Habari?
Mimi ni mfanyabiashara wa kusambaza maziwa ya Tanga Fresh hapa Dar es Salaam. Kwa sasa nimepata route mpya ya kusambaza maziwa tajwa hivyo nahitaji gari kwa ajili ya kufanyia shughuli...
Habari wadau...natumaini mu wazima wa afya...
Nilikua na uhitaji wa kito cha blue sapphire ambayo INA Pete yake either silver ama dhahabu. Mwenye ufaham ama usaidizi wa kuzipata ama wapi manunuzi...
Ninataka gari ambayo haitumii sana mafuta ,isiwe chini sana maana nipo Lushoto kwenye milima ,spea rahisi,naombeni msaada au kama naweza agiza nje kwa hiyo hela wakuu
Ndugu wanajukwaaa, heshima kwenu! Kwa muda sasa nimekuwa ninajiuliza maana ya haya matangazo ya vifo kwenye radio haswa kwa nyakati hizi ambazo teknolojia ya mawasiliano imeboreshwa kwa kiasi...
Kajumba kazuri chumba kimoja cha kulala with self toilet, sitting room kubwa, jiko zuri, mahali pa kufulia na veranda kwa ajili ya kuanikia nguo, eneo salama kabisa kando ya barabara Tabata...
Ps3 superslim inauzwa bado ni mpya na iko bomba sana katika box lake....
Unapewa;
wireless pad moja..
Usb pad moja..
Cd games 4(fifa15 hii nimenunua mcity laki na nusu,max payne 3,street...
Habari.
Sinabudi kuwashukuru wateja wangu wote, ambao mmekuwa ni sehemu ya mimi kuwa mimi leo, mmeyabariki maisha yangu sana, mmenisupport sana, pia mmekuwa sehemu ya mimi kujiamini na kuogeza...
Wanajukwaa natanguliza shukrani zangu
#Nampango wa kujenga nyumba. Sina uelewa mpana sana kuhusu gharama ya kujenga nyumba
# Nahitaji kujenga nyumba ya kuanzia tofali za block 2800-3000 na bati 1...
bei ni mill 17 zimetumika miez 2 zipo katika hali nzur bei negotiable
zipo katika hali nzur
zipo dar ukonga banana
kwa picha whats app 0712505049
kwa maswali na maelezo 0714288996
eshima kwenu brothers and sisters..
Nyumba ya uani inapangishwa ubungo external nyuma ya ukuta wa export processing zone..
1.Ina umeme na maji ( ya dawasco)
2. Ina vyumba viwili vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.