Naomba kujua sababu inayofanya majani ya tikiti niliyopanda yananyauka na kukauka wakati ninamwagilia maji ya kutosha. Nilijaribu kuangalia mizizi yake nikaikuta mizima na yenye maji
Naomba pia...
Poleni na majukumu ndugu zangu.
Nilikuwa naomba kufahamishwa kilimo cha tunda hili mchakato mzima ukoje hadi kuvuna na soko lake likoje.jinsi ya kuandaa shamba na jinsi ya kupanda.
Wakati sahihi...
habari zenu wakubwa. naomba kufahamu kutoka kwa wataalam wa kilimo na udongo kuhusu issue ya soil sterilization. kwenye vipengele vifuatavyo
.maanake yake
.ina faida gani kwa mkulima kiujumla...
KILIMO CHA KISASA CHA GREENHOUSE (BANDA KITALU) NA FAIDA ZAKE
Na
Engineer Octavian Justine Lasway
Irrigation And water resources engineer
0763347985
info@greenagricultureskills.com
Green...
Hii ni biashara ninayoiwazia kuifanya siku zote, na kama sitaifanya mimi basi ningependa kuiona ikiwepo (sijajua kama ipo mahala popote, sijabahatika kujua kama ipo)
Game farming: Hii ni biashara...
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu , baada ya kumaliza masomo yangu nina plan ya kujishugulisha na kilimo hususani kilimo cha matunda yaitwayo MATIKITI MAJI.
Naomba kwa yeyote mwenye uzoefu ...
Habari za majukuu ndugu zangu,Nina mpango wa kufanya biashara ya kuuza mananasi lakini si na experiece nayo sana maana naona msimu wake umekaribia mwenye kujua vizuri biashara hii naomba anisaidie...
Habari Wadau wenzangu!
Nina siku 15 (Wki 2 nasiku 1) tokea nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nilianza na Majike 15 na jogoo 1, nashukuru leo tarehe 21/09/2014 nimekamilisha trei moja la...
Habari za uzima wajasiriamali wenzangu, nauza Mbegu za mlonge namajani yake, kwasasa sina majani makavu, kama utahitaji majani makavu naweza nikakutayarishia kwa spesho oda.kama unahitaji nipm
Nimekua nikifuga kuku aina ya broiler kwa mda, ila vifaranga vingi huwa vinaishiwa nguvu za miguu, na vingine huwa vinakuwa na matege kama msamba wa Van Damme, nataka kujua tatizo la vifaranga...
Nimenunua incubator machine yenye uwezo wa mayai 700.
Nimeweka mayai, ila kati ya 700 nimepata vifaranga 300 tuu.
Binafsi sijafurahi kwa sababu matarajio yangu yalikuwa at least 500.
Kuna mayai...
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni (kwa maana ya limited company) na kujiajiri ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na ujiiunue kiuchumi...
Habar wana jamii forums mimi ninataka kuanzisha mradi wa kufuga samaki ila sijui chocjotr kuusu mradi huo na ninahitaj ushaur maelekezo kwa yeyote mwenye ujuzi huoo ..kwani eneo husika ninalo...
Ndugu zangu natafuta mtaalamu ambaye atanishauri kuhusu banda, vifaranga, madawa na ufugaji mzima wa kuku wa kienyeji na wa kisasa. Pliz inbox kama upo maeneo ya jirani. Naishi Masaki DSM.
Bei Bei ni laki moja tu Kwa heka
Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea
Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.