Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
  • Sticky
Wana JF Tanzania imebarikiwa kuwa na vyanzo vya maji ya asili ikiwemo mito, mabwawa, maziwa, bahari, chemchem nk. Kutokana na vyanzo hivi tunapata samaki wa aina mbalimbali wakiwemo perege/sato...
34 Reactions
1K Replies
540K Views
  • Sticky
Hey JF Members. Ee bwana kuna mtu anaweza kunipa msaada wa mchanganuo wa kufuga kuku. Naona soko la kuku ni kubwa sana. Hii ni biashara ambayo soko lake liko tayari. hotels, functions, vibanda...
30 Reactions
2K Replies
738K Views
  • Sticky
Nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji, bado sija survey soko la kuku wa kienyeji likoje. Kama kuna mtu mwenye uzoefu na hili anishauri, pros and cons etc. By the way, nimeanza na Jogoo mmoja, ila...
66 Reactions
4K Replies
1M Views
  • Sticky
UTANGULIZI Habari zenu wanajamvi, kwanza napenda kudeclare interest mimi ni mfugaji mchanga wa Bata, na nilifikia uamuzi wa kufuga bata baada ya maradhi kuwapiga kuku wangu na wakafa wote...
59 Reactions
199 Replies
80K Views
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua...
21 Reactions
80 Replies
63K Views
  • Sticky
JF Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions...
121 Reactions
862 Replies
357K Views
  • Sticky
Habari Wakuu, Nipo mbele yenu kujibu maswali yenu mbalimbali kuhusiana na tiba na ushauri wa magonjwa yanayosumbumbua mifugo yetu mbalimbali na hivyo kupelekea uzalishaji kupungua. Na pia kwa...
36 Reactions
603 Replies
182K Views
  • Sticky
Habari zenu wanajamvini, Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga. Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana...
2 Reactions
755 Replies
321K Views
  • Sticky
KILIMO BORA CHA UFUTA Ufuta (sesamum indicum) ni zao linalolimwa kwa wingi katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani, Morogoro, Dodoma, Tanga na ukanda wa chini katika mikoa ya Rukwa na Mbeya...
20 Reactions
698 Replies
324K Views
  • Sticky
Wakuu salamu, Nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji cha kitunguu. Naomba ushauri wenu ni maeneo gani yanayoofaa kwa kilimo cha kitunguu na hasa ambayo yanaweza kuwa na maji kwa ajili ya...
29 Reactions
2K Replies
641K Views
  • Sticky
Wakuu, Kutokana na uhitaji wa kuwepo mjadala endelevu na wa tija kwa wajasiriamali, tumeona ni vema tukaweka hii thread kwa maslahi ya wengi. Tunashauri Mjadala huu ujikitae kwenye maeneo...
12 Reactions
403 Replies
199K Views
  • Sticky
Jamani habarini za wikiendi, Naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake? Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake...
99 Reactions
1K Replies
500K Views
  • Sticky
Maharage ni zao jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa ajili ya kuliwa kama mboga au futari linaweza kama maharage mabichi au maharage makavu. Pia majani yake mni chakula cha mifugo na yanatumika pia...
20 Reactions
379 Replies
222K Views
  • Sticky
Jana niliwasilisha mkusanyiko wa mada zinazohusu ufugaji wa kuku.. Leo naomba niweke mkusanyiko wa mada za kilimo.. nimeamua kufanya hivi ili kusaidia wale ambao ni wanachama wapya na wanachama...
9 Reactions
152 Replies
125K Views
  • Sticky
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa...
14 Reactions
487 Replies
211K Views
1. Tofauti na wanyama wengne ndio mwenye majina mengi duniani. Mimi ntataja machache tu kwenye orodha. 2. Mkuu wa meza bana hacheuwi 3. Vilevile nguruwe huyu akipata njaa akakosa chakula yeye...
3 Reactions
55 Replies
5K Views
Nina wazo la kuanzisha NGO ya mazingira. Nataka ifanye kazi wilaya moja, baadae mkoa mzima. Vipi taratibu ni zipi? Unaandikishaje kwa serikali ili kupata kibali?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua zinakopatikana mashine za kutengenezea mkaa wa kisasa.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
1: Wataweza kukopesheka bank sababu biashara yao itakuwa ya uhakika. 2: Wataweza kuongeza kipato zaidi ya Sasa. 3: Wataepuka hasara zitokanazo na dagaa kuoza, kuliwa na ndege na wadudu wengine. 4...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
  • Redirect
Wana Jf, Kuna maandiko mengi JF ya ufugaji Kuku wa Kienyeji! Nawasilisha kwenu wadau wa JF mbinu ambazo kwa mikono yangu nimezitumia kutatua changamoto za kuku wa kienyeji! Nimeandika kuwalenga...
144 Reactions
Replies
Views
BROILER PARENTS STOCK Mpaka sasa Ulimwenguni kote kuna kampuni 3 pekee zinazo zalisha parents stock wa Broiler hizi kampuni zina breeds tofauto tofauti za Broiler. 1. Aviagen Hawa wanazalisha...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama mada inavyojieleza huwa najiuliza hivi hakuna taasisi ambazo hufanya research za market za mazao yetu mana wakulima hawana information za kutosha nakumbuka zamani kahawa, pamba, mkonge...
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Kwa Wale woote wanaofuga Ngombe wa maziwa au wanapenda kujifunza Ufugaji wa Ngombe wa maziwa Karibu ujiunge kwenye group letu la whtsap ili kubadilishana mawazo ya kiufugaji kwa njia ya kisasa...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
BILL NA MELINDA GATES wametangaza dau la atakayeweza kutengeneza choo isiyohitaji maji wala umeme kwa ajili ya nchi zinazoendelea. Soma Zaidi: The Bill and Melinda Gates Foundation is on a...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Hili zao la vanilla nimeona linapigiwa chapuo sana hasa kwenye bei yake nasikia ipo juu sana hadi kufikia usd 500 kwa kilo. Je ni kweli? Kwa wadau wanaohusika na ulimaji au wenye...
2 Reactions
39 Replies
7K Views
Naomba nijue hivii zao la vanilla inalimwa wapi zaidi na ukanda ganii 🙏
1 Reactions
14 Replies
689 Views
Zao la mchikichi, dhahabu mpya shambani Note ; uzi developed Kihiga uwanja mpya wa maboresho, mbegu za kisasa hadi magerezani TANZANIA inatumia mabilioni ya fedha kila mwaka takribani bilioni 600...
4 Reactions
33 Replies
14K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema wilayani Ruangwa Mkoani Lindi. zao la mbaazi lashuka bei kutoka sh.1400 Hadi kufikia sh 700 kwa kg1. Habari mbaya kwa sisi Wakulima.
2 Reactions
117 Replies
15K Views
Wajumbe,Naomba kujuzwa zao gan naweza panda December wakati wa mavuno soko litakuwa poa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninaomba kupata taarifa juu la zao la karafuu kwa mkoa wa Morogoro, ni sehemu gani inapatikana na bei yake kwa Sasa. Asante
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wa ndugu habarini? Naomba kujuwa zao la cocoa kwamaana ya eka moja inapandwa miche mingapi inakuwa. Utavuna baada ya muda gani, mavuno yapoje kwa mti, na bei ipoje sokoni kwa kg. Sent...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau, poleni kwa majukum. Lengo la Uzi huu ni kupata maoni yenu. Nina shamba la ekari 3 lipo eneo la mitonga -mbanja Lindi. Ardhi yake ni ya mchanga, mazao yanayostawi ni pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
905 Views
Wakuu habari za leo,bila shaka wazima na mnaendelea namihangaiko yenu ya kila leo. Naomba msaada wa kujua ni zao gani nilime kipindi hiki huko ili na mimi nijitose mzima mzima kwa mara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wanaJF, Samahani naomba kufahamu kwamba ni zao gani ambalo Lina mzunguko mkubwa sokoni kwa hapa Tanzania. Ninataka kuanzisha kilimo mda sio mrefu, Ila sasa sijajua kwa kipindi hiki in zao...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO "Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom