Haya mapenzi kweli ni shida. Nakumbuka kitambo kidogo nikiwa A level sekondari moja ya bweni mkoani kaskazini huko. Ikatokea nilivutiwa sana na head girl. Alikuwa mzuri. Hope bado mzuri.
Asubuhi...
Habari za usiku ladies and gentlemen,
Ni matumaini yangu kuwa mko salama kiafya, kiroho na kimwili. Bila kuzunguka sana ngoja niingie kwenye hoja mara moja.
Ni kwamba kwanini wanawake wengi...
HABARI NDUGU WANA JF...Kuna jambo ambalo nimelifanyia utafiti wa muda lakini majibu sijapata kwa wahusika yenye kuridhisha.
Kuna mitandao ya jamii na applications mbalimbali ambazo zinaruhusu...
Pengine usipokuwa makini huwezi kujua iwapo ninyi wawili (Mke na Mume) ni mwili mmoja.
Mke ana kazi nzuri na mume nae mungu kamjali. wote mna msahhara ambao unalingana kama si kukaribia...
Upo nyumbani kwako umepumzika,ni wikiendi au sikukuu
kama leo.una mipango yako binafsi
labda unataka kulala tu siku nzima
au kutoka na mkeo/mumeo bf/gf so mnavuta vuta mda hivi....
ghafla bin vuu...
Kwenye mahusiano ukiwa na hasira hauwezi furahia ndoa/mahusiano na ukiwa na wivu unakuwa mtumwa wa ndoa/Mahusiano ukitaka kufurahia ndoa/mahusiano wewe kuwa mjinga ili uwe mwerevu ..kuishi na...
Habari wakuu
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada wazoefu naombeni msaada kuna demu kila siku napanda nae dala dala tunashuka kituo kimoja nimetokea kumpenda kinoma leo nikamsalimia akajibu...
Ndugu wanajamiiforum naomba sifa za wanawake wa Kinyiramba nataka kuo huko
===================================================
Black Angel
Ndugu wana jamvi niwasalimu katika jina la yeye...
Waungwana na wakubwa wenzangu,habari zenu...?
Jamani Mimi nina Swali nataka kuuliza wakubwa wenzangu...kwa Maana nikipita huku nasikia mechi uwanjani watu 11 wapo ndani wanacheza uwanjani,lakini...
Kuna taasisi ya afya ya marekan inayoitwa ATTN jana tar 17.june. 2017 imetoa taarifa ya utafiti km inaeleza hapa chini
Kwa kikwetu ni sawa na
kwa mwanaume kuepuka saratani ya tezi dume...
Jamaa yangu mmoja ana mgogoro na mke Wake takribani Week tatu, walichangia yeye na wife wakanunua gari la familia harrier moja bomba sana.
Sasa tatizo limekuja wife anataka ajue kuendesha ili...
Hi Jf,
Leo kwenye kijiwe cha kahawa kulikuwa na mjadala wa kuoa binti yatima kamili.Tumejadili mpaka nikafurahi eti ukimpata huyo atakuwa wa milele, adhana ikakatisha mjadala.
Je great thinkers...
http://www.luckymojo.com/rattle-viper-sperm-incense-salt.jpg
Inawezekana kabisa kuwa hii ikawa mada ya kushangaza mno kwako lakini ni kwakuwa hukuwahi kudhani wala kusikia juu ya hili jambo lakini...
Mara sijui ukila chips unakuwa huna nguvu za kutosha,mara sijui usipokula dona hutakuwa na nguvu za kutosha...kazi kudanganyana tu.Kijana unakuwa mzembe mzembe halafu unasingizia vyakula......kazi...
Wasalaam!
Nianze moja kwa moja kwenye mada. Ni kweli maisha ya sasa ya mahusiano na ndoa kwa ujumla hapo tete sana.
Sasa wanawake wenzangu, si vibaya tukakaa chini na kufikilia nini chanzo...
Kuna ka tabia flani tunako baadhi ya watu yaani ukitokea umepata pesa basi unaanza kumtafuta mpenzi wako wa zamani au uliyeachana nae.......
Pesa zikikuishia na mapenzi yanaisha lakini...
Inakuaje hii, demu apokei simu wala kujibu text baada ya kumtia sound Kuna demu flan nimemuelewa kinyama hapa kitaa.
Nilijitahidi nikapata contact zake tukawasiliana na tumefahamiana vyema tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.