Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nani wa kutukomboa?!

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Kabengwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2009
      Location : Kusadikika
      Posts : 220
      Rep Power : 536
      Likes Received
      12
      Likes Given
      12

      Default Nani wa kutukomboa?!

      Matatizo ya Nchi yetu yameongelewa kwa wingi wake na sasa imefikia hatua wananchi wanakata tamaa na kuona hawana cha kufanya juu ya yanayoendelea kutokea katika nchi yao. Hawawezi tena kukabiliana na ufisadi, hawana imani na vyombo vya ulinzi na usalama, hawana imani na wanasiasa, na sasa imefikia hata wao kwa wao hawaaminiani tena.

      Ila wamejawa na matumaini wakiamini na kusubiria kwa hamu waje kuiona siku ya ukombozi, siku ambayo atatokea "masiha" ambae ataondoa shida zote za wananchi wa Tanzania kwa kuboresha huduma za afya, malipo bora kwa wafanyakazi wa sekta za afya, barabara za lami kila kona ya Tanzania, Mafisadi kushughulikiwa, mikataba bora yenye manufaa kwa taifa. Wanaishi wakisubiri kuona Usafiri wa uhakika wa Treni kwenda kwetu Kigoma, Mishahara ya wafanyakazi wa serikalini ikiboreshwa, kima cha chini kikiongezwa maradufu, wabunge wakiwatumikia wananchi, polisi na vyombo vingine vya usalama vikitenda haki kwa raia, bunge likijadili masuala ya msingi ya kitaifa, na wananchi waliokata tamaa wakijawa na uzalendo wa hali juu na tumaini jipya la hatma ya nchi na maisha yao, na mengine mengi mazuri unayoweza kuyataja. Kwa kifupi wanaisubiri kwa hamu kubwa sana siku ambayo nchi ya Tanzania itageuka kuwa nchi ya asali na maziwa. Nchi yenye tumaini jipya na uhakika kwa neema isiyo na ukomo.

      Swali la kwa wanajamvi wenzangu;
      Je ni nani atake igeuza nchi yetu pendwa kuwa ya asali na maziwa?!
      Nani atakae leta tumaini jipya ndani ya mioyo ya Watanzania?!
      Nani atakae kuja kutuondolea shida na mahangaiko yanayotukabili sisi watanzania.?!
      Nani atakae kuja kujenga moyo wa uzalendo wa kweli juu ya nchi yetu ya Tanzania?!

      Huyo "Masiha" tunaemsubiria ajae kuiokomboa Tanzania na kuiletea neema tunayoifikiria na kuitamani ni Nani?!

      Je ni Dr. Slaa, au Mh. Harrison Mwakyembe, au Mh. Samwel Sitta, au Rais J. M. Kikwete, ama Mh. E Lowasa, au ni Magufuli, Membe, Yusuph Manji, Nchimbi, wawekezaji au Annanilea Nkya, au Asha Migiro, labda Mwamunyange, au Jaji Mkuu au Mwanakijiji, ama Kubenea au ni Reginald Mengi...

      Huyo "Masiha" tunaemsubiria kuja kutukomboa ni nani?!
      Invisible, Katavi and Baba Collins like this.


    2. #2
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,336
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      5036
      Likes Given
      5931

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Swali kuu ni:

      Je, mpo tayari?
      Jasusi and Kabengwe like this.
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    3. #3
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default

      Quote By Invisible View Post
      Swali kuu ni:

      Je, mpo tayari?
      Kama ni kukombolewa YES tupo tayari!
      Invisible and Kabengwe like this.

    4. #4
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,699
      Rep Power : 2911
      Likes Received
      3892
      Likes Given
      12472

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Quote By Kaunga View Post
      Kama ni kukombolewa YES tupo tayari!
      Na kushiriki kwenye harakati za kuleta ukombozi, je?
      Invisible, Kabengwe and Kaunga like this.

    5. #5
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,114
      Rep Power : 644
      Likes Received
      229
      Likes Given
      51

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Quote By Invisible View Post
      Swali kuu ni:

      Je, mpo tayari?
      Tuko tayari. Angalizo "wahuni kwa kutumia siasa wanatuongoza"
      Kabengwe likes this.


    6. #6
      Kabengwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2009
      Location : Kusadikika
      Posts : 220
      Rep Power : 536
      Likes Received
      12
      Likes Given
      12

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Quote By Jasusi View Post
      Na kushiriki kwenye harakati za kuleta ukombozi, je?
      Ushiriki wa watanzania katika suala la ukombozi ndiyo changamoto kubwa tuliyonayo. Na huyu ndie "Masiha" tunaemsubiri bila kujua.

      Hata kama Invisible akiamua kuanzisha harakati za ukombozi, kama hatutawajibika katika jamii zetu kutekeleza yale tunayopaswa kutekeleza kwa ajili ya ukombozi itakuwa ni kazi bure. Jitihada zake zote zitaonekana kuwa ni kelele na wivu dhidi ya watawala.
      Invisible, Katavi and Tyegelo like this.

    7. #7
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,931
      Rep Power : 16839
      Likes Received
      2650
      Likes Given
      2033

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Hakuna mtu atakayetukomboa zaidi yetu sisi wenyewe kujikomboa. Tukisubiri eti kuna mtu atakayetutoa hapa hadi katika maisha bora, tunajidanganya.
      Invisible and Sumba-Wanga like this.

    8. #8
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Quote By Jasusi View Post
      Na kushiriki kwenye harakati za kuleta ukombozi, je?
      Nipo tayari!
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    9. #9
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      873
      Likes Given
      938

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Quote By Katavi View Post
      Hakuna mtu atakayetukomboa zaidi yetu sisi wenyewe kujikomboa. Tukisubiri eti kuna mtu atakayetutoa hapa hadi katika maisha bora, tunajidanganya.
      Na zaidi yote hayo kuna mambo ya msingi ambayo ni muhimu sana kutufanya tuendelee. Kukombolewa na maendeleao ni zaidi ya barabara, majumba na mengine. Dubai kuna maendeleo makubwa, lakini waarabu hawajaendelea.

      It is altutude of mind.

      Are we ready to cnange our altitude?
      "A man's or woman's best or worst choice in life is his or her spouse"

    10. #10
      Gracious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Location : Republic of Tanganyika
      Posts : 643
      Rep Power : 601
      Likes Received
      304
      Likes Given
      405

      Default Re: Nani wa kutukomboa?!

      Ukombozi unaanzia kwa mtu binafsi
      "Peace under Poverty-This Scenario is only found in Tanzania,the friend of Tripolitania"

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...