wakuu kama mnavyona hiyo picha hapo inaonyesha kama vile sina internet connection yeyote japo hapo ipo connected kabisa na pia kutokana na hali hiyo imesababisha nashindwa kabisa ku connect...
Hi
Kwa siku kadhaa nimehangaika kutafuta Mobile partner v22 maana v23 sijaipenda kabisa....
Lakini nilizozipata tayari zina brand names za websites husika mfano Huawei USB modem Unlock, Unlock...
naomba mwenye ujuzi au ufahamu kuhusu ku unlock huawei modem E173, tatizo;nimefanikiwa ku unlock lakini ukiconnect modem ina detect network(Tigo,Vodacom n.k) bt ukiclick button ya connect,network...
Je unajua kwamba kuna apps nyingine za mawasiliano zaidi ya whatsapp? Hzi hapa chini ni baadhi tu ya apps zinazopatikana mtandaoni.
1. Telegram
Kwa simu za android, iphone na hata windows. Hii...
Naombeni Msaada jinsi ya kutumia hii App.Cjawahi kuitumia na cjui inatumikaje. mwenye anajua jinsi gani nitaweza kudownload movie au app yoyoke kutoka torrent anielekeze tafadhar
Salamu wana JF.
Mini natumia simu ya Tecno P5. Naomba mwenye kufahamu application ambayo itaniwezesha kung'amua majina ya wenye simu simu wanaonipigia ambao sijawaandika majina yao kwenye simu...
From Gmail, click on Settings, and go to the Labs tab.
Scroll down until you see Text Messaging (SMS) in Chat and select Enable.
Also enable the SMS in Chat gadget and then...
Hi!! Jaman haka katecno kangu P5 nikafanyeje ili kaweze kusupport whatsap plus????
Kama ku-uninstall ile orignal whtsp..nshafanya then nktaka ku-install ss hii plus kanaandka ''×App not...
habari za majukumu.
kuna mtu kanipa s3 min clone ila tatizo nikiweka sim card inaleta ujumbe Restricted access changed na haiwezi kupiga wala kuangalia balance pia inagoma internet ila...
WAKUU HILI TATIZO LIMEANZA BAADA YA KUWEKA WINDOW UPYA, NI WIN 7 PROFF.
NIKIPLAY MUVI KATIKA MEDIA YOYOTE INAONESHA MISTALI FULANI KWA MBALI (EDGES)HIVYO PICHA HAIPO CLEAR. Nimejaribu ku update...
Nairudia topic hii jamani tatizo bado linasumbua. Maelezo zaidi yapo katika lugha ya kiingereza hapa china na picha.
My iPhone 3gs had been working for the first 18 months I've had it (since...
Habari za leo ndugu wadau wa Jamii forum. Naomba kufahamu uimara wa gari aina ya Nissan X trail kwa matumizi ya kila siku mfano nchini Tanzania . Mfano kwa matumizi ya kila siku hapa Dar es...
I have problem with my lab that when i connect and configure the ASA5510 and core Cisco 3560 switch to each other,as diagram in attachment file, and these device can access internet properly, but...
Habari wadau,.. Natumia simu aina ya Nokia E-71,. Nahitaji msaada wenu ni namna gani nitapata kujiunga na Instagram,. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu wadau,.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.