Leo nimekutana na kituko cha mwaka aisee, nilikuwa maeneo ya Sinza napata chakula cha mchana ghafla jamaa akaja na mtu anakibeg mgongoni akakaa kwenye kitu huku wakiangaliana.
Baada ya muda...
Husika na maada,ukiangalia ni thread zangu nyingi katika jukwaa hili lilikua linauliza au kuzungumzia maswala yachunusi.
Nilishauliwa mengi sana,,kwanza nilitumia (magadi soda) hii ilianza...
Kwasasa,
Kwa Wanawake imekua ndio fashion ya mujini.
Gym za mjini zimejaa mikanda na spring za kubana mapaja ili Wanawake waupate huo uwazi unaowavutia wengi.
Wengine wamefika mbali zaidi kwa...
Waliobuni huu urembo wamejua kuniteka hamna kitu inavutia kama kuona kiuno cha mrembo chenye ngozi soft kilichopambwa na tattoo au shanga laini zilizolala kwenye nyama ya laini ...kwa kweli hua...
Habari za muda huu wana jamvi,
Msaada jamani namna ya kutoa mvi kichwani. Nina tatzo baadhi ya sehem kichwani mwangu mvi huwa zinajitokeza na bado sijafikia umri wa kuota mvi.
Habarin wana jamvi la mitindo na utanashati.
Baada ya miaka10, nimekutana na suruali yangu aina ya dickies..suruali niliyohifadhi katika bag la nguo ambazo hazitumik kwa muda mrefu sanaaaa leo...
Salaam wakuu na hongereni kwa kushiriki vita ya kuitokomeza corona
Katika kuweka mwili fiti nimeona Kuna mazoezi mawili yasiyohitaji eneo kubwa, na hata chumbani unaweza kuyafanya, nayo Ni...
Oneni huyu kaka[emoji1313]Hivi mwanaume unavaaje vikaptula vya aina hii?Hii ni aibu kwa taifa wanaume wa dar hapa mlipofika sasa mnataka kufanana na sisi dada zenu au[emoji1313]ndo uvaaji gani huu...
Habari jf
Nahitaji msaada wenu wa jinsi ya kutengeneza lotion zile wanaita za kudamshi, lengo hasa ni kwa ajili ya ujasiriamali..nitashukuru endapo atajitokeza mtu na kunifundisha..please
Habarini ndugu poleni na majukumu na Heri ya Mwendelezo Wa sikukuu.
Wakuu Nilikua naomba ushauri na design kuhusiana na ujenzi wa Gym ya watu kufanya cardio exercise
Asanteni Sana Wakuu.
Ukiachilia mbali Kufanya Mazoezi Kuna Suppliment Mbalimbali ambazo husaidia kukuza na kufanya Mwili uonekane fiti mfano; Kifua kiwe poa( kwa Wanaume)
SUPPLIMENT ambazo Nimewahi kuzisikia Ni...
Miswaki ya siku hizi haina ubora kiukweli.
Mi ni mtu nazingatia sana usafi wa kinywa ila naangushwa na miswaki ya siku hizi, Whitedent ndo ilikuaga miswaki yangu bora ila naona nao wameanza...
Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.
Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa...
Direct to the point, nataka kujua tu kwa uzoefu wenu wana JF hasa katika jukwaa hili la Urembo.
Naomba kujua kati ya body spray na roll-on deodorant ipi inafaa kwa matumizi zaidi nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.