Nilikuwa napitapita kwenye mambo ya mtandao,nikakutana na ki2 moja matata sana isitoshe cha kihome home,ukitaka everything unapata nikaona bora ni jiunge,ila kwanza ni wape hi wana na wakubwa...
Napenda kuwasalimu katika yeye anitiae nguvu.....
Tutakuwa pamoja katika kutoa maoni, burudani na ushauri kwa hii jamii blog,
tuache ubinafsi lete hoja na maoni humu tuzungumze...
asanteni kwa...
Kwa mara ya kwanza nimeamua kulog in kwenye forum hii baada ya kusikia utamu uliomo humu ndani. Naamini nitapokelewa kwa mikono miwili na wenyeji wangu humu ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.