SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS
Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:
1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.
2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
Nawasalimu kwa Jina la Mungu mwenye Rehema na upendo mkubwa!
Wana JF nimeingia Hapa kwenu leo nikigonga hodi Katika milango ya Mawazo yenu.
Nipokeeni kwa Moyo mkunjufu na Upendo kamili!
Tunayo pongezi kubwa kwa vijana wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu Ardhi kwa mwaka wa masomo 2013/14. Chuo kipo jijini Dar es Salaam karibu na UDSM.
Nianze kwa kukufahamisha jinsi ya...
Habari wana JF
Mimi ni mgeni humu naomba muongozo
Nategemea ushirikiano kutoka kwenu wote
Nitajitahidi kutoa ushiriano pia inapobidi
Ahsanteni
[emoji847]
Ni kitambo sasa sijamsikia, or rather hatujamsikia. Allivuma sana enzi za Misa Tan na uhariri Gurdian na jukwaa la wahariri, sasa hatumsikii tena. Kipindi anasikika sana alikuwa na vyeo hapa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.