Habari!
Takribani week 2 zilizopita, Shirika la madaktari wasio na mipaka (Medicins Sans Frontieres) ambalo linajihusisha na huduma za afya kwenye kambi za wakimbizi walitangaza nafasi za kazi...
Anahitajika kijana wa kiume asimamie upande wa pesa na wapishi kwenye mgahawa uliopo maeneo ya ustawi wa jamii.
Malipo tutaelewana.
Kuingia kazini ni saa mbili asubuhi mpaka saa mbili usiku hivyo...
Natafuta kampuni ndogo inayojihusisha na kuwa tafutia watu Ajira na lazima iwe yenye vibali vyote,nahitaji kuwekeza mwenye nayo ani PM.au anicheki WhatsApp number +255719269820.
Jikomboe Integral Development Association (JIDA)
P.O.BOX 1934, TABORA, TANZANIA, EAST AFRICA
TEL/FAX: +255 (26) 2604648: Mobile: +255(754)384330.
E-mail: jida@jidatz.org ...
Nimesikia tetesi kua usahili itafanyika jumanne ya tarehee 11/05/2017 makao makuu ya EWURA kuhusu post zilizotangazwa na deadline ilikua novemba 2016.
Je kuna mdau humu alieitwa?
Habari wakuu, Kuna kijana Yuko Chuo flani hapo dodoma, anatafuta kazi halali kwa ajili ya kupata chochote cha kujikimi na maisha ya Chuo anahitaj shift za usiku...!
Asanteni..!
Wadau ebu naombeni mwenye ufahamu zaidi juu ya hili suala anifafanulie. Mwezi April, Rais Magufuli alipokea ujumbe kutoka kwa Rais kagame kupitia kwa waziri wa elimu wa nchi hiyo na miongoni mwa...
Habari naomba mnisaidie kupata kazi..elimu yangu kidato cha 4,umri 25 jinsia ke,..nina ujuzi wa computer katika programs mbali mbali mfno (publisher, power point ,etc).
kazi nazoweza kufanya ni...
Organization: African Initiatives for Relief and Development
Country: United Republic of Tanzania
Closing date: 26 May 2017
Reports to: The Sub Office Manager (SOM) or the office in charge during...
Kwanza hongereni TPA na sekretariet ya ajira kwa mchakato mzima ambao hakuna hata chembe wala harufu ya rushwa na upendeleo, Jana tulifanya oral na kuambiwa tutapewa feedback hakuna hata mwenzangu...
Msimu wa Ajira serikalini unakaribia tuanze kujiandaa kwa Usaili na Mitihani yao.
Kutokana na Tume ya Utumishi wa Umma kupokea kibali cha kuajiri ajira zaidi ya 15,000 huu ndo muda mwafaka kila...
Ndugu wana JF,
kuna wale waliokua wafanyakazi wa serikali ambao wametumbuliwa kwa kuwa na vyeti feki wengi wao walikua wakiwakomalia vijana na wengine waliomaliza vyuo kuwa wajiajiri hali ya...
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya Ofisi ya Baraza la Mapinduzi Zanzibar kama ifuatavyo:-
1. Afisa Utafiti Daraja la II “Nafasi 1”
Sifa za Waombaji:
• Awe ni...
GA Consultancy is the leading Business Management Consulting in the region which offers high level advisory to policy makers, investors and organizations. Our Management Consulting services...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.