re: Vita vya Kagera: Nini chanzo? Kulikuwa na ulazima?
Kuna kitu nimewai kusikia kwamba Mwalimu alinunua baadhi ya silaha kwa kutumia line of credit kutoka kwa baadhi ya Indian-Tanzania family. Jee hili lina ukweli gani? Nimewai kusikia kwamba watoto wa hizi familia wana simamia kesi mahakamani au wameshakwenda ICC concern malipo ya fedha hizo ambazo zilitumika kununulia silaha wakati wa vita vya amini.
Hizi ndio mada ambazo zilikuwa zinasisimua JF, naombeni ziwe zinarudi mara kwa mara ili wengi tufaidike.
If a free society cannot help the many who are poor, it cannot save the few who are rich.
Follow Us Here