Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari wapendwa, nimeanza ufugaji wa Kasuku toka mwaka juzi na inakwenda vizuri ningependa kupata wadau wenzangu wa Kasuku.
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Where can i get seeds for bismarckia nobilis palm shown below Francis WhatsApp +254 721 663 208
0 Reactions
0 Replies
101 Views
Mimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to...
5 Reactions
161 Replies
21K Views
Habari wanajamii? Mimi ninafuga Sungura na Njiwa kwa kuwa nawapenda sana ila nafahamu kwamba nikipata elimu ya namna ya kuwafuga kitaalamu au kwa mtu mwenye uzoefu nao naomba anielekeze namna...
4 Reactions
158 Replies
81K Views
Mimi ni mdau wa kilimo. Nina mashamba kadhaa baadhi ya mikoa. Ila natafuta mdau mwenye mzuka wa kilimo tulime, kwa shamba langu liliopo Mkoa wa pwani, Wilaya ya Kisarawe, kijiji cha Kisanga ekari...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni mwaka Jana ndiyo nilifahamu kwa mara ya kwanza juu ya uwepo wa tunda liitwalo dragon. Dragon ni kama jina la "utani" Jina lake halisi, kama sikosei, ni PITAYA au MSHOKISHOKI. Uchunguzi wangu...
2 Reactions
28 Replies
759 Views
  • Redirect
HERENI ZA WANYAMA Hereni kwaaji ya wanyama wote zinapatikana kwetu kwa bei chee. Zipo kwaajili ya; *️⃣Mbuzi *️⃣Ng'ombe *️⃣ Nguruwe *️⃣Kondoo nk. Ziponumla reja reja 📍 Tupo DSM, popote mzigo...
0 Reactions
Replies
Views
Kama habari inavyoeleza hapo juu, Mimi ni mkulima mzuri wa nyanya, nimelima zao hili kwa zaidi ya miaka kadhaa kutokana na changamoto za hapa na pale zilinifanya kuwa mzoefu na mtaalamu sana wa...
10 Reactions
117 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavyojieleza!! Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali! Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi...
2 Reactions
17 Replies
459 Views
Wadau kama kichwa cha topic kinavyosema, shauku kubwa la mim kuja hapa ni kutaka kupeana uzoefu wa kilimo cha vitunguu maji kw misimu ya hiv karbun kutokana na nyuz zlzomo jukwaani kuwa za miaka...
6 Reactions
62 Replies
3K Views
Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua. Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh...
6 Reactions
47 Replies
2K Views
Dragon cuttings ni moja ya matunda yenye faida nyingi sana mwilini na pia ni very expensive sio tu Bongo bali ni Dunia nzima. Ni wakati sasa kuwekeza sana kwenye hiki kilimo make watu wa kwanza...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Jitihada kadhaa zimeshafanyika bila mafanikio. Zilipoanza kutafuna nyasi za "garden", ilisemekana kukimwagiliziwa kila siku hilo tatizo litaisha. Hilo limekuwa likifanyika tokea mwaka Jana lakini...
0 Reactions
13 Replies
550 Views
Jamani nisaiidieni mwongozo nipulize dawa Gani maana miparachichi yangu inapukutisha matunda yangali machanga!
0 Reactions
13 Replies
300 Views
Kipindi hiki cha Mvua unaweza pata baadhi ya miche ya Kiwi, Pixie Orange na Dragon kwa matumizi ya nyumbani yaani Backyard. Kiwi ni vein, na kiwi inahitaji uoteshe jike na Dume, kuna kiwi jiie na...
1 Reactions
4 Replies
218 Views
Habarini wanajamvi, poleni na majukumu ya kujitafutia ridhki. Ninao bata Bukini wanaotarajia kutaga pair 2, yaani majike 2 na madume 2, na Bata mzinga 3 majike 2 na dume 1. Bata wote hawa nawauza...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Asparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee. Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga. Kuna vatieties nyingi sana za...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu salamu, Ninakifahamu kijiji kipo mbeya. Eneo linajoto maana ni karibu na kyela. Ardhi nzuri Kwa kila zao unalo lijua kama ufuta, Karanga, mpunga , mahindi, ndizi na kila zao unalo lijua...
9 Reactions
67 Replies
4K Views
Ndugu wadau wafugaji tunatoa huduma ya uuzaji wa ng'ombe wa maziwa wilayani Rungwe mkoani mbeya karibuni kwa ng'ombe aina hizo kwa bei nafuu saana Tunatoa elimu na ushauri kuhusu ufugaji bora...
4 Reactions
68 Replies
7K Views
Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake. Iko...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom