Kama mnavyojua mke anabaraka zake kwenye familia na hata ukiangalia wote wanaofanikiwa ukiwauliza watakuambia wake zao wamewasaidia sana....pia nimechunguza kama huna malengo na msichana...
ni baada ya kusoma story fulani hivi nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake (68%)hawana utu kabisa..
wanawake wengi katika ndoa zenye nafasi kifedha huishia kuzaa na wapenzi wao wa pembeni...
salaam kwenu wadau
Pita pita yangu nimekutana na msichana wa nguvu sasa huyu msichana aliponiona akajua mimi ni kijimbuda kama aliewaacha huko kwao kumbe hapa amekutana na babu mbishi chuma...
Hizi ni swaga zetu kipindi kileeeee.... Kulikua na nyingi saaana, na Namba ya kumtokea demu ilikua tofauti kabisaaaa, kama vile kumshika matiti.. Hii ni kutokana na kutongoza kulikua kugumu...
Wana JF,
Mimi ni mgeni huku MMU uwa napita tu siku moja moja!
Leo nimepata nafasi na mimi kuchangia huku, kuna jamaa yangu tunafanya nae kazi ni mtu wangu wa karibu sana kapatwa na mtihani...
MWANZO WA MAHUSIANO
Jamaa mmoja alikuwa anapiga tempo shule fulani mwaka Jana 2016 baada ya kuhitimu kidato cha sita katika mchepuo wa PCB. Wakati akiwa shuleni hapo alikaona matoto kazuri na...
..ndugu wana jf ..ni kweli dunia imebadilika sana ....nashangaa jamaa angu alioa mke mzur sana mapenz yao mubashara lakin tabia za mwanamke yule ni chafu ana dharau ..hapend wagen..anajiona yeye...
Wanajanvi heshima zenu! Kutokana na vituko maumivu usaliti na mateso tunayopata wanawake katika mapenzi nimekuwa kila mala nikijiwazia laiti ningekuwa mwanaume mahusiano yangu ningeyafanya mfano...
Wakuu habari,
Kuna mrembo kanambia ni old ways za kutongoza kiukweli nimejishangaa sana kwani old ways zikoje wakuu.
Sent from my HTCD200LVWPP using JamiiForums mobile app
Habari ndugu zangu
Leo ninayo mambo machache ya kuweka wazi,Mambo hayo ni pamoja na suala zima la kuoa.Pamoja na faida nyingine nyingi za kuoa nimeona kwa upande wangu huu ni muda muafaka wa...
Ni kijana mwenyewe 25 mweupe na awe na kazi yake km upo tayari haya twende Pm/inbox nipo dar es salaam kama kweli yupo na mkweli aliye serious basi tupia no yako hapa soon nakupigia..elimu yangu...
Mke mwema anatoka kwa Mungu na kuna njia nyingi sana ambazo Mungu anatupeleka kwa wake wema ivyo tusiwe wabishe moja ya njia ni kuachwa na mchumba wako
1:Umelala home wengine sijui wamekosa usingizi wanataka muamke wote hapa ndipo hutamani niishi nyumba ya peke yangu, sipendi kuamshwa au kuongeleshwa ongeleshwa nikiwa nimelala.
2:Kupigiwa simu...
Hiki kitu huwa kinanishangaza sana hasa kwa sisi ' Wanaume ' pindi pale tunapokuwa ' tunawatongoza ' hawa Mademu zetu. Hivi kama kumbe lengo lako ni ' Kumbandua ' tu ( Kufanya nae Mapenzi ) sasa...
Mambo wana jf hope mpo wazima nina tatizo naomba ushauri, nina demu nimemtoa dar kumleta songea ... Yani huku mimi ndio baba na mamake kwa kila kitu... Nilipata safari ya wiki mbili kuelekea...
Mara nyingi kuna Kero kubwa sana huwa inajitokeza hususani kwenye ndoa za vijana ..
Kuna mambo vijana sisi bado hatujajua hususani kwenye ndoa
Zamani enzi wa babu zetu mabinti walikua...
Habari za mda huu wana Jukwaa pendwa la MMU. ..
Wacha niende direct kwenye mada
Kuna katabia fulani kwa baadhi ya wazazi kwamba utakuta wanakuchimba biti mtoto wa kiume kuwa ole wako ulete mimba...
Lugha 18 za hatari
1)Sina mtaji -
2)Sina Connection
3)Nitaanza rasmi kesho
4)Mimi ni wa hivihivi tu
5)Mifumo mibovu ya Serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
6) Mke/mme/ndugu zangu Ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.