Mbunge wa Konde Khatib Said Haji (CUF) amemtaka Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, kujitafakari na kujipima kama chombo anachokiongoza cha Baraza Kuu la Waislamu Tanzania...
Tunaipeleka wapi?
Katiba ipo wapi?
Msimamizi wa katiba!
Wenzetu wanasema elimu aina mwisho sisi tumeiga, ndio maana watu kila kukicha wanasoma uku kama una ujuzi huna elimu unafukuzwa kazi?
Binafsi nimekuwa nikishangazwa sana na baadhi ya watu wanaopiga kelele na kupinga pinga tu kwa kile kinachofanywa na Serikali hii ya sasa chini ya rais wetu amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amewapongeza maaskofu kwa kuunga mkono mambo aliyosema wamekuwa wakiyapigania.
Lowassa ametoa pongezi hizo jana Februari...
Leo nimepigiwa simu na wavuvi ninao fahamiana nao toka visiwa vya ziwa Victoria, wamenieleza huku wakiwa na furaha sana kuwa sasa wameanza kupata nyavu za kuvulia.
Nyavu walizo pata ni zile...
Habari za hapa wanajukwaa,
Je, Tanzania katika awamu ya 5 kuchagua upinzani ama kuwa kiongozi wa upinzani ni kosa?
#1. Mkuu wa Mkoa wa Manyara amekiri hadharani kuwa hawezi kushirikiana na...
Mwenyezi Mungu aliwahi kumuuliza Nabii Mussa wakati walipokuwa wakifuatiliwa na majeshi ya Farao, Mussa una nini mkononi?
Nabii Mussa kwa unyenyekevu akajibu nina fimbo mkononi.
Mwenyezi Mungu...
Orodha ya Hali ya Demokrasia Duniani (2017 Democracy Index) iliyozinduliwa Februari 2, mwaka huu na kuchapishwa na jarida kongwe na mashuhuri duniani la The Economist limeitaja Tanzania kuwa ni...
Wasalaam wanajamii!
Toka mwaka huu uanze na hasa hasa kuanzia tarehe 19 mwezi januari baada ya kutoka kwa ile barua ilokuwa ikiwaelekeza wakuu wa mikoa kupitia wakurugenzi na maafisa elimu...
China imeridhia kutoa msaada wa Dola za Marekani Milioni 62 sawa na Shilingi Bilioni 138.3 za Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Usafirishaji hapa nchini.
Balozi wa China hapa nchini...
Diwani wa Hayderer (Chadema) wilayani Mbulu mkoani Manyara, Justin Masuja amejiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na CCM.
Masuja amejiunga na CCM leo Februari 12,2018 katika ziara ya Mkuu wa Mkoa wa...
Kuna dhambi CCM wanatenda mchana kweupe kwa kulaghai wana Kinondoni na Siha, eti mkichagua upinzani hamtapata maendeleo, mkichagua mbunge wa upinzani serekali haitapeleka maendeleo kwenye majimbo...
Wabunge na mawaziri kutoka CCM wamejitokeza katika mkutano wa hadhara wa kampeni kumnadi mgombea ubunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia.
Waliohudhuria mkutano huo uliofanyika leo Februari 11,2018...
Umejenga nyumba yako kwa jasho na damu kisha inabomolewa bila fidia na kukuletea mateso makubwa wewe na familia yako.
Then wanakuja wabomoaji na kukuambia mchagueni mtu wetu ili muepuke...
*Mikutano ya CCM yawapa kiwewe*
*Yawaandaa kisaikolojia wafuasi wao*
Na Mwandishi wetu, Kinondoni
Hali ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yazidi kuwa mbaya viashiria vingi...
Kwa ufupi
“Nawaomba mumchague ili aungane na mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na mimi mkuu wa mkoa ili tuendelee kuwaletea maendeleo.”
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda...
Kitendo cha viongozi wote wa serikali ya CCM kutamka kila wanapopanda kwenye majukwaa ya kampeni ama popote wanapopata nafasi ya kuhutubia kwamba ili kupata maendeleo ni lazima kuchagua wagombea...
Wastara msanii wa maigizo na sasa mbunge mstaafu wa kilombero Abdul mteketa ni watu ambao wametoa vilio vyao vya kuhitaji msaada wa matibabu na wamepokea moja kwa moja kutoka kwa Rais. Heko kwa...
Wanabodi,
Huu ni uzi wa swali la hypothetical situation kuhusu wewe kama Baba wa Familia, Mtoto Wako Mtundu, Amekuny.a Mkononi, Jee Utaukata Mkono, au Utausafisha na Kumsafisha?.
Baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.