Wandugu, salam za mida hii.
Natafuta hotuba ya "SABABU TUNAYO, NIA TUNAYO NA UWEZO TUNAO."
Nataka kusikia hizo "sababu tunazo" na hoja ya Rais ya kwenda vitani kwa mapana na urefu, badala ya kumbukumbu ya mstari mmoja tuliyokaririshwa toka udogoni.
Nitangulize ahsante.

Reply With Quote



Follow Us Here