Kuna hilo swali, kipindi cha nyuma ilikuwa hazipiti siku tatu unasikia kuna mpinzani amejiuenguwa kutoka chama chake na kujiunga CCM kwa sababu ya kumuunga mkono rais JPM. Watu walishangaa zaidi...
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kuijenga nchi yetu. Najaribu kuangalia matukio mengi yanayotokea ya ukiukaji wa haki za raia ndani ya nchi yangu Tanzania, nashindwa kuamini kama hawa tuliowapa...
Msemaji wa CCM yaani Humphrey Polepole tumeona tamko lake la kuunga mkono barua ya Msajili kwenda kwa Baraza la maaskofu la KKKT, kwamba ina hoja halali.
Soma hapa:
(Humphrey Polepole: Nimeisoma...
Wanandugu,
Nashangaa sana yanayotokea kwenye nchi yangu sasa hivyi...Viongozi wamekuwa sio wale tena wanaoshauriana kabla jambo halijafanyika.
Sasa hivyi unaweza kuona katibu wa wizara flani...
Ndugu wanajukwaa kama mtakumbuka kwamba ni juzi hivi katibu wa itikadi na uenezi CCM ndugu Humphrey Pole pole kupitia kwenye ukurasa wake aliijibu barua ambayo imeshakanushwa na waziri wa mambo...
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jijini Dodoma...
Kilichofanya serikali kuikana barua yake kwa Maaskofu wa KKKT kimebainika kuwa ni HOFU ya serikali kuitishwa Mkutano mwengine wa Maaskofu hao kujadili barua ya serikali.
Imebainika kuwa, Msajili...
Ww choko wa chalinze nakuvutia kasi, nitakumwagia matusi kwenye kila uzi wako mpaka ukiona hii id uchanganyikiwe. Tuletee siasa zako za majitaka kama hujashindwa kukaa kwenye kiti vizuri kwa hiyo...
Wiki iliyopita ilisambaa nyaraka yakuwa dk. Bi kijo kajiunga Chadema mapema tuu LHRS wakakanusha na kusema ni fake news, mara ikatoka kinana kujiuzuru ikapingwa then siku chache akajiuzuru kama...
Katika hali ya kushangaza, Serikali imewashauri Maaskofu kufuata ushauri uliotolewa jana na UKAWA kwa Maaskofu wa KKKT na TEC.
Ushauri huo ulitolewa na Mh. James Mbatia, kwa niaba ya UKAWA...
Baadhi ya viongozi wa CCM sio waaminifu kwa CCM, kwa wananchi na kwa taifa pia. Viongozi hawa walikifikisha chama, wananchi na taifa hapo vilipo sasa. Viongozi hawa walikuwa wanafiki mwanzo mwisho...
Kufuatia Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba kukanusha Taarifa inayosambaa mitandaoni kwa kudai ni feki, maswali lukuki yameibuka juu ya uamuzi huu wa Waziri:
Kama Barua ni feki, kwa nini...
Ni suala rahisi sana. Serikali imeona kwamba barua ya Msajiri wa Vyama haifai na ina mwelekeo wa kugonganisha serikali na dini na kumsimamisha kazi. Ninawasihi CCM nao wamuwajibishe Polepole kwa...
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amemsimamisha Msajili wa Vyama katika Wizara hiyo kupisha uchunguzi.
Waziri amekanusha juu ya Barua inayosambaa mitandaoni kuwa, imeandikwa kwenda KKKT.
East Africa Radio
Waziri @mwigulunchemba1 "Serikali haipingani na dhehebu lolote na pale ambapo kuna uhitaji wa kufanyia kazi jambo kuhusu taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo taratibu huwa...
Duhh! Yajayo yanafurahisha.
Waraka sio wa kweli - Sasa kwanini anamsimamisha kazi Msajili?
Waraka sio wa kweli - Kwanini jana Naibu Spika alikataa Waziri Mkuu asiukane?
Kwa ufupi
Sababu ya kumpa sifa Ndugai zenye kumshabihisha na Solon ni jinsi kiongozi huyo wa zamani wa Ugiriki, alivyounda chombo ambacho kiliitwa Bunge la wananchi, kikaitwa Ekklesia, yaani Bunge...
Walinda amani wa JWTZ walishambuliwa kwa kupigwa ambush na vikosi vya kigaidi huko Afrika ya kati na kupelekea kusababisha kwa majeruhi saba (7) na kifo cha mmoja (1).
Shambulio hilo lilifanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.