Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe...
Habarini humu waungwana!
Mimi ni mwanaume, natafuta mwanamke tujenge mahusiano, kama mambo yataenda vizuri tuoane panapo majaaliwa mwakani. Kwa sasa nipo nje ya Tanzania hivyo ni ngumu huku...
Kwa wale mnaotafuta wachumba ili muone,msitafute wachumba mnaofanana kila kitu,hamtafanikiwa.Jambo la muhimu weka sifa zako za mchumba kwenye asilimia,na ukimpata anayefikia 30% tu,basi huyo ndio...
Habari za Kazi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.
Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri...
Kwa wale wote ambao wanatafuta wenza, hasa kwenye nyuzi nazofungua mimi nawaomba tafadhalini sana, acheni mzaha, kama huhitaji mwenza basi tulia, acha wale wenye shida waje, wewe unanifata na...
Habari ya wakati huu!
Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu. Sina vigezo vingi.
Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na...
Nipo Dar natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu na sifa kubwa awe mnene na mwenye mapenzi ya kweli na kujiheahimu na Sina ubaguzi wa kabila Wala dini na aliye tayari tuwasiliàne Kwa namba...
Kama unajijua haujazidi miaka 22 jongea inbox, nipo serious, uchumba badae ndoa.
Rangi yoyote, lakini akiwa Mweusi itapendeza zaidi
Elimu yoyote, ila kam umeishia 4m4 utapewa first priority...
Natafuta wa mwanamke wa kuchati nae ukiwa safi nicheki 📥 nikupe namba it real bored here.
Mimi ni late 20's, nipo DSM, Open minded and So. Ukuwa na upright wa 20's being good, ukuwa DSM impressive...
Hello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani.
Mimi;
Ni mwanamke wa miaka 38
Brown skin tone
Mkristo...
Mimi ni mwanaume mwenye umri ya miaka 35. Naishi Dar es Salam, ni muajiriwa wa moja ya taasisi ya kiserikali. Natafuta mchumba alie komaa kiakili, hapa namaanisha mwenye muono chanya wa maisha ya...
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha...
Ndugu wanabodi,
Lejea kichwa Cha habari hapo juu.
Mimi nina umri wa miaka 38 yrs old
Elimu. Diploma holder
Kazi. Biashara
Eneo. Rock City (Mwanza)
Dini. Christian
Nina mtoto mmoja ingawa Sina mke...
Naitwa Abuubakari mkazi wa Dar es salaam
Nmeajiliwa
Natafuta mchumba ambae nitafunga nae ndoa,
Sifa awe na Umri kuanzia 20-28
Muislam
Mawasiliano zaidi 0759565300
Habari,
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto
Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi -...
siku chache zilizopita nilipost a thread kutafuta “Love&Companionship”
nimepata some PM bahati mbaya hazifunguki nimereport tayari.
ila nimeobserve vitu kwa kiasi fulani vimenipa kutafakari...
Vigezo
Awe na 38-45
Dini yoyote
Awe na shughuli nipo serious nimechoka kukaa single aliyeserious aje pm
Mimi
Umri 30
Ninajishughulisha
Nina mtoto
Naishi Dar
Mengine tutaaambizana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.