Mahitaji
-Sukari ya brown kikombe kimoja
-Kahawa ya brown nusu kikombe
-Mafuta ya mzeituni nusu kikombe
-Lemon essential oil kijiko kimoja Cha chai(1tsp)
Hapo kwenye kikombe waweza tumia...
Habari zenu wapendwa? Naamini wote mko poa.
yna2 Leo nimeamua kuwaletea somo la namna ya kutengeneza mafuta ya kujaza ndefu kwa wanaume (natural beard balm).Mafuta haya siyo kwamba yatajaza ndevu...
Kwanini mmeamua kuvaa nguo za kubana tu?!
Ndilo dukuduku langu. Si wake za watu, si mabinti, si wasichana wadogo si watoto wadogo wakike! si gauni, si blauz, si sketi, si suruali!
Si kanisani...
Habari za muda huu.
Nakuja streatup kwenye mada hivi wazee wezangu mnawezaje kumaintain super black kichwani?
Maana mimi kila nikipaka wiki 2 simalizi tayar ishapotea au nitumie nini wakuu...
Swali kwenu wabobezi na watafiti wa hili jukwaa.
Huwa una shave shamba la kufugia nywele/kubebea meno (I mean kichwa cha juu) kila baada ya muda gani?
Ni wiki, wiki 2, mwezi au mwaka?
Binafs...
Heshima Yenu Wakubwa!
[emoji2321] Nije kwenye Mada Mimi ni kijana wa Miaka 21 now ,. sijui ni Tatizo ama zitachelewa kuota[emoji848]
Sina ndevu! nazitaka kweli yan NIFANYE NINI?.
natanguliza...
Waswahili wanasema tembea uone. Aijalishi utaona magorofa au nini wee tembea tu utachokiona ndo iko iko ulitakiwa ukione 😉
Miii katika tembea yangu nimekutana na kitu cha kustajabisha.
Nikiwa...
Mjumbe hauwawi leo nagusa penyeweee.
Sio wote ila 90% hii inawahusu.
Nafanya kazi hii kwa niaba ya kutetea wanawake wanaokereka na vitabia vyenu vya ajabu, wengi wamekuja kwangu wakilalamika...
Habari zenu, mim ni binti wa miaka 27, jamani mwenzenu nashindwa kabisa kujikubali na kujiamini kutokana na umbo langu na watu wananisema sana, jambo linalonifanya nizidi kujiona sipo vizuri.
Ni...
Hawa wadada wanakosa kujiamini tu, ila wakiwa bila make up, wanapendeza zaidi. Wengine hawajiamin wana fake sana.
Vipi, wew wapenda ma make up? Wewe mdada unaweza toka out bila make up...
Leo nineona nishare na nyie jambo zuri la kutengeneza mafuta ya nywele asili kabisa.
Faida zake,
1. Kuondoa mba
2. KUSAIDIA ukuaji Mzuri wa nywele
3. Kuongeza unadhifu wa nywele
4. KUSAIDIA...
Nilikuwa navaa saa mkono wa kushoto nilibadilisha baada ya kuona wanawake wengi wanavaa mkono huo niliamua kuvaa mkono wa kulia mpaka sasa.
Sababu kubwa iliyonifanya nibadilike ni mpenzi wangu...
Mko poa walimbwende,
Ngoja niwape darasa kidogo, kimsingi uvaaji wa nguo fupi kwa wanawake pia ni fasheni ya mjini nazungumzia gauni fupi,kimini au kikaptula(kichupi) ila nazungumzia zaidi vimini...
Hapo vip!
Nimejiuliza sana hili swali muda mrefu, miaka na miaka ila nimekosa jibu sahihi.
Wanawake wengi wa kiafrika wameamua kukana na kukataa asili yao na kuidharau kabisa tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.