Habrini wandugu,
Mwanadamu amepewa utashi ili ajitofautishe na viumbe wengine inakuaje mwanadamu unaruhusu watu wakose amani kukaa na wewe karibu kwasababu ya harufu ya mwili au kinywa?
Harufu...
Habari za jioni wanajamvi
Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje 🤔🤔.
Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta...
Corner sofa ndiyo habari ya town, ukiongeza na flat screen ukutani na TV table ya mstatiri.
Uzuri wa corner sofa mgeni anaweza kulala mpaka asubuhi omba tu asiwe kikojozi.
Kwa kweli ni mfuko tu...
Jamani hali gani?
Niruke kwenye hoja yangu. Mimi ni mwanaume handsome tu safi, ninajua kuvaa na nina vihela vya kubadili mboga na tugari. Nimekuwa nikipata shida mno kupata mwanamke wa kuingia...
Hivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi
Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa...
Kama ilivyo hali ya jua sasa ni likali sana, sio kwa wakazi wa Dar tu na maeneo mbalimbali...
Sasa nasema hivi unaanzaje kuacha kuoga na jua...
Habari wanajf
By the way mimi ni mweupe Ndio rangi yangu halisi Ila rangi yangu ya uso imebadilika nimekuwa maji ya kunde lakini sehemu zote zilizobakia rangi yangu imebaki Ile Ile nyeupe so...
Ila mikoani wadada kusema kweli mnatisha kwa jinsi mnavyojipodoa , mikoani ni mimi na wasiojipodoa unawakuta wapo natural na rangi zao za bilingani.
ILa wanaojipodoa wanaharibu kila kitu hujui...
Uzito mkubwa na unene ni moja ya changamoto kubwa inayowapata watu wengi sana katika maeneo mbalimbali hapa duniani.
Katika bandiko hilii tutazungumza baadhi ya mambo ambayo ni propaganda juu ya...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Sasa msimu wa mvua ndo huo umeanza yaani shikamoo mvua!
Msimu huu ni msimu ambao kwa suala la kufua nguo hua ni mgumu sana.
Sababu inayopelekea kuwa...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.
Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.
Ili kupunguza uzito basi...
Habari,
Husika na kichwa cha habari tajwa,
Baada ya nguo za kubana kuchukua nafasi ya mtindo uliopendwa sana...
Si wanaume Wala wanawake walivalia mtindo wa kubana suruali.
Wakabana na...
Mimi ni mpenzi wa vikoti fulani hivi vya kubana kwa mbali, hasa kutokana na umbo langu la mwili mwembamba kiasi.
Naomba kujuzwa chimbo kali la suti za Kikorea kwa Dar, ahsanteni na karibuni.
Men and grooming have finally become great friends in the last few years.
Ever since the likes of Saif Ali Khan made meterosexuality a fashion statement, men have been rushing to salons, spas and...
Poleni na kazi, nahitaji lotion inayonukia vizuri na ambayo haichubui. Nataka ngozi yangu ing'ae niwe muli muli, ngozi yangu iteleze.
Unaweza kwenda duka la urembo ukakuta mtu ana ngozi mbaya...
KABLA NA BAADA YA MAKEUP [emoji168] Kila sekunde ya maisha yako ogopa wanawake baada ya kuwaogopa wasanii wa Makeup. Itakushtua wakati vipodozi vitakapokwisha.
Hivi mnaotembea na kutingisha mzigo ni urembo au ni kitu gani,naona sielewi ,kusema kweli wananishughulisha vibaya mno kitu gani kinawafanya wawe wanaendaga kama wanakasolo.
Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo.
Jinsia yangu ni mme
Ahsanteni
Habari wadau kwema, niende moja kwa moja kwenye mada, ipo hivi naomba kujua ni mafuta gani? Yatanifaa kwa mtu kama mimi mwenye uso wenye mafuta,
Chunusi zinanisumbua kila nikipaka mafuta usoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.