Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji amewataka wananchi kutumia fedha kwa umakini kwa kubana bajeti ya matumizi yao ili kuhakikisha wanaweza kumudu hali ya maisha kwa sasa.
Dkt. Vincent...
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango akijibu hoja za wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jijini Dodoma...
Kufuatia wito wa kuunganisha nguvu za Vyama vya Upinzani nchini, uliotolewa na Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Mh. Zitto Kabwe, wakati wa mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dk.Mighanda Manyahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Kwa taarifa...
Katika hotuba yake pale Bungeni wakati wa uzinduzi wa Bunge Rais Magufuli alitoa hotuba moja kali sana yenye msimamo kikazi na kutoa muelekeo wa Serikali atakayoiongoza akionyesha kuchukizwa...
Huu ni uzi maalumu kwa wadau mbali mbali. Tumulike Taasisi au mashirika yaliyopewa dhamana ya kuwezesha wafanyabiashara/wakulima au watu wa rika fulani kufanikiwa ktk shughuli zao. Rais alitaja...
Kwenye mitandao ya kijamii, kama hii JF, kuna watu wa kila rika, elimu, maarifa, ujuzi, uzoefu, weledi, mamlaka, wajibu, tasnia, tabia na hata muonekano. Kiufupi, mtandao kama JF, uliosheheni...
Siku zote tunamsifu anavyopigana dhidi ya ufisadi lakini jambo moja linanishangaza kuhusu kiongozi wangu wa Chama Zitto Kabwe.
Amekuwa mwepesi kulaumu wengine na kuwataka wajieleze wanapotuhumiwa...
Kwa mujibu wa Katiba yetu, Rais wa Tanzania anapoapishwa uahidi "kulinda na kuitetea" Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania. Maana ya kuilinda ni dhidi ya mtu, watu, ama kundi jingine. Kwa maneno...
The value of the Tanzania shilling gained ground against the euro and the British pound in the first five months of this year, a study report says.
According to the Bank of Tanzania’s daily...
Rais J.P Magufuli amekuwa akiteua wanaataluma kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) hali.iliyopelekea baadhi ya watu kuhoji kama teuzi hizo hazitaathiri uwezo wa chuo hicho kitaaluma...
Safisha safisha bado inaendelea katika serikali hii, ambapo leo wakurugenzi wote Tanesco wamesimamishwa kazi ili kuondoa uozo uliokuwepo ndani ya shirika hilo
#Hongera Muhongo
#Hongera Dr. Tito...
I just noticed in couple of days that Julius Nyerere Internatinal Aiport is not as busy as we used to see in the past. Like today i only saw one International flight. May be someone can also probe.
Naota tu..siku ikitokea nikawa Rais wa Tanzania haya hapa ndiyo nitakayoyafanya :-
1)Kuzingatia utawala bora,unaozungatia sheria na kufuata katiba.
2)Serikali yangu itakuwa sikivu,isiyojikita...
Pamoja na kazi nzuri ambayo wizara yake imefnya lakin katika jambo la kushangaza jana nilimsikia Mh.Ruhaga waziri wa mifugo na uvuvi akitamka bayana kuwa zoezi la operation sangara halijatia watu...
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema Tanzania itaendelea kukopa kwa sababu bado deni la Taifa ni himilivu na mahitaji ya uwekezaji bado ni makubwa.
Akijibu hoja za wabunge...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametangaza kuanza kwa oparesheni kabambe ya kuwakamata na kuwatoza faini wachafuzi wa Mazingira kuanzia July Mosi kwa lengo la kuhakikisha jiji...
Aliyekuwa Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Kijana Shaka H Shaka leo amkabidhi nyaraka mbalimbali za UVCCM ikiwa ni ishara ya makabidhino ya ofisi kwa Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Raymond S...
Taarifa kwamba Waziri kabudi bila aibu ametamka mbele ya Bunge kuwa kiasi kilicholipwa na Tanzanite One kwa Serikali haitaweka wazi kwa Public kwa kuogopa kufunguliwa mdai na wadai wetu ni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.