Wanajukwaa,
Kwanza nichukue nafasi hii kuwakumbusha ndugu, jamaa na marafiki kwamba, ni vyema tukajua ni wapi tuchore mstari wa mwisho unapojadili mambo yasiyo kuhusu, especially yanayogusa hisia...
Habari wana jf!
Wote tunatambua mahusiano ya mapenzi yana changamoto nyingi lakini kubwa kuliko yote ni la kuchepuka,haya ni baadhi ya maneno nisiyoyapenda mwanamke wangu ayatumie kujitetea pale...
Kisa umezaliwa Rufiji, mama anapata na ugonjwa wa moyo kujua mtoto wake anatoa Rufiji. Jamani sikuomba kuzaliwa Pwani na mtoto wako abapenda haya mahanjumato na vitobosho ninavyomuandalia.
Mama...
Habarini wa ndugu,
Mimi ni mwanaume mwenye mke na mtoto mmoja. Tumeishi takribani miaka minne pamoja bila kufunga ndoa kwa sababu ya utofauti wa dini.
Mimi ni mkristo na yeye muislam...
Najua Bado sijakuoa ila Nina uhakika wa Kukuoa Kwa Mapenzi yake Mwenyezi Mungu!
Ulikuja Katika Maisha yangu wakati ambao nahitaji mapenzi ya mwanamke kwa kiasi kikubwa!
Ni wewe uliyerudisha...
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Mimi ni kijana wa kiume ninasoma chuo flani hapa Tz nina miaka 24.Nikiri kwamba niliishi maisha ya woga miaka yote ya maisha yangu.
Hii ilipelekea kuharibu...
Amani iwe nanyi wakati wte
Hakyanani hivi kwann mada zilizo nyingi zinazoletwa huku niza kukosoa na kunanga wanawake?
Utasikia oooh wanawake wananuka midomo
Wanawake wananucha nyuchi zao...
Akizungumza pamoja na Daktari mwenzie katika Kipindi maalum kinachorushwa na The Doctors tv huko Mamtoni / Ulaya Daktari mmoja na ambaye pia ni Mtafiti wa magonjwa ya akina Mama Kitaalam wanaitwa...
Habari za jumapili nyote,
Kwa majina naitwa Kasinde aka Kasie aka nyonda ake dadii heheheh.
Naanza na tabasamu maana ndo lililojaa usoni. Iko hivii......
Leo asubuhi kwenye saa moja na nusu...
Salaam wakuu wa idara zote,
Kama kichwa kinajieleza,
Mada ni muda gani sahihi wa kumchunguza mtu hadi unakuja kuwa na mahusiano nae ya kimapenzi? Pia ni muda gani baada ya kuwa nae katika...
Wakuu za mizunguko ya hapa na pale, niende kwenye mada.
Miaka kadhaa nikiwa bado chuoni, ilikuwa majira ya usiku nilipokea text kutoka namba nisiyoifahamu, nikaamua kuipigia ili kuondoa utata...
Hizi ni sifa kuu ambazo mwanaume anatakiwa awe nazo ili kudumisha mahusiano au ndoa yake na mpenzi wake
.Figa la kwanza
Must be good in bed yaani umrizishe mwenzi wako kimapenzi.
.Figa la pili...
What's really good JF MMU massive..??
I hope y'all's weekend is off to a great start as is mine's. I'm having a bang-up time in these neck of the woods.
It's been a minute since the last time I...
Kuna walioni- save kwenye simu zao kama "shosti". Kuna walioni-save kwa majina ya kike.
Kuna wake za watu ambao wamethubutu mpk kunikaribisha makwao na kunitambulisha kwa waume zao kama " mtunza...
Hope mmekuwa na j2 njema
Wadau niko kwenye ndoa mwaka wa tano sasa. Hatujabahatika kupata mtoto na wife. Katika hili sijaona shida kubwa kozi tunamwamini Mungu, tunaimani siku moja tutapakata...
Binafsi swala hili linanichefua yaani unakuta mdada katumia mkorogo anio ang`aa kama nyanya iliyoiva, utashangaa akigeuka mgongo mweusi kama mkaa, makalio ndio usiseme meusi kuliko black wa...
*KITU USICHOKIJUA ,,,,,unapiga picha ktk majengo mazur,magar mazuri,,umevaaa vizur ,,maeneo ya kujidai,,,,kwa kufanya hivyo unawachanganya malaika wanaogawa riziki maan wanajua umeshafanikiwa...
Sorry team nnaomba ushauri
Nina girl ambaye tumedumu almost miaka 4
Hapo mwezi wa 3 alisafiri kwenda Mwanza
Ikumbukwe kuwa wakati anaondoka hatukusex kama miezi miwili
Ikawa kila alipokuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.