Mh.Raisi JPM bado hujaifikia kero yangu,hakuna utendaji pasipo maagizo yako ya moja kwa moja kero yangu ni wafugaji kuingiza mifugo kwenye mashamba ya wakulima mkoani morogoro wilaya ya mvomero...
Habarini wana JF? Mungu amewapa uhai wake tena siku ya leo, mbarikiwe sana.
Samahani, Nilikuwa na pesa fulani hivi sasa nahitaji kuwekeza katika kilimo cha matikiti nifanyaje? Naweza pata...
Habari zenu wanajamii,naomba ushauri wenu mimi nina heka mbili ambazo zimepitiwa na maji ya jirani yangu aliyepitisha bomba la maji kati kati ya shamba langu na kufanya hekari moja kuwa chini na...
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu
Uzi huu ni maalum kwa wakulima na wafanyabiashara wa mazao ili kupeana taarifa za bei za mazao katika mikoa mbalimbali
Mimi naanza hivi
Morogoro tarehe...
Naomba mchanganuo wa gharama/ mahitaji ya kufuga kuku wa kisasa broilers nataka kuanza na vifaranga 100
Naomba kujua gharama za
Vifaranga
Chakula cha kuku
Chanjo/dawa
Banda
Mahitaji mengine
Wakuu, nimeanza tena ufugaji wa kuku wa kienyeji. Mara hii natumia mfumo
wa NUSU HURIA nimeanza na kuku 15 mwaka Jana mpaka sasa wako 369
Nimeuza kuku 271 kwa bei za kati ya Tsh 17,000 mpaka...
Habari zenu waungwana
Nina shida, natafuta nyoka aidha green snake au black snake.
ninapoishi saizi kuna tatizo la panya na Mende wanasumbua sana.
Hivyo nimeona njia sahihi ni kufuga nyoka ili...
Habari zenu wana JF.
Naombeni msaada kutoka kwenu...nahitaji kufahamu kama arusha kuna market nzuri ya mapapai na pia mikoa mingine tanzania....nipo kwenye research stage kwa sasa
Asanteni na...
Salaam wakuu,
Naombeni kwa wanaojua utaratibu wa kufuata ili kuanzisha duka la pembejeo za kilimo. Ni hatua gani zinatakiwa zifuatwe, vigezo na masharti yake, changamoto n.k. Niyafurahi sana kama...
Hello Gentlemen and ladies, Naomba msaada please., Nina kuku ina ya chotara wa Malawi na wa Israel wako 30 na wameshaanza kutaga ni week ya pili sasa .Na chakula cha layers nanunua mfuko elfu 50...
Wakulima wadogo nchini Tanzania hivi karibuni wataweza kupata taarifa mbalimbali za kijiditali kuhusu masuala ya pembejeo, ukiwemo ushauri utakaosaidia kutatua matatizo yanayowakabili kama vile...
Wanajamvi na tumaini mko poa mimi ni kijana ambae nahitaji nitimize ndoto zangu kupitia kilimo.
Nilikuwa natafuta mtu alie serious tuingie kwenye kilimo mkoa wowote ambao tutaona unafaa...
Wana JF, habari ni za siku nyingi. Mradi wetu Mifugo na KILIMO sasa unataka kujipanua hadi kufikia kilimomazingira. Tutajikita katika kilimo mazao, misitu, Nyuki, samaki na usindikaji wa mazao...
wadau ninatengeneza mkaa wa kisasa briquette kama sehemu ya ajira yangu tangu nimalize masomo. sasa changamoto kubwa ni kwenye masoko, hivyo naomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia mahali...
Wakuu habari!,Mimi nataka nianze ujasiliamali wa ufugaji wa kuku jamii ya chotara nilichotaka kufahamu katika hawa chotara aina mbili kati ya kuroiler na wale wa Malawi ipi mbegu bora katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.