Taarifa zinasema Makonda aliingiza makontena 36, kati ya hayo 16 yalishatolewa yakabaki 20 bandarini.
Kama kweli yalikuwa na vifaa vya shule, ni shule zipi za Dar es salaam ambazo tayari...
Kwa kweli Rais Magufuli ana staili ya kipekee ya kututawala watanzania, ni ya kuamua anayoyataka yeye na siyo kusikiliza maoni na ushauri kutoka kwa wananchi waliomchagua
Si tulimsikia wenyewe...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda (Daudi Bashite?) ni miongoni mwa wakuu wa mikoa maarufu sana kwenye serikali hii inayoongozwa na Rais John Magufuli. Pamoja na mambo mengine ni mtu...
Nimefuatilia mwenendo wa vijana wa JKT wanaosimamia usafi jijini Dsm nakubaini kuwa mkuu wa mkoa anaweza kuchafua jina lake asipochukua taadhari kwa sababu zifuatazo
1.Vijana hawa wanafanya kazi...
Natanguliza salamu zangu kwenu ninyi wateule and mliopakwa mafuata kutumikia Watanzania katika ngazi mbalimabali.. Mkatunga sharia, mkazisimamamia na kubuni njia na kuleta maendeleo kwa Tanzania...
Awali ya yote nampongeza Rais kwa kauli yake ya jana kuhusu Makontena. Watu wengi wamefurahi na wamempenda Rais.
Nakumbuka kuna watu kama watatu waliwahi kuniambia wanamchukia Magufuli kwasababu...
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi, akiwa kwenye studio ya Mwananchi jana, jijini Dar es Salaam, amefichua siri ya Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa kujiunga Upinzani kuwa, ilitokana na...
WIMBI la hamahama ya madiwani na wabunge wa upinzani nchini limelalamikiwa kuwa linaipeleka nchi kwenye giza la uchumi kutokana na kuingia kwenye gharama za uchaguzi zisizo na umuhimu.
Baadhi ya...
MAKONDA JIUZULU
Bila shaka umeisikia kauli ya mheshimiwa waziri Mpango na mheshimiwa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Joseph Pombe Magufuli kuhusu suala la makontena yako ya...
Diwani wa Chadema wa kata ya Sigino jimbo la Babati mjini amejiuzulu uanachama na kujiunga na CCM na kupokelewa na Katibu wa Ccm mjini Babati Feisal Hamad usiku huu Agosti 31.2018.
Akizungumza na...
Wanabodi kwa uzoefu wangu watu wengi walioachishwa kazi na mkuu imekuwa ni wakati wa weekend,nina imani kama Jumatatu itafika bila mkuu wa mkoa wa dar kutumbuliwa ndio basi tena.
Mkuu wa mkoa wa Dar, Paul Makonda amesema ameona video ya askari mgambo akimpiga raia na imemshtua sana kwani ni unyama mkubwa
Makonda amesema mgambo harauhusiwi kumpiga raia kwani adhabu...
Gharama za kuomba KIBALI cha kazi kwa raia wa Afrika Mashariki anapotaka kwenda kufanya kazi katika nchi mwanachama wa Jumuiya EAC:
Burundi: $60-84
Kenya: Hakuna ada
Rwanda: Hakuna ada
Tanzania...
Maalim Seif shujaa wa karne.
Kama si nidhamu ya woga na unafiki wa wasomi wetu hapa Tanzania vyuo vikuu vinavoheshimika hapa nchini vingechukua juhudi za makusudi na za uhakika zilizotukuka za...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amesema kuwa chama hicho hakitawatumia wasanii tofauti na bendi ya TOT na Vijana katika shughuli zote za chama hicho.
Dkt. Bashiru...
Salaam wakuu
Ni takribani mwaka sasa umepita tangu Askofu mkuu wa makanisa ya Ufufuo na uzima Dr. Josephat Gwajima alipotangaza kumfuta kwenye ulingo wa kisiasa kwa sababu ya kumdhalilisha yeye...
Wandugu,kwa sasa ni bora tuache kumjadili manager miradi wa mkulu maana huyo ni "untouchable" and he is there to stay hivyo tupambane tu na hali zetu.
Huyu ndio anajua siri za miradi yote na pia...
CCM YASITISHA KUTUMIA WASANII WA BONGOFLEVA KWENYA MIKUTANIO YAKE: “Kuanzia sasa, CCM hatatumia wasanii wa Bongofleva kwenye mikutano…tutatumia bendi ya TOT, na tukienda mikoani tutawakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.