Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Sticky
Habari WanaJF, Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT. Tunashauri Jukwaa hili...
28 Reactions
145 Replies
60K Views
Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa...
33 Reactions
2K Replies
197K Views
Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo...
2 Reactions
2K Replies
190K Views
Natafuta rafiki wa kike ambae huenda baadae akawa mke wangu. Sifa zangu ni: 1. Mtaratibu 2. Mkarimu 3.Mrefu wastani 4.Mwenye ya mungu 5.Mwenye heshima na upendo 6.Umri wangu miaka 23 Awe...
0 Reactions
2K Replies
142K Views
Wakuu salaam. Kwa malezi niliyolelewa mimi sistahili kufanya ili jambo, pia kwa mila na desturi za kiafrika sistahili kufanya hiki kitu, lakini huu moyo ni wangu, na mmiliki wa moyo wangu ni...
88 Reactions
2K Replies
128K Views
Salaam kwenu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu...
65 Reactions
1K Replies
75K Views
  • Closed
Am a Tanzanian Woman. Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi. Mimi Nimetengana na Mume wangu. Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya...
70 Reactions
901 Replies
184K Views
Poleni na corona. Acha leo na mie nije na vigezo vyangu vya kutafuta mwenza. Baada ya watu wengi kunivutia wakileta mirejesho ahahaha Sifa ya mwanaume anayehitajika. 1) Awe na kitambi, ila sio...
16 Reactions
810 Replies
32K Views
Nampenda Madamu B naitaji kujua je ni msichana, na kama msichana je kaolewa, kiukweli nimevutiwa sana na coment zake post na jokes nyingi ambozo zilitengeneza isia za mapenzi juu yake mara nyingi...
27 Reactions
778 Replies
48K Views
  • Closed
Wakuu kumekuwa na ongezeko kubwa la wadada wanatafuta wachumba humu JF, kama umewai kupata mwenza kupitia JF ..comment neno "ndio"
5 Reactions
695 Replies
70K Views
  • Closed
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito kwa makubaliano kua huyo Mtoto atakua wa kwangu peke yangu, Niliwahi kuja hapa na kutoa ushuhuda kua ninajihusisha na...
53 Reactions
675 Replies
39K Views
Za usiku wana MMU, Kiroho safiiiii,napenda nifunguke kwamba moyo umemdondokea and i feel something for mtajwa hapo juu, Money Stunna utakapoona huu u'thread basi uje utoe statement...
15 Reactions
652 Replies
49K Views
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mume, niliwahi kuolewa lakini hatukupata watoto, mimi sina watoto na ambae pia hana watoto, ili tupate watoto wetu...
26 Reactions
629 Replies
30K Views
Natafuta rafiki wa kike (girlfriend) wa kubadilishana naye fikra na uzoefu wa mambo mbalimbali. Wasifu Wangu Mfupi kiasi, 5'5 ft, Maji ya kunde Umri,miaka 28 Ni mkristo Nina kazi Napendelea...
0 Reactions
482 Replies
76K Views
  • Redirect
Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo...
1 Reactions
Replies
Views
NB Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu. Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu. Sifa zake : Ajira: Ni...
28 Reactions
462 Replies
10K Views
  • Closed
Habarini za jioni wana jamii wenzangu, Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana...
42 Reactions
462 Replies
117K Views
There is a say that "there is so many women but few wives"SO i need one from these few jamani! My introduction-Naitwa john miaka 25,nipo mwaka wa tatu chuo cha mlimani UDSM,kabila langu ni mhee...
0 Reactions
459 Replies
25K Views
Habari wana JamiiForums. Mimi ni mwanaume nina 33 yrs, nipo Dar, ni muajiriwa katika shirika fulani lisilo la kiserikali. Ishu kubwa inayonikabili ni upweke. Natafuta mwanamke wa kula nae...
7 Reactions
453 Replies
20K Views
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae ila kuoana hapana, awe tayari kupima HIV! Nikizaa nitalea mwenyewe, na yeye atabaki kuwa baba mtoto na mzazi mwenzangu ila ngono baada ya kuzaa hapana. Awe sura...
18 Reactions
442 Replies
86K Views
Back
Top Bottom