Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

    Report Post
    Page 12 of 12 FirstFirst ... 2101112
    Results 221 to 223 of 223
    1. #1
      Kandambilimbili's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 11th November 2008
      Location : MGONGONI KWAKO
      Posts : 784
      Rep Power : 697
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Angry PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

      Juzi juzi wakati nikitafakari sherehe za mei mosi niliingia kwenye kabati yangu nikaanza KUPERUZI salary slips zangu nikiangalia namna ninavyotendewa na hao wanaojiita waajiri. Kitu kimoja nilichokigundua ni kuwa wafanyakazi tunalipa sana KODI kuliko mtu yeyeto DUNIANI.

      Tubalipa indirect tax sawa sawa na watu wengine wote wanaopata huduma na bidhaa tofauti tofauti.

      Tofauti na wafanyabiashara wanaolipa kodi kwenye faida, yaani NET PROFIT sisi tunachanjwa P.A.Y.E kwenye gross salary.

      TATIZO LANGU HAPA ni kuwa hii PAYE ni kubwa sana kwanini badala ya kupigana eti tuongezwe mishahara huku tukijua na mzigo wa kodi utaongezeka kadiri mishahara inavyoongezeka tusijipange kwa pamoja tupiganie PAYE ipungue??

      Najua serikali wanaipenda sana kwani inakusanywa kirahisi sana na garama POA kabisa, kama kweli JK wenu anataka Maisha bora kwa kila mtanganyika basi PAYE ipungue na kodi za kufidia zitafutwe mahali pengine kama kupunguza misamaha ya kodi, kupunguza matumizi MAKUBWA ya serikali, na Kuwa makini na wafuatiliaji wa maliasili zetu kama samaki na madini?????

      Vyama vya wafanyakazi mko wapi???? hivi huwa mnachaguliwa kwakuwa mna CV zenu au uwezo wenu wa kuhamasisha migomo??????

      NAWASILISHA.
      Ogah, NATA, Flora Mtimba and 3 others like this.


    2. #221
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,783
      Rep Power : 22096
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      859

      Default Re: PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

      NIlisoma report ya Jaji Bomani PAYEE inacontribute kama 17% ya mapato ya nchi na wanaokamuliwa hawazidi 3mil!
      Haya ni mateso kwa wafanyakazi bse hawaoni nafuu ya maisha in return of the tax wanazokatwa ie polisi kila kitu walipia mpaka karatasi,hospital ndo usiseme,
      Simaanishi kuwa izo huduma zitolewe bure ila angalau kuwe na unafuu fulani mtu afeel kuwa kodi yangu imetumika
      Nasikia Mramba ndo alituingiza mkenge wa % kubwa ya PAYEE
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    3. #222
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1175
      Likes Received
      77
      Likes Given
      42

      Default Re: PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

      PAYE = PAY AS YOU EARN! Lipia kadiri upatavyo,=the higher you earn the more you should pay tax=>progressive tax! No question about that? The issue is why should only employees in the formal sector should pay as they earn while the public services they get such as healthy, water, education, security etc do not equate the PAYE suffered? why can't we widen the tax base here and lower the tax threshhold?Uvivu wa kufikiri tu, tunataka miteremko inayowaumiza wachache tu!
      Ogah likes this.
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    4. #223
      Ogah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 5,702
      Rep Power : 21825
      Likes Received
      753
      Likes Given
      3281

      Default Re: PAYE: Wafanyakazi mna maoni gani?

      Quote By Next Level View Post
      PAYE = PAY AS YOU EARN! Lipia kadiri upatavyo,=the higher you earn the more you should pay tax=>progressive tax! No question about that? The issue is why should only employees in the formal sector should pay as they earn while the public services they get such as healthy, water, education, security etc do not equate the PAYE suffered? why can't we widen the tax base here and lower the tax threshhold?Uvivu wa kufikiri tu, tunataka miteremko inayowaumiza wachache tu!
      Mkuu asante sana..............yaani angalia MIJITU yenyewe ndio akina "Mgimwa"....mvivu wa kuongea, kupanga hoja hata kufikiri.......yaani limeingia juzi tu.....limeshindwa kusoma bajeti na kuipanga ili kuleta nafuu kwa mtanzania wa kawaida.........lenyewe limemeza tu na kusoma bungeni............yaani siku zote bungeni lilikuwa linalala.....ni kama halijui uchumi na hali ya maisha ya watu walio wengi.........I hate to write like this.........damn!
      Next Level likes this.

    Page 12 of 12 FirstFirst ... 2101112

    LinkBacks (?)

    1. 7th June 2012, 16:29

    Similar Topics

    1. Kanuni mpya ya PAYE
      By NewDawnTz in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 33
      Last Post: 6th December 2011, 16:08
    2. Replies: 0
      Last Post: 2nd August 2011, 15:44
    3. jamni kodi yangu, PAYE,VAT etc
      By RealTz77 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 25th April 2011, 16:29
    4. KUKWEPA KODI Ya PAYE
      By HIMO ONE in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 14th April 2011, 10:54
    5. Je, Wabunge wa Tanzania wanalipa PAYE?
      By kichwat in forum Business & Economic Forum
      Replies: 4
      Last Post: 26th March 2011, 10:53

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...