwanini badala ya kupigana eti tuongezwe mishahara huku tukijua na mzigo wa kodi utaongezeka kadiri mishahara inavyoongezeka tusijipange kwa pamoja tupiganie PAYE ipungue??

      Najua serikali wanaipenda sana kwani inakusanywa kirahisi sana na garama POA kabisa, kama kweli JK wenu anataka Maisha bora kwa kila mtanganyika basi PAYE ipungue na kodi za kufidia zitafutwe mahali pengine kama kupunguza misamaha ya kodi, kupunguza matumizi MAKUBWA ya serikali, na Kuwa makini na wafuatiliaji wa maliasili zetu kama samaki na madini?????

      Vyama vya wafanyakazi mko wapi???? hivi huwa mnachaguliwa kwakuwa mna CV zenu au uwezo wenu wa kuhamasisha migomo??????

      NAWASILISHA.
      Ogah, NATA, Flora Mtimba and 3 others like this.

    2. Study Abroad

    3. #141
      Gerad2008's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Posts : 289
      Rep Power : 563
      Likes Received
      17
      Likes Given
      11

      Default Re: Pay As You Earn (PAYE) Inaumiza Wandugu!

      Suala la kodi ya mishahara ndugu zanguni linatia UCHUNGU sana fanya sensa ya wenye maduka makubwa na yanayouza kuanzia laki 5 hadi millioni kwa siku au 6mil na 12mil. Kodi wanayolipa TRA haifiki hata laki mbili kwa mwezi ila mfanyakazi anaonewa kwa sababu mshahara wake unapitia mikono ya wahasibu then kilichobaki anakikuta kwenye akaunti yake. Hii ni dhambi kubwa inabidi wafanyakazi waamke wapige kelele sana acheni uoga.
      " My life has not chosen me; I have chosen the steps that will make my life what it is NOW and will be TOMORROW."


    4. #142
      Mr. President's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Black House
      Posts : 1,667
      Rep Power : 765
      Likes Received
      322
      Likes Given
      11

      Default 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      wafanyakzi wanaumia sana jamani, wether ni wa Private sector au Government, look this, baada ya deductions PAYE, PSPF/NSSF, NHIF na kodi ya vyama vya wafanyakazi( TUGE etc) is amounting up to 40% as makato ya mshahara, yaani mfanayakazi anabakiwa nakiwango hiki
      1. Mshahara Tshs 1,000,000 unabakiwa na Tshs 620,000 take home.
      2. 1,500,000 baada ya kodi zote utabakiwa na 9,000,000 hivi
      3. 3,000,000 baada ya kodi zote utabakiwa na 1,790,000 hivi
      4. 4,200,000 baada ya kodi zote take home = 2, 400,000 hivi
      hiki ni kiwango ni kikubwa sana, ni sawa na kumlipa mfanyakazi
      almost nusu ya mshahara, wafanayakazi wanaumia sana kumbuka bado tunaliapa kodi zifuatazo.
      Umeme, maji, majengo, viwanja, magari, bidhaa zote zimebebeshwa kodi kwa mlaji, so if u add hapo juu kwa mwezi mfanyakazi anaweza kuwa analipa 62% kama kodi, na kubakiwa na 38% ndio fedha zake, Serikali inatakiwa ipunguze kodi atleast baada ya makato yote max iwe 30%
      wafanyakazi wameumia na wanazidi kuumia, serikali i act quickly

    5. #143
      anjnr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 240
      Rep Power : 475
      Likes Received
      43
      Likes Given
      110

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Hapa wafanyakazi tunalipa kodi mara mbili yaani hyo income tax na vat kupitia bidhaa na huduma mbalimbali.

    6. #144
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,147
      Rep Power : 24897
      Likes Received
      4163
      Likes Given
      584

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      We mr president sio mfanyakazi?

    7. #145
      nickname's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2009
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 450
      Rep Power : 569
      Likes Received
      17
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By anjnr
      Hapa wafanyakazi tunalipa kodi mara mbili yaani hyo income tax na vat kupitia bidhaa na huduma mbalimbali.
      Sio kweli acheni kudanganya watu. Hiyo asilimia arobaini (40%) umeipataje? Ni chi ya Tanzania au nchi nyingine?Mimi mwenyewe ni mfanyakazi serikalini.
      Last edited by nickname; 24th December 2010 at 19:34.

    8. FemaTV & Radio

    9. #146
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,034
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      218
      Likes Given
      677

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      MADA NZURI...INAJITOSHELEZA.....u-vyama utaharibu mada hii soon.......!
      BILA RUSHWA..HAKI HAIPATIKANI....TOA RUSHWA UPATE HAKI.....(?)
      RUSHWA NA TANZANIA DAM-DAM.....!
      TAASISI IPI RUSHWA KWAO MWIKO?
      NASEMA KWA KUWA YAMENIKUTA......!

    10. #147
      Akili Kichwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Location : In da Skull
      Posts : 1,498
      Rep Power : 775
      Likes Received
      150
      Likes Given
      80

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      kodi hapo ni mija tu, PAYE............ zingine si kodi ni michango, tena kwa faida ya mfanyakazi mwenyewe............ mfano NSSF/PPF/GEPF/PSPF/NHIF nk.................

      pia usipotoshe mada.......... hakuna kitu kama "kodi ya vyama vya wafanyakazi, ile ni michango tu.......... kuna tofauti kati ya kodi na michango.............. na kumbuka viwango fulani vyua mishahara vimesamehewa kodi hiyo ya PAYE mfano wa kima cha chini haukatwi hiyo kodi............ mishahara mkubwa pia ina marupulupu kama nyumba nk nayo yanapandisha hizo fugures juu..........

      hebu ongeza bidii kidogo ya utafiti wako kisha uje na kitu kinachoeleweka................ ...
      IF YOU HAVE NOTHING TO DO, DONT DO IT HERE!!!!

    11. #148
      wikolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 449
      Rep Power : 524
      Likes Received
      129
      Likes Given
      59

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Kwa vyovyote vile itakavyotafsiriwa, kodi ya mfanyakazi wa Tanzania ni kubwa mno kwa system hiyo ya PAYE. Ikumbukwe pia kwamba bado tunaendelea kulipa na kodi zingine kama VAT kwa kila bidhaa tunazozinunua. Ipo haja ya wahusika kulitazama hili,wasiwe wanategemea tu kodi za wafanyakazi kwani bado kuna maeneo mengine wangeweza kupata pesa ispokuwa aidha wamesamehe ama wanafanya kama hawayaoni maeneo hayo kwa makusudi.

    12. #149
      FirstLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2007
      Posts : 537
      Rep Power : 694
      Likes Received
      102
      Likes Given
      88

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Hata mimi hii huwa inaniumiza sana kwa nchi yetu hii.sijui hawa viongozi wanafikiria nini maana hata wakikupandishia mshahara ni kazi bure maana makato nayo yaongezeka.tena hizi agency za serikali hadi posho za vikao unakatwa kodi.inaudhi sana
      " Kama maisha ni magumu achana nayo fanya kitu kingine "

    13. #150
      FirstLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2007
      Posts : 537
      Rep Power : 694
      Likes Received
      102
      Likes Given
      88

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Quote By nickname
      <br />
      <br />
      Sio kweli acheni kudanganya watu. Hiyo asilimia arobaini (40%) umeipataje? Ni chi ya Tanzania au nchi nyingine?Mimi mwenyewe ni mfanyakazi serikalini.
      labda kama wewe ni mfanyakazi wa serikali nyingine lakini sio Tanzania.jambo liko wazi usichoelewa ni nini?tena nyie wafanyakazi wa serikali ndo mnatia huruma zaidi maana unalipwa 320,000 na kadigrii kako lakini hadi makato unapokea laki mbili.
      " Kama maisha ni magumu achana nayo fanya kitu kingine "

    14. #151
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,416
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      588
      Likes Given
      404

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Quote By FirstLady
      Hata mimi hii huwa inaniumiza sana kwa nchi yetu hii.sijui hawa viongozi wanafikiria nini maana hata wakikupandishia mshahara ni kazi bure maana makato nayo yaongezeka.tena hizi agency za serikali hadi posho za vikao unakatwa kodi.inaudhi sana
      PAYE ndiyo chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
      Kumbukeni nchi hii hatuna dhahabu, almasi, mbuga za wanyama wala raslimali yo yote ile ya kutuingizia fedha. Ila tunategemea PAYE, Sigara na Pombe.

      SOURCE: Government Budget

      kwa maswali zaidi muulize JK (Head of state and chairman of ruling party) may be he has more clarification.

      Kama ni kutaka kuondoa umaskini kwa watanzania, kwa maliasili tuliyo nayo PAYE haipaswi kuwa zaidi ya 5%. Tatizo ni kuwa we dont have Visionary Leaders.
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    15. #152
      Jethro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 1,959
      Rep Power : 921
      Likes Received
      206
      Likes Given
      0

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Quote By Mr. President
      1. Mshahara Tshs 1,000,000 unabakiwa na Tshs 620,000 take home.
      2. 1,500,000 baada ya kodi zote utabakiwa na 9,000,000 hivi
      3. 3,000,000 baada ya kodi zote utabakiwa na 1,790,000 hivi
      4. 4,200,000 baada ya kodi zote take home = 2, 400,000 hivi
      hiki ni kiwango ni kikubwa sana, ni sawa na kumlipa mfanyakazi
      almost nusu ya mshahara, wafanayakazi wanaumia sana kumbuka bado tunaliapa kodi zifuatazo.
      Umeme, maji, majengo, viwanja, magari, bidhaa zote zimebebeshwa kodi kwa mlaji, so if u add hapo juu kwa mwezi mfanyakazi anaweza kuwa analipa 62% kama kodi, na kubakiwa na 38% ndio fedha zake, Serikali inatakiwa ipunguze kodi atleast baada ya makato yote max iwe 30%
      wafanyakazi wameumia na wanazidi kuumia, serikali i act quickly
      Kama yaliyo tajwa hapo juu ni kweli basi hata huduma Hospitali za serikali inapaswa iwe bure esp kwa akina mama na watoto basi


    16. #153
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,066
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      478
      Likes Given
      72

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Wafanyakazi wa TZ hawalioni hilo...................... JK aliwatisha kwenye swala la kuongeza mishahara mpaka sasa hatujawasikia tena na yule jamaa sijui Mgaya naye kapotea. Sasa kama wanashindwa kunegotiate mishahara yao wataweza kunegotiate makato ya kodi kweli???
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    17. #154
      mjombajona's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 48
      Rep Power : 448
      Likes Received
      3
      Likes Given
      7

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      "...........ongeza na za kwako"!

    18. #155
      Madcheda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2009
      Posts : 363
      Rep Power : 594
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mr. President
      wafanyakzi wanaumia sana jamani, wether ni wa Private sector au Government, look this, baada ya deductions PAYE, PSPF/NSSF, NHIF na kodi ya vyama vya wafanyakazi( TUGE etc) is amounting up to 40% as makato ya mshahara, yaani mfanayakazi anabakiwa nakiwango hiki
      1. Mshahara Tshs 1,000,000 unabakiwa na Tshs 620,000 take home.
      2. 1,500,000 baada ya kodi zote utabakiwa na 9,000,000 hivi
      3. 3,000,000 baada ya kodi zote utabakiwa na 1,790,000 hivi
      4. 4,200,000 baada ya kodi zote take home = 2, 400,000 hivi
      hiki ni kiwango ni kikubwa sana, ni sawa na kumlipa mfanyakazi
      almost nusu ya mshahara, wafanayakazi wanaumia sana kumbuka bado tunaliapa kodi zifuatazo.
      Umeme, maji, majengo, viwanja, magari, bidhaa zote zimebebeshwa kodi kwa mlaji, so if u add hapo juu kwa mwezi mfanyakazi anaweza kuwa analipa 62% kama kodi, na kubakiwa na 38% ndio fedha zake, Serikali inatakiwa ipunguze kodi atleast baada ya makato yote max iwe 30%
      wafanyakazi wameumia na wanazidi kuumia, serikali i act quickly


      Me kinachoniuma kwakweli ni suala la rais,makamu wa rais,mawaziri na wabunge kutolipia kodi na PAYE katika mishahara yao,mana naona sbb wao they don't feel the pitch ndo maana wanatugandamiza sisi, suala ni kushinikiza na wao walipe tu,katika izo milioni 7 sijui wakipata milioni 4 after tax watapunguza kodi kwa mtu mmoja mmoja na kutafuta kodi kwenye vyanzo vikubwa kama madini na coperate tax

    19. #156
      Kiresua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2009
      Location : DAR/MOROGORO
      Posts : 899
      Rep Power : 689
      Likes Received
      175
      Likes Given
      620

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Nick Name,
      angalia fomula ifuatayo
      hata mm nilishtuka nilipoona mtu analipwa 4,200,000 anabakiwa na 2,200,000 lakini nilipopiga mahasabu nikafreez babisa sas angalia hapa chini

      kwa mishahara inayozidi 740,000 (PAYE = 30% of the amount exceeding 740,000 + 120,000) hapa tutapiga hesabu za PAYE na NSSF/PPF tu halafu uone

      4,200,000 - 420,000 10% of Social Security contribution sababu SS hailipiwi kodi so inabaki 3,780,000

      3,780,000 - 740,000 = 3,040,000x30% = 912,000 the Jumlisha na 120,000 flat rate unapata 1,032,000 hii ni kodi tu sasa angalia makato yote ni (Kodi+SS+ Makato mengine NHIF, TWICO, TAWGLU nk) hapa tunaangalia KODI na SS tu) === 1,032,000 (PAYE) + 420,000 (Your 10% contribution) Jumla ni 1,452,000 ongeza makato yako mwenyewe

      so 4,200,000 - 1,462,000 = 2,748,000 THIS IS YOUR TAKE HOME (Na yanaweza kuwa chini zaidi ukiweka makato mengine) so kama unafanya kazi serikalini tuambie hili

      KODI ni based on the 2008 rates zinaweza kuwa pia zimeongezeka. kodi hii inalipia kampeni za ciciem ughhhhh!!!

      Siku njema

    20. #157
      Mundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2008
      Posts : 1,680
      Rep Power : 879
      Likes Received
      228
      Likes Given
      22

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Quote By xper27


      Siku njema
      Siku njema itatoka wapi wakati mambo yenyewe ndio hayo?
      Mswahili jambo la kipumbavu likisemwa kizungu, anaona sawasawa kabisa!! J.K.Nyerere

    21. #158
      Makindi N's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,038
      Rep Power : 782
      Likes Received
      127
      Likes Given
      147

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Kwanini usiwe fisadi sasa, maana hela ya ufisadi haina kodi. Mtanzania yeyote anaelipwa mathalani hata 2,000,000/= monthly tax anayokatwa ni kubwa kuliko kodi anayolipa owners wa mabasi kama Abood etc kwa mwezi, ambao japo magari kila cku yanajaa lakini wana-bargain na TRA, na ukichanganya na kale karushwa ketu, yaani in short serikali inategemea zaidi kodi za wafanyakazi.
      Leo Tolstoy once said "Everybody thinks of changing the world, no one thinks of changing himself"

    22. #159
      Kiresua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th May 2009
      Location : DAR/MOROGORO
      Posts : 899
      Rep Power : 689
      Likes Received
      175
      Likes Given
      620

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Akili Ku Mkichwa Mundu!! dugu yangu wee wacha tu

    23. #160
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,066
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      478
      Likes Given
      72

      Default Re: 40% ya mshahara inakatwa kama kodi, kodi hii kubwa mno, tunapendekeza 30% period

      Quote By Madcheda
      Me kinachoniuma kwakweli ni suala la rais,makamu wa rais,mawaziri na wabunge kutolipia kodi na PAYE katika mishahara yao,mana naona sbb wao they don't feel the pitch ndo maana wanatugandamiza sisi, suala ni kushinikiza na wao walipe tu,katika izo milioni 7 sijui wakipata milioni 4 after tax watapunguza kodi kwa mtu mmoja mmoja na kutafuta kodi kwenye vyanzo vikubwa kama madini na coperate tax

      Hii ni kali ya mwaka!! Yaani vigogo hawalipi kodi??? Hii nafikiri ipo TZ tu...........................S ijasikia mtu anapata mshahara harafu halipi kodi....Huu uamuzi ulikuwa based on what???
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    24. Miaka 50
    Page 8 of 12 FirstFirst ... 678910 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 7th June 2012, 16:29

    Similar Topics

    1. Kanuni mpya ya PAYE
      By NewDawnTz in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 33
      Last Post: 6th December 2011, 16:08
    2. Replies: 0
      Last Post: 2nd August 2011, 15:44
    3. jamni kodi yangu, PAYE,VAT etc
      By RealTz77 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 25th April 2011, 16:29
    4. KUKWEPA KODI Ya PAYE
      By HIMO ONE in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 14th April 2011, 10:54
    5. Je, Wabunge wa Tanzania wanalipa PAYE?
      By kichwat in forum Business & Economic Forum
      Replies: 4
      Last Post: 26th March 2011, 10:53

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...