Naomba mwenye ufahamu anieleweshe kuhusu package za DSTV kwa Tanzania bei zake na idadi ya chanel zilipo ikibidi hata list ya hizo chanel. Pia kama kuna link ya hizi taaarifa zote waweza kushare nami.
Wakuu habari
Nilikua naomba kwa mwenye softewr ya data recover anisaidie coz nimejaaribu nyingibza kwenye net zinaitaje serial number.
Natanguliza shukrani
jamani wana jamii Forum mimi hizi DVD za kibongo kila nikiweka kwenye Deck yangu ya Laptop zinakuwa HIDDEN yaan hazisomi lakini nimejaribu mautundu fukani nkajua kuwa kuna software flani ivi...
Wakuu nimekua nikirekodi tv programmes kutoka kwenye decoder yangu. Changamoto imekua kuzicheza kwenye pc, zenyewe zina extension za mts. Ni player gani naweza kutumia au converter?
habar wakuu?
na2mia pc aina ya hp, tatzo lake kubwa ni netwok niki connect modem inakaa baada ya muda kama dk 2 hv kisha inaji disconnect yenyewe na bando lipo la kutosha sijajua tatizo n nin...
heshima kwenu wadau WA technologia........ naombeni msaada wenu WA jinsi ya kuinstall whatssap kwenye tablet ya android ya kampuni ya accer. nimejaribu kuingia pale kwenye play store lakini plae...
kuna mtu ana iphone sasa anataka kurestore ili aondoe information za aliyekua anatumia lakin anaogopa kwamba inaweza kumdai apple id au pamoja na password ambazo yy hazijui sasa afanyaje?
Habari, Nimeingia muda huu kununua Wajanja Night nikakuta kuna kifurushi kimeongezeka. Unalipia Tsh 1000 na unajipatia unlimited internet access. Sijapata kufahamu hiki kifurushi ni exclusive kwa...
Hizi software ndio zinaaminika katika mpango mzima wa ku-track WhatsApp.
Stealth genie
Mobile spy
Mobistealth
Mspy
Spy bubble
Swala lililopo ni kwamba zinapatikana lakini mpaka ununue...
habari wanajf,
samahani ninashida moja kubwa HAPA, ni kwamba cd yangu niliyonunua sambamba na tv tuner yangu
WinTV-PVR-150 Multi-PAL PCI TV Card - 26589 LF Rev F945
imepotea lakini tuner...
Habar za ijumaa tulivu
wadau naombeni mnisaidie, nina software ya idm ambayo niikuwa naitumia lakini kwa sasa inaniambia imeisha muda wake na hivyo inatakiwa serial number, nimejaribu kutafuta...
Wataalamu wa jukwaa hili naomba kupata ufafanuzi kuhusu kuendelea kuitumia laptop ukiwa umechomeka waya wa kuchajia umeme (adaptor) kwa ajili ya kuchaji betri hata kama betri imejaa je, kuna...
mssada jamani nitumie software gani pakua vitu online kwasababu natumia IDM ila ina nizingua serial key nina version tatu zote zina serial keys zake lakini nikiinstall nikiweka na serial key...
Wakuu.Nina mpango wa kununua hii simu ila sina uzoefu nayo sana.Nimegoogle spcs zake lakini kwa kweli zingine zijazielewa.
Naomba kwa mwenye uzoefu na simu hii tafadhali anisaidie hasa weakness...
kwenu wakuu, nina laptop yangu aina ya acer, ambayo mwanzo nilikuwa naangalia youtube fresh ila nilimpelekea jamaa mmoja akaniongezee software flani flani, baadae kaniwekea na idm kaniambia naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.