Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

    Report Post
    Page 4 of 24 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 466
    1. #1
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Well, heshima mbele sana JF,

      - Ninaomba kusema tena na tena, we were Dead wrong na idea za Azimio La Arusha, infact ndilo limetufikisha hapa tulipo yaani tumekwama hili taifa, hatujui tunakokwenda wala tulikotoka. Halafu wanatokea wasomi wanaodai eti turudi kwenye Azimio, hilo Azimio limetushinda mwanzoni kwa nini kuna wanaoamini tutaliweza sasa?

      - Recently, nimeona wale wengi walioachwa kwenye uongozi wa juu yaani kwenye mlo, wakililia Azimio, halafu ninachukizwa sana ninapoona media inawapa free lunch hawa waliokosa mlo, sijawahi kuwasikia wakisema Azimio liliwahi kumfunga kiongozi gani wa juu mwizi, sijawasikia wakisema Azimio lilifanya nini cha maaana mpaka wanalilia!

      - Mwalimu, yes was the greatest ever, lakini Mwalimu alikuwa na mapungufu makubwa mawili, hakujua;- !. Uchumi 2. Sheria, hivi vitu viwili Mwalimu simply hakuvijua kama alivijiua basi hakuvitilia maanani, na ndivyo vinavyolitafuna taifa letu sasa akiwa hayupo!

      - WA-TANZANIA, KAMA TUNATAKA KUSONGA MBELE NA KIJIREKEBISHA TUACHANE NA MANENO YA AZIMIO LA ARUSHA, KWA SABABU NDILO HASA LIMETURUDISHA NYUMA SANA, LISIRUDI, LIENDE ZAKE, NA TUSILIJADILI MAANA NI SHETANI LILILOTURUDISHA NYUMA SANA, SASA TWENDE MBELE NA UBEPARI NA UTAWALA UNAOHESHIMU SHERIA NDIO THE BEST WAY MBELE!

      RESPECT PEOPLE!

      Mr. Willie @DSM City!

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Namshukuru sana JK Nyerere kwa kuhakikisha John Jumanne Malecela kamwe hawi Rais wa nchi hii, kumbe Nyerere aliona mbali, Guess kilaza kama huyu William ndio angekuwa mtoto wa Raia pangetosha hapa?

      Asante sana JK Nyerere na sisi wazalendo tutakuenzi kwa kuhakikisha huyu mchumia tumbo William bunge atakuwa analiangalia kupitia tv tu na siyo kuwa ndani ya nyumba kama Mbunge.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    4. #62
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Jasusi
      Marekani ni nchi ya kibepari lakini ina miiko ya uongozi. Bila miiko ya uongozi taifa linakuwa kama meli inayoyumba baharini bila kepteni kujua inakoelekea. Kwa mfano, Obama hawezi kumuajiri mkewe, mwanae, au ndugu yake katika serikali. Huo ni mwiko. Obama hawezi kuendesha kampuni ya biashara akiwa White House. Huo ni mwiko. Obama hawezi kumpigia mkuu wa polisi na kumtaka amwachie mhalifu fulani kwa sababu ni rafiki au ndugu yake Obama. Huo ni mwiko. Azimio la Arusha liliweka miiko ya uongozi ambayo ilifutwa na Mwinyi na Mzee Malecela pale Zanzibar na matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona. Kulaumu Azimio kwa matatizo tuliyo nayo Tanzania ni kuwa myopic. Kenya wamekuwa mabepari tangu walipopata uhuru. Tena wao viongozi wao walijinyakulia ardhi na mali za serikali bila aibu tangu enzi za Kenyatta, lakini ukienda mashambani Wakenya wanaishi maisha ya dhiki kuliko hata sisi Watanzania. Azimio la Arusha lilitoa matumaini ya maisha bora kwa Watanzania waliokuwa wanaishi vijijini ambao ni zaidi ya 80% ya population yetu. Mnaoshangilia kufa kwa azimio hamna lolote la kuonyesha ila tu kukithiri kwa wizi wa viongozi na ndiyo sababu kila mtu anakimbilia sasa kuwa mbunge ili ama achaguliwe kuwa waziri, atajirike kwa muda mfupi, au awe na maisha mazuri ya haraka kuliko Mtanzania wa kawaida.

      Jasusi,

      Miiko ya uongozi iliyopo Marekani inafuata misingi ya katiba na sio document ya vyama vya kisiasa. Tanzania ina katiba yake na Azimio la Arusha aliwezi kuwa juu ya sheria na katiba ya nchi.
      Jasusi, JokaKuu and The Boss like this.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    5. #63
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12250

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By W. J. Malecela
      - Mkuu Jasusi, heshima yako sana America kuna sheria, hakuna miiko ya uongozi you know better huko taifa huongozwa kwa sheria, matatizo ya Clinton na Monica yalitatuliwa na sheria sio miiiko ya uongozi, hapana!

      - Kenya wamekwua mabepari kwa muda mrefu kuliko sisi, ndio maana wana viwanda vingi kuliko sisi na pesa yao ni kubwa kuliko yetu, na pia Watalii wanawajali wao kuliko sisi, yaaani haya hata bila shule yanaeleweka sana kuwa ni matunda ya ubepari!

      William.
      Tofauti ni zipi kati ya sheria zinazowabana viongozi na miiko? Code of conduct? To me it is one and the same. Kiongozi anajua mipaka ya madaraka yake. Hili lilikuwepo Tanzania kabla ya hawa vilaza kutupeleka Zanzibar. Kiongozi ulikuwa hutakiwi kuwa share holder kwenye private companies. Unaweza kusema huo ni mwiko au sheria. The difference is the same. Leo sisi hatuna. Tanzania imegeuzwa kuwa shamba la bibi na watafunaji ni hao hao vilaza tunaowaita viongozi. That is all I am saying. Kenya walikuwa na viwanda tangia enzi za ukoloni. Kenya was a colony, Tanganyika was a trust territory. Waingereza kwa makusudi hawakujenga viwanda Tanganyika kwa sababu walijua wataondoka siku moja. Kenya ilibidi mau mau waingie msituni kuwaondoa kwa sababu kule Waingereza waliigeuza kuwa Rhodesia ya pili. Tumepata uhuru mwaka 1961 tulikuwa na kiwanda kimoja tu kikubwa, Tanganyika Packers. Nakumbuka nilipokuwa mdogo tulikuwa tunaletewa maziwa ya packet kutoka Nairobi, twice a week pale Musoma. Hatukuwa na hata kiwanda kimoja cha kusindika maziwa. Mafuta ya Kimbo, sabuni ya Omo, na dawa za Aspro, zote zilitoka Kenya. Hata tungeamua kuwa mabepari kuanzia 1961 sidhani tungeweza ku catch up na Kenya katika viwanda. Hiyo ni ndoto ya mchana.
      Bigirita and Nzi like this.

    6. #64
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12250

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Jasusi,

      Miiko ya uongozi iliyopo Marekani inafuata misingi ya katiba na sio document ya vyama vya kisiasa. Tanzania ina katiba yake na Azimio la Arusha aliwezi kuwa juu ya sheria na katiba ya nchi.
      Zakumi,
      Kwanza pongezi kwa Avatar mpya. At least najua sasa unazo buti za kutembelea mjini/mashambani badala ya zile ndala. Ni kweli miiko ya uongozi Marekani inafuata katiba. Lakini si wakati wote. Mwaka 1960 Kennedy aliposhinda urais, alimteua mdogo wake Robert kuwa Attorney General. Mpaka sasa Wamarekani watakwambia Robert Kennedy was the best attorney general ever, lakini baada ya hapo walipitisha sheria kwamba rais asimchague ndugu yake, mke wake au mtoto wake katika nafasi za kazi serikalini. Hili halikuwemo katika katiba, lakini walihofia kujengwa kwa himaya ya kifamilia na sheria ikatungwa kuzuia hili. Naliangalia azimio la Arusha, na hasa miiko ya uongozi katika mizani hii. Kanuni za uongozi si lazima ziwe kwenye katiba.
      JokaKuu and Zakumi like this.

    7. #65
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Ndahani
      It disturbs me to see we dont want to confront the fundamental and thorny issues that affects us today, without referring to Nyerere and his term in the office. The nature of the problems that we face today have got nothing to do with Nyerere. Kwa mfano, ningeona tatizo kama Nyerere angesaini mkataba wa miaka mia mbili na nchi au kampuni fulani ya nje ili kuiendesha bandari yetu au mbuga zetu za wanyama au hata migodi yetu.
      Nyerere hakufanya hivyo ila sisi tunafanya. Tukiulizwa tunasema tatizo ni kwasababu ya Nyerere na siasa zake. Tuache kuzidanganya nafsi zetu wenyewe. Tupambane na vizingiti vinavyoikabili Tanzania ya leo kwa ubunifu zaidi na matumizi sahihi ya vichwa vyetu.
      Naona tulio wengi nia ni kuwa viongozi wa wananchi bila hata kujua hao wananchi tutawafanyia nini. Anyway, labda like father like son. Who knows???!!!
      Ndahani,

      You quote my post, but you don't take time to read it. If you had read it, you would have found that I didn't mention Nyerere or his descendants or disciples.

      Brain is a terrible thing to waste. Miaka ya utekelezaji ya hizo siasa za Azimio la Arusha, watanzania mmepoteza muda mwingi kujifunza vitu vya kishambashamba na kushindwa kujenga capabilities za kuendesha nchi. Na haichangazi kwa viongozi wa sasa kushindwa kuendesha nchi. Kwani wakati nchi zingine zinafanya juhudi za kujenga capabilities zao, kazi zenu zilikuwa kuandamana na kukimbiza mwenge.
      TIMING and Ndahani like this.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    8. Miaka 50

    9. #66
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Jasusi
      Zakumi,
      Kwanza pongezi kwa Avatar mpya. At least najua sasa unazo buti za kutembelea mjini/mashambani badala ya zile ndala. Ni kweli miiko ya uongozi Marekani inafuata katiba. Lakini si wakati wote. Mwaka 1960 Kennedy aliposhinda urais, alimteua mdogo wake Robert kuwa Attorney General. Mpaka sasa Wamarekani watakwambia Robert Kennedy was the best attorney general ever, lakini baada ya hapo walipitisha sheria kwamba rais asimchague ndugu yake, mke wake au mtoto wake katika nafasi za kazi serikalini. Hili halikuwemo katika katiba, lakini walihofia kujengwa kwa himaya ya kifamilia na sheria ikatungwa kuzuia hili. Naliangalia azimio la Arusha, na hasa miiko ya uongozi katika mizani hii. Kanuni za uongozi si lazima ziwe kwenye katiba.
      Jasusi

      Kwikwikwi, nimepata viatu. Kwanza Marekani katiba is the supreme law of the land. Na sheria za nchi ni extensions za katiba. Kama walipitisha sheria ya kuzuia kuajiri ndugu, walichofanya ni ku-extend katiba.

      Sina Tatizo lolote na miiko ya uongozi ambayo inafuata katiba ya jamuhuri wa muungano na sheria za nchi. Katiba JMT inasema kuwa mtanzania na haki ya kumiliki mali na kushiriki kwenye maamuzi ya kisiasa. Hivyo Mzee Mengi anazo haki zote za kikatiba na sheria kuwa rais wa nchi. Lakini kama anamiliki hotel ambayo ni nyumba ya kupangisha basi Azimio la Arusha linazuia haki hizo.

      Mbele yangu hapa nimefungua katiba ya nchi na azimio la Arusha.
      Jasusi likes this.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    10. Nzi
      #67
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,322
      Rep Power : 21625
      Likes Received
      945
      Likes Given
      828

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Jasusi,

      Miiko ya uongozi iliyopo Marekani inafuata misingi ya katiba na sio document ya vyama vya kisiasa. Tanzania ina katiba yake na Azimio la Arusha aliwezi kuwa juu ya sheria na katiba ya nchi.
      Zakumi. Sawa. Unaonaje sasa katika suala la kuandaa katiba mpya, tusianze kujadili namna ya kuchukua yale mazuri ya azimio ili yaweze kuwekwa kwenye katiba?
      Jasusi and Azimio Jipya like this.
      "You can't make a scene if you don't have little green"-------Jim Carrey

    11. #68
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Matola
      Namshukuru sana JK Nyerere kwa kuhakikisha John Jumanne Malecela kamwe hawi Rais wa nchi hii, kumbe Nyerere aliona mbali, Guess kilaza kama huyu William ndio angekuwa mtoto wa Raia pangetosha hapa?

      Asante sana JK Nyerere na sisi wazalendo tutakuenzi kwa kuhakikisha huyu mchumia tumbo William bunge atakuwa analiangalia kupitia tv tu na siyo kuwa ndani ya nyumba kama Mbunge.
      Una mapungufu ya kifikra. Willie na Mzee John ni watu wawili tofauti. Mzee Malecela hana shughuli zozote katika mjadala huu.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    12. #69
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Una mapungufu ya kifikra. Willie na Mzee John ni watu wawili tofauti. Mzee Malecela hana shughuli zozote katika mjadala huu.
      Ni heri yangu mwenye mapungufu ya kifikra kuliko wewe mwenye Fikra mgando, hata kama Mzee Malecela hana shughuli yoyote kwenye mjadala huu mwambie shoga yako William asahau kuwa Mbunge ndani ya nchi hii, Bunge letu siyo kijiwe cha ku accommodate Failures & losers.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    13. #70
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Nzi
      Zakumi. Sawa. Unaonaje sasa katika suala la kuandaa katiba mpya, tusianze kujadili namna ya kuchukua yale mazuri ya azimio ili yaweze kuwekwa kwenye katiba?
      Wengi mnaolitetea Azimio la Arusha, mnapenda kanuni za uongozi. Kanuni za uongozi ni code of ethics. Code of ethics zinaweza kuwepo katika sheria za nchi, kanuni za uendeshaji wa vyombo mbalimbali.

      Mwanafunzi anapokuwa shuleni anatakiwa asi-copy kazi ya mtu. Daktari anatakiwa atoe huduma kwa kila mgonjwa. Mwanasheria anatakiwa asiwe biased, n.k

      Code of ethics zinabadilika kutokana na mabadiliko ya jamii. Hivyo hazina nafasi katika katiba.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    14. #71
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Matola
      Ni heri yangu mwenye mapungufu ya kifikra kuliko wewe mwenye Fikra mgando, hata kama Mzee Malecela hana shughuli yoyote kwenye mjadala huu mwambie shoga yako William asahau kuwa Mbunge ndani ya nchi hii, Bunge letu siyo kijiwe cha ku accommodate Failures & losers.
      Posti yako inazungumza mengi yanayokuhusu. William hawezi kuwa mbunge bila ya ruhusa ya watu wajimbo lake na sio JF.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    15. #72
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Posti yako inazungumza mengi yanayokuhusu. William hawezi kuwa mbunge bila ya ruhusa ya watu wajimbo lake na sio JF.
      Misukule @ work, nyinyi ndio mnaompotosha huyu kilaza na nia yenu ni kumlia pesa zake alizobeba mabox kwa zaidi ya miaka 23 NYC.
      TIMING and Mwakalinga Y. R like this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    16. #73
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Nzi
      Zakumi. That is too low mzee. Read between the lines in my post.

      Nimesema ukitoa sura ya kwanza,azimio bado lina mambo mengi ya msingi kwa taifa letu. Sasa unapokuja na hoja ya nisome sura ya kwanza,nakushangaa.

      Hakika nakwambia,licha ya mapungufu ya azimio hilo,lina mambo mazuri. Jambo la msingi kwetu ni kujadili namna gani tuliboreshe. Tuchukue mazuri yake tuchanganye na mazuri ya ubepari,then tunakua na mfumo mchanganyiko ambao unakuwa na manufaa kwa taifa nzima.

      Nzi,

      Watanzania ni wavivu wa kujisomea na kujiendeleza. Mambo mazuri ya Azimio la Arusha yanapatikana katika documents nyingi duniani. Kwanini tusifunue upeo na kuangalia mambo mengine.
      Nzi likes this.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    17. #74
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,090
      Rep Power : 12253
      Likes Received
      6015
      Likes Given
      6854

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Ndahani,

      You quote my post, but you don't take time to read it. If you had read it, you would have found that I didn't mention Nyerere or his descendants or disciples.

      Brain is a terrible thing to waste. Miaka ya utekelezaji ya hizo siasa za Azimio la Arusha, watanzania mmepoteza muda mwingi kujifunza vitu vya kishambashamba na kushindwa kujenga capabilities za kuendesha nchi. Na haichangazi kwa viongozi wa sasa kushindwa kuendesha nchi. Kwani wakati nchi zingine zinafanya juhudi za kujenga capabilities zao, kazi zenu zilikuwa kuandamana na kukimbiza mwenge.
      I think tatizo halikua Azimio la arusha, tatizo kama kawaida ilikua ni ile process management

      Mimi mara nyingi huwa najiangalia kama mtanzania na tabia yetu ya "easy way out" or "easy does it"

      Ukichunguza hata ubepari ulipokuja, asilimia kubwa yetu ilikomalia yaliyo rahisi, this could a mindset, vizazi vilivyotangulia au hata genetic... haiwezekani wachagga wajue pesa halafu directly tuwaone wana tamaa na mmakua awe bize kwenye ngoma, ngono na majungu, then tusingizie ujamaa... KAMWE

      As always, we tend to put blames on someoen else, and in many cases anakua either mtoto mdogo, marehemu au siyekuwepo

      HII MADA NI NZURI, ILA IMEANZA NA BLAME GAME, DEAD END ETC!!! WE COULD USE IT POSITIVELY KAMA MCHAMBUZI NA WENGINE WANAVYOJARIBU KUTUSAIDIA

      HATA UNGEKUA UBEPARI NDIYO SERA YA 1967, BADO WATANZANIA TUNGEISHIA KUULAANI, KUUTUKANA NA KUUKASHIFU, WE HAVE THAT CURSE SOMEHOW
      Jasusi, Azimio Jipya and Ndahani like this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    18. Nzi
      #75
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,322
      Rep Power : 21625
      Likes Received
      945
      Likes Given
      828

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Wengi mnaolitetea Azimio la Arusha, mnapenda kanuni za uongozi. Kanuni za uongozi ni code of ethics. Code of ethics zinaweza kuwepo katika sheria za nchi, kanuni za uendeshaji wa vyombo mbalimbali.

      Mwanafunzi anapokuwa shuleni anatakiwa asi-copy kazi ya mtu. Daktari anatakiwa atoe huduma kwa kila mgonjwa. Mwanasheria anatakiwa asiwe biased, n.k

      Code of ethics zinabadilika kutokana na mabadiliko ya jamii. Hivyo hazina nafasi katika katiba.
      Mkuu Zakumi, yaani unaweza ukatoa conclusive statement kama hiyo kweli? Umesoma bandiko langu la awali la kumjibu @W.J.Malecela?
      Mimi sitetei azimio katika msingi wa hizo code of ethics pekee; ninasema kuna mambo mazuri ambayo yapo katika azimio, mambo ambayo bado yana maana kwa mustakabali wa taifa letu. Masuala la kujitegemea na maendeleo yenye kuzingatia walio wengi (hapa nazungumzia kutilia mkazo kilimo na wakulima wadogo wadogo, kwani ndiyo walio wengi). Haya yapo zaidi ya code of ethics.


      Licha ya hayo, mbona hatuoni hizo code of ethics zikatiliwa mkazo? Au unataka kumaanisha kwamba, Tanzania sasa haina code of ethics kwa vile zinabadilika kutokana na mabadiliko ya jamii? Seriously??!? Hata code of ethics zilizobadilika na mabadiliko ya jamii sioni kama zipo au zinafanya kazi.

      Halafu mkuu, ni kweli kuna haja ya code of ethics kwa viongozi na watumishi wa umma kubadilika kutokana na mabadiliko ya jamii? Unataka kumaanisha kutokana na mabadiliko fulani, itafika kipindi daktari pale Muhimbili atapaswa kutoa huduma kwa matajiri au masikini tu?! Au jaji/hakimu wa mahakama, itafika kipindi atapaswa atoe hukumu kwa kupendelea upande fulani, bila kuzingatia taratibu za kisheria?! Seriously??!

      Azimio Jipya and TIMING like this.
      "You can't make a scene if you don't have little green"-------Jim Carrey

    19. #76
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Matola
      Misukule @ work, nyinyi ndio mnaompotosha huyu kilaza na nia yenu ni kumlia pesa zake alizobeba mabox kwa zaidi ya miaka 23 NYC.
      You are a sad product of Azimio la Arusha.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    20. #77
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Nzi,

      Watanzania ni wavivu wa kujisomea na kujiendeleza. Mambo mazuri ya Azimio la Arusha yanapatikana katika documents nyingi duniani. Kwanini tusifunue upeo na kuangalia mambo mengine.
      Kwakuwa wewe ni Mtanzania nina uhakika ulijitazama na ukajitathimini na ukafikia hitimisho kwamba hivi ndivyo ulivyo, umechelewa sana kudeclare hili otherwise usingetusumbuwa akili Watu tunaojisomea na ambao tumeendelea maana hatuna hitaji la kujiendeleza.
      Nilikuwepo....
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    21. #78
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Nzi
      Mkuu Zakumi, yaani unaweza ukatoa conclusive statement kama hiyo kweli? Umesoma bandiko langu la awali la kumjibu @W.J.Malecela?
      Mimi sitetei azimio katika msingi wa hizo code of ethics pekee; ninasema kuna mambo mazuri ambayo yapo katika azimio, mambo ambayo bado yana maana kwa mustakabali wa taifa letu. Masuala la kujitegemea na maendeleo yenye kuzingatia walio wengi (hapa nazungumzia kutilia mkazo kilimo na wakulima wadogo wadogo, kwani ndiyo walio wengi). Haya yapo zaidi ya code of ethics.


      Licha ya hayo, mbona hatuoni hizo code of ethics zikatiliwa mkazo? Au unataka kumaanisha kwamba, Tanzania sasa haina code of ethics kwa vile zinabadilika kutokana na mabadiliko ya jamii? Seriously??!? Hata code of ethics zilizobadilika na mabadiliko ya jamii sioni kama zipo au zinafanya kazi.

      Halafu mkuu, ni kweli kuna haja ya code of ethics kwa viongozi na watumishi wa umma kubadilika kutokana na mabadiliko ya jamii? Unataka kumaanisha kutokana na mabadiliko fulani, itafika kipindi daktari pale Muhimbili atapaswa kutoa huduma kwa matajiri au masikini tu?! Au jaji/hakimu wa mahakama, itafika kipindi atapaswa atoe hukumu kwa kupendelea upande fulani, bila kuzingatia taratibu za kisheria?! Seriously??!

      Nzi,

      Kuhusiana na masuala ya kujitegemea na maendeleo ya walio wengi Azimio isn't a sound guidance. Kumwambia masikini maneno matamu haina kuwa unamsaidia.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    22. #79
      Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2007
      Location : Tanzania
      Posts : 2,830
      Rep Power : 10815
      Likes Received
      3758
      Likes Given
      2738

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Zakumi
      Jasusi,

      Miiko ya uongozi iliyopo Marekani inafuata misingi ya katiba na sio document ya vyama vya kisiasa. Tanzania ina katiba yake na Azimio la Arusha aliwezi kuwa juu ya sheria na katiba ya nchi.
      Upo sahihi kabisa lakini kwa bahati mbaya sana, nchi yetu ilikuwa inaongozwa na katiba ya CCM kama ndio katiba ya nchi kwa miaka mingi sana mpaka umma/upinzani ulipoanza kuamka. Katiba ya nchi ilikuwa inapuuzwa. isitoshe, Tanzania ilikuwa haina katiba kwa kipindi cha miaka 12 i.e 1964 - 1977, katika kipindi hiki, tulikuwa na katiba ya mpito. Na hata hiyo katiba ya 1977 mara nyingi sana ilikuwa haifuatwi na kuheshimiwa kama katiba katiba ya CCM.
      JokaKuu, Azimio Jipya and Albedo like this.
      "In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU."

      J.K Nyerere, 1968.

    23. #80
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

      Quote By Matola
      Kwakuwa wewe ni Mtanzania nina uhakika ulijitazama na ukajitathimini na ukafikia hitimisho kwamba hivi ndivyo ulivyo, umechelewa sana kudeclare hili otherwise usingetusumbuwa akili Watu tunaojisomea na ambao tumeendelea maana hatuna hitaji la kujiendeleza.
      Nilikuwepo....
      Nenda kajisomee Azimio la Arusha.
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    Page 4 of 24 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...