re: Vita vya Kagera: Nini chanzo? Kulikuwa na ulazima?

By
Kichuguu
Nitakuja kutuo kumbukumbu yangu kuhusu swala hili nikipata muda mwafaka. Kuna historia ndefu kidogo inayounganisha vita hii kuanzaia madai ya uhuru wa Rhodesia ambayo leo ni Zimbabwe, makubaliano ya Mulungushi Club, Mkutano wa Commonwealth wa 1971 huko Singapore amabpo Obote alipinduliwa na Amini akiwa njiani, msimamo wa serikali ya Uingereza kuhusiana na mapinduzi yale na uteuzi wa Bob Astles, Vita ya Kagera mwaka huo huo wa 1971 iliyosababisha mkuu wa mkoa wa Kagera awe Mwanajeshi (Luteni Kanali Abdallah Twalipo), Mabomu ya Amini pale Mwanza, Makubaliano ya Mogadishu kuhusus amani mpakani mwa Tanzania na Kagera, Kuanguka kwa EAC mwaka 1977, na vita kamili hiyo ya Kagera ya mwaka 1978.
Hope that day will come soon ili tuweze kujua kwa undani mambo yanayohusu historia ya nchi yetu,
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Follow Us Here